Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Mbona huwa unaweka. Ila mm nachotambua status, ndio kipimo pekee cha kupima hisia za mtu.Wanakuchora wanakujua wanakucheka...
Mi siweki status...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huwa unaweka. Ila mm nachotambua status, ndio kipimo pekee cha kupima hisia za mtu.Wanakuchora wanakujua wanakucheka...
Mi siweki status...
[emoji1787][emoji1787] siweki...hebu kaangalie tena last seen...Mbona huwa unaweka. Ila mm nachotambua status, ndio kipimo pekee cha kupima hisia za mtu.
Beberu katuweza, mtu anaweka status, anaangalia wangapi wana Zi view as if inamuongezea kipato!Wakiview unapata sh ngapi?
Ukiangalia Kwa umakini unaona shanga hizi hapa..status 15+ na zote ni ushubwada mtupuIla kuna watu ni wana kipaji cha kupost status. Mtu anapost status 15+ 🙌
😃😃😃😃Fala Sana kwhy views Ni hela...jibu swali shahidi...unapata sh???Unaongeza views unakuwa na views nyingi
Shanga😂😂😂😂Ukiangalia Kwa umakini unaona shanga hizi hapa..status 15+ na zote ni ushubwada mtupu
Kama huyu..kapost shanga nikaview status tatu nikaskipJf iliyo ya ajabu kuna watu wataomba hadi pcha
😄😄😂 ni aibu kwakweliNdio hamna cha maana kabisa, af wengine ni wanaume uwiii🤐
Ukimwona Mwanaume yeyote anajipost in Status, kuwa na mashaka nae, huyo ana tatizo mahali au stress iliyokomaa.Ndio hamna cha maana kabisa, af wengine ni wanaume uwiii[emoji850]
Kuna huyo mmoja ilikua kila ikifika alhamis anajipost tbt picha nyingiiiiii 10+ hapo bado siku zingine memes 20+ sasa picha zinajirudia hadi unawaza kwani lazima kujipost??Ukimwona Mwanaume yeyote anajipost in Status, kuwa na mashaka nae, huyo ana tatizo mahali au stress iliyokomaa.
Kama una biashara ya mtandaoni (online business) ni faida kwako.Wakiview unapata sh ngapi?
ukikosa views unakufa??Ukiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
😀 😀Kuna huyo mmoja ilikua kila ikifika alhamis anajipost tbt picha nyingiiiiii 10+ hapo bado siku zingine memes 20+ sasa picha zinajirudia hadi unawaza kwani lazima kujipost??
Nikapata tu mashaka ikabidi nifute no zake maana sikumuelewa.
Tena huyu ana uhafadhali..yupo anaejaza utadhan anawanunulia bando viewerzKama huyu..kapost shanga nikaview status tatu nikaskip
Wanaboa sana watu wa hivyoKama huyu..kapost shanga nikaview status tatu nikaskip
Hivi kuna mafaler huwa mnafuatili idadi ya wajomba walioview status yakoUkiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga