Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

vita hushindiwa kwa kushinda mapambano madogo madogo ,hivyo israel juiingilia vifaa vya mawasiliano vya kilebanoni na kuvilioua na kupelekea opponent wake kujeruhiwa na wengine kufa hayo ni mafanikio sana kwake,tuwe wa wazi.
Tafsiri yako ya mafanikio ina walakini.
Angalia basi,Kutaka umuue mpinzani wako kwa kutumia silaha uliyodhani itafanya kazi hiyo kirahisi na halafu silaha hiyo isifanye hivyo .Na bado adui yako akainuka na kuendelea kukurushia madude yake.Tuwe wawazi tu hilo shambulio linaitwa halikufanikiwa,bali lilileta taharuki tu kwa adui na kumpa fursa za kujilinda zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…