Ukiona watu hawaview status zako tambua unapost ujinga

Ukiona watu hawaview status zako tambua unapost ujinga

Beberu katuweza, mtu anaweka status, anaangalia wangapi wana Zi view as if inamuongezea kipato!
Labda kama ni matangazo ya bidhaa au huduma!

I rarely view status! Sijui ndiyo Sisi washamba tuliobakia??
I often post but I seldom view other people's shit
 
Kuna huyo mmoja ilikua kila ikifika alhamis anajipost tbt picha nyingiiiiii 10+ hapo bado siku zingine memes 20+ sasa picha zinajirudia hadi unawaza kwani lazima kujipost??
Nikapata tu mashaka ikabidi nifute no zake maana sikumuelewa.
Wew jamaa utakuwa una damu ya Kirusi maana una roho ngumu sana , sikutegemea kama utafuta namba yangu.
 
Hayo mambo ya maana mambo gani? Tatizo la watanzania ujuaji ni mwingi sana kila mtu ana preferences zake tusiwe serious sana na maisha wewe unaweza kusema ukiweka mambo ya yesu au Muhammad ni mambo ya maana kuna wengine kumbe hawapend wanakuona unapost ujinga wao wanapenda uposti report za CAG,unaweza kupost mambo ya sayansi ukahisi mambo ya maana kumbe kuna mtu tena ana heshima zake na wadhifa katika maisha yeye anapenda memes..tusiwe serious sana na maisha jamani
 
Nimeinyima WhatsApp access ya contacts, hivyo sioni status ya mtu, maana hata mimi sipost. Nikitaka kummessage au kumcall mtu naandika contact yake nawasiliana naye.
 
Back
Top Bottom