Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekuja kuninanga hadharani 🤪Ila kuna watu ni wana kipaji cha kupost status. Mtu anapost status 15+ 🙌
😂😂😂😂Umekuja kuninanga hadharani 🤪
Hapo sasa, muda huo wangekua busy kutafuta helaInashangaza sana na hata Maisha ya sasahv Mwanaume hasa unapata wapi huo muda
😀😀 kuweni serious maandiko ya mungu hutaki unataka memes aiseeTena mi wanao post meme ndio nawakubali..ila ziwe za vichekesho..sio mistari ya kiroho maana bible tunazo
Kumbe kuna watu mmepeana na namba kabisa humu? Sijui nimechelewa wapi aseeNibip niisave tena, ila punguza status kamanda
Kwahiyo Post za kula tunda kimasihara zinazopata watu wengi sana ndizo bora sana!Ukiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
Kuna mangi mmoja anauza simu za accessories nyingi huyu jamaa anapost biashara na memes Sasa mi mpenzi wa memes huwaga sijui anazitoa wapi haswa za Kenya nacheka balaa hata nikiwa alone najikuta nacheka pekeangu napenda kuaona akipost sometime katika kupitia kachanganya na bidhaa nikaona na simu nikaipenda nikanunua jamaa mjanja sanaNawapenda sana wapost memes, bad luck nina wawili tu…
Mmoja anamix nguo zake anazouza na memes…
Mmoja mpaka ajisikie sasa dah! Carleen
😅😅Kumbe kuna watu mmepeana na namba kabisa humu? Sijui nimechelewa wapi asee
Soma mada vizuri uielewe mkuuAfadhari yangu!
Tangu nijunge na JF sijawahi kupost cho chote zaidi ya ku comment kwenye post za watu!
wakiview whatsapp wanakulipa bei ganiUkiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
Kuna shost mmoja nitakupa no yake naye nitampa yako asave uwe unaangalia memes zake.Nawapenda sana wapost memes, bad luck nina wawili tu…
Mmoja anamix nguo zake anazouza na memes…
Mmoja mpaka ajisikie sasa dah! Carleen
weww ndo umenenaWatu Wanapenda upost Mambo ya ngono ,umbea, matukio, zilizovuja mifarakano,yaliyokupata etc lakin upost Mambo ya Mungu na Mambo ya maendeleo utaona watu wachache Wanapenda ...
wanaume ndo hawapost au, usikaririNdio hamna cha maana kabisa, af wengine ni wanaume uwiii[emoji850]
Afu namsave aunt memes 🤣🤣🤣Kuna shost mmoja nitakupa no yake naye nitampa yako asave uwe unaangalia memes zake.
Yaan kama una stress siku yako inabadilika maana zinachekesha adi unajiuliza watu wanatoa wapi hivyo vichekesho😂😂