Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wengi.Hata wewe unao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi.Hata wewe unao
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.2021 Tanzania iliondokewa na kiongozi mzalendo,mchapakazi na alieipenda nchi na wananchi wake kwa moyo wake wote.
Majizi yanapoteteana nchi hii mhalifu ndiye anatukuzwa aibu!!SIYO SABABU HATA MAGU ALIKUWAJIZI ILA MCHAPAKAZI
Sio kila comment lazima ujibu we vipi???????Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
So Kila unachojibiwa lazima upanic, una matatizo gani?Sio kila comment lazima ujibu we vipi???????
TAKATAKA KULIKO WOTE.Kweli kabisa nasema ukweli, kila wizara alikowekwa hayati Magufuli alifanya wandazi.
Leo umeme shida kila kona ya nchi mpaka hospitali zinakatiwa umeme, mwingine akasema eti winchi ya kunyanyua mitambo haijafika na wakati huo anakula perdiem kila anapotembelea BWAWA LA NYERERE.
Leo sukari shida miaka nenda rudi UTAFIKIRI TANZANIA HAINA MAENEO YA KULIMA MIWA TUKAPATA SUKARI KWA WINGI MPAKA TUUZE NJE YA NCHI TUPATE DOLA.
UKISHANGAA YA MUSA.........
Kweli kabisa nasema ukweli, kila wizara alikowekwa hayati Magufuli alifanya wandazi.
Leo umeme shida kila kona ya nchi mpaka hospitali zinakatiwa umeme, mwingine akasema eti winchi ya kunyanyua mitambo haijafika na wakati huo anakula perdiem kila anapotembelea BWAWA LA NYERERE.
Leo sukari shida miaka nenda rudi UTAFIKIRI TANZANIA HAINA MAENEO YA KULIMA MIWA TUKAPATA SUKARI KWA WINGI MPAKA TUUZE NJE YA NCHI TUPATE DOLA.
UKISHANGAA YA MUSA.........
Hakuna Rais asiye ua, pora, na kuteka. Wanazidiana viwango tu.Huyu jiwe alikuwa muuaji, mporaji, mtekaji na mpiga risasi. Asitajwe tena hapa JF.
Atakayemtaja atapigwa ban ya maisha hapa JF.
Wewe ni MuongoHuyu jiwe alikuwa muuaji, mporaji, mtekaji na mpiga risasi. Asitajwe tena hapa JF.
Waanze na weweAtakayemtaja atapigwa ban ya maisha hapa JF.
SIYO SABABU HATA MAGU ALIKUWAJIZI ILA MCHAPAKAZI
Mnateseka sana.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondelea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
InsaneHuyu jiwe alikuwa muuaji, mporaji, mtekaji na mpiga risasi. Asitajwe tena hapa JF.
Atakayemtaja atapigwa ban ya maisha hapa JF.
LunaticInsane
Nenda mahakamani au peleka popote unapohisi utasaidiwa usiishie hapa tuachieni mtu wetu apumzikeHuyu jiwe alikuwa muuaji, mporaji, mtekaji na mpiga risasi. Asitajwe tena hapa JF.
Atakayemtaja atapigwa ban ya maisha hapa JF.
Mwizi, muuaji, mtekaji, mporaji na mpiga watu risasi huwa hapumziki. Yuko motoni muda huu.Nenda mahakamani au peleka popote unapohisi utasaidiwa usiishie hapa tuachieni mtu wetu apumzike
Akili matope!SIYO SABABU HATA MAGU ALIKUWAJIZI ILA MCHAPAKAZI
Chuki bado hujazaa ile mimba nini?Huyu jiwe alikuwa muuaji, mporaji, mtekaji na mpiga risasi. Asitajwe tena hapa JF.
Atakayemtaja atapigwa ban ya maisha hapa JF.