ideathinker
JF-Expert Member
- Jul 29, 2024
- 262
- 386
Hivi wanakuwa na maagano na mapepo au hili jina lina tatizoUkiwa na Khadija zaidi ya mmoja umekwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wanakuwa na maagano na mapepo au hili jina lina tatizoUkiwa na Khadija zaidi ya mmoja umekwisha
Mamboo dr hivi mtu akiwa anaugonjwa wamapenzi unamtibuje??VIjana hao Wasamehe tu Mkuu😅😅
Namba 1 imenifanya nitafakari upya umriwako mazee....🤔Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2. Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3. Ukifanya harusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
Kwa iyo hiyo dharura itachezea kwenye kiwango ulichoweka?Hapo point ni hiyo ya akiba tu maana huwa kuna dharura.
Hiyo namba 1 nakupa ✊️! 💯Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2. Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3. Ukifanya harusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
Mbona kama limenigusa sana maana mie ni paycheck hadi paycheck sina hata akiba ya buku jero popote4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
Sio kweliOngeza, ukikopa mkopo bank ili ujengee nyumba yako ya kwanza, umekwisha.
Wewe Unao Huo Ugonjwa??🤣Mamboo dr hivi mtu akiwa anaugonjwa wamapenzi unamtibuje??
NakaziaMaisha hayana formula
Walisikika watu flani flani.
Usitishe watu kwa hayo kuna watu wanakopa hadi mikopo imewazoea na maisha Yana kwenda. Ukiona pia unakoposheka juwa una akili timamu chizi hawezi kopeshwa.Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe.
1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe ukifiwa. Umekwisha
2. Ukikopa ili kulipa mkopo. Umekwisha
3. Ukifanya harusi kwa pesa ya mkopo umekwisha. Hiyo ndoa yako haitoboi, jiandae kwa msoto.
4. Una familia na huna akiba mahali popote. Umekwisha
Mbona nimeuza na sijakwisha.Ukiuza nyumba ya urithi UMEKWISHA
Ndio. Dharura za kawaida sio majanga. Mfano gesi imeisha ghafla na umepata wageni wa ghafla mke kapiga simu kuna wageni na gesi imeisha hapo akiba inakusaidia.Kwa iyo hiyo dharura itachezea kwenye kiwango ulichoweka?
Eh kabisaWewe Unao Huo Ugonjwa??🤣
KwishaUkiwa na Khadija zaidi ya mmoja umekwisha