Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo nikukojolea na wee umeposta upuupu Happ kwenye avatar unadhn huku Ni instBora ni view picha ila sio ma video hayo ndio yanayotafuna bando kama mchwa
We mbwa koko koma kabisa kunifwatilia. Hunijui sikujui. Nitolee shombo zako, mxiiiiuNjoo nikukojolea na wee umeposta upuupu Happ kwenye avatar unadhn huku Ni inst
Duh!We mbwa koko koma kabisa kunifwatilia. Hunijui sikujui. Nitolee shombo zako, mxiiiiu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji255][emoji255][emoji91][emoji116]We mbwa koko koma kabisa kunifwatilia. Hunijui sikujui. Nitolee shombo zako, mxiiiiu
Unaweza kumaliza mwaka 2022 pasipo kuwa na namba yangu mkuu ?Nibip niisave tena, ila punguza status kamanda
Namba yako si ulininyima mkuu wanguUnaweza kumaliza mwaka 2022 pasipo kuwa na namba yangu mkuu ?
Niliibiwa simu mkuu, ebu nisogezee yako panapo PM ili niku flash asapNamba yako si ulininyima mkuu wangu
Sawa, ngoja nivuke barabaraNiliibiwa simu mkuu, ebu nisogezee yako panapo PM ili niku flash asap
Kwa taarifa yako ujinga unapendwa zaidi...mfano mzuri uzi wa kimasihara una wachangiaji wengi kuliko uzi wa elimu na siasa au mambo ya tech.Ukiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
Haya, fanya maarifa basi.Sawa, ngoja nivuke barabara
Kama ulikua una ka ujumbe unataka kafike kwa mtu utafatilia tuu kama ameviewHivi kuna mafaler huwa mnafuatili idadi ya wajomba walioview status yako
Hiyo ni tabia ya kipumbavu na ya kiswahili uswekeni huko, kama nina deal na wewe nitakufuata live nikuchane, hayo ya kukuwekea status ni masuala ya kikike.Kama ulikua una ka ujumbe unataka kafike kwa mtu utafatilia tuu kama ameview
SureHiyo ni tabia ya kipumbavu na ya kiswahili uswekeni huko, kama nina deal na wewe nitakufuata live nikuchane, hayo ya kukuwekea status ni masuala ya kikike.