johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jambo la msingi nililoliona kwenye hotuba ya Freeman Mbowe jana ni ukweli kwamba tunaongozwa na wabunge ambao hatukuwachagua.
Kwa mfano Babu Tale Kigwangalla, January nk nk walipigiwa kura na nani hadi wakafika bungeni.
Kadhalika wakurugenzi ambao ni makada wa CCM ndio wasimamizi wa uchaguzi, hapo mshindi anajulikana kabla ya uchaguzi.
Mengine aliyoongea ya ukabila na ukatili msingi wake uko ndani ya vyama vyote vya siasa, na huko serikalini vimepelekwa na wanasiasa
Ukatili unaanzia kwenye makundi kama Green guards, red nini sijui, blue....nk nk
Hilo la kufungiwa akaunti na TRA siyo jipya mzee Hashimu Rungwe akiwa NCCR alifungiwa account zote na kampuni yake ya kuuza magari kufilisiwa ikiwa na magari kibao yard na bandarini. Nadhani bwashee Mrangi wa Ufipa unaikumbuka Bahari Motors ya Spunda!
Niishie hapo.
Kwa mfano Babu Tale Kigwangalla, January nk nk walipigiwa kura na nani hadi wakafika bungeni.
Kadhalika wakurugenzi ambao ni makada wa CCM ndio wasimamizi wa uchaguzi, hapo mshindi anajulikana kabla ya uchaguzi.
Mengine aliyoongea ya ukabila na ukatili msingi wake uko ndani ya vyama vyote vya siasa, na huko serikalini vimepelekwa na wanasiasa
Ukatili unaanzia kwenye makundi kama Green guards, red nini sijui, blue....nk nk
Hilo la kufungiwa akaunti na TRA siyo jipya mzee Hashimu Rungwe akiwa NCCR alifungiwa account zote na kampuni yake ya kuuza magari kufilisiwa ikiwa na magari kibao yard na bandarini. Nadhani bwashee Mrangi wa Ufipa unaikumbuka Bahari Motors ya Spunda!
Niishie hapo.