Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Sawawanaume ndo hawapost au, usikariri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawawanaume ndo hawapost au, usikariri
Aunt memes🤣🤣🤣🤣Afu namsave aunt memes 🤣🤣🤣
Wapost memes wanatuburudisha sana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wew jamaa utakuwa una damu ya Kirusi maana una roho ngumu sana , sikutegemea kama utafuta namba yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nibip niisave tena, ila punguza status kamanda
okAfadhari yangu!
Tangu nijunge na JF sijawahi kupost cho chote zaidi ya ku comment kwenye post za watu!
Haha..!Nawapenda sana wapost memes, bad luck nina wawili tu…
Mmoja anamix nguo zake anazouza na memes…
Mmoja mpaka ajisikie sasa dah! Carleen
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndio hamna cha maana kabisa, af wengine ni wanaume uwiii[emoji850]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna huyo mmoja ilikua kila ikifika alhamis anajipost tbt picha nyingiiiiii 10+ hapo bado siku zingine memes 20+ sasa picha zinajirudia hadi unawaza kwani lazima kujipost??
Nikapata tu mashaka ikabidi nifute no zake maana sikumuelewa.
AhsanteeeehHayo mambo ya maana mambo gani? Tatizo la watanzania ujuaji ni mwingi sana kila mtu ana preferences zake tusiwe serious sana na maisha wewe unaweza kusema ukiweka mambo ya yesu au Muhammad ni mambo ya maana kuna wengine kumbe hawapend wanakuona unapost ujinga wao wanapenda uposti report za CAG,unaweza kupost mambo ya sayansi ukahisi mambo ya maana kumbe kuna mtu tena ana heshima zake na wadhifa katika maisha yeye anapenda memes..tusiwe serious sana na maisha jamani
😂😂😂😂 masimango hayaui bana, kazi za memes na ziendeleeHaha..!
Nilikuwa mpost memes maarufu, on my birthday watu wakanisimanga kwamba sasa nimekuwa nitafute mume niolewe niachane na habari za memes,
Nami nikawaahidi kuwa nitabadilika, sitawaangusha.!!
Nikikosa mume una kaka wa kunipea???😂😂😂😂 masimango hayaui bana, kazi za memes na ziendelee
Nitatafuta… kwenye ukoo mzima siwezi kukosaNikikosa mume una kaka wa kunipea???
Haha,Nitatafuta… kwenye ukoo mzima siwezi kukosa
View zina kusaidia ninUkiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
KamahivHahahahaha eti kama shanga