kajembejr
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,289
- 1,317
Sifa nzuri ni
1.Ustaarabu sana
2.Upendo kiasi
3.Ukarimu ndio usiseme
4.Uzalendo kwa mbali
Sifa mbaya (japo ndio home lakini)
1.wivu wakisenge, unakuta jirani anaona wivu kisa mtoto wajirani kafaulu au anawajengea wazazi wake.. Basi ndio mwanzo wakupigana juju... Usenge mtupu
2.uvivu haswa jirani zetu wadigo... Daaa hawa watu wavivu hatari... Vijiwe vya kahawa kutwa
3.Majungu na ujuaji mwingi hata wasiyoyajua wanajifanya wajuaji sana.
4.Umbea na unafki
5.umalaya haswa kabila langu(siwatajii)
6.Wanaridhika na maafanikio madogo
1.Ustaarabu sana
2.Upendo kiasi
3.Ukarimu ndio usiseme
4.Uzalendo kwa mbali
Sifa mbaya (japo ndio home lakini)
1.wivu wakisenge, unakuta jirani anaona wivu kisa mtoto wajirani kafaulu au anawajengea wazazi wake.. Basi ndio mwanzo wakupigana juju... Usenge mtupu
2.uvivu haswa jirani zetu wadigo... Daaa hawa watu wavivu hatari... Vijiwe vya kahawa kutwa
3.Majungu na ujuaji mwingi hata wasiyoyajua wanajifanya wajuaji sana.
4.Umbea na unafki
5.umalaya haswa kabila langu(siwatajii)
6.Wanaridhika na maafanikio madogo