Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

Ukiondoa ushabiki, basi shambulio la Israel la simu za mkononi nchini Lebanon ni shambulio lililofeli na la aibu sana

Mossod tukio liliwapq eshima au mishen bola ilifanikiwa kimbinu kiakili kijasus ni ile ya mkuu wa nishat ya atomic iran. Ile kitu kama kweli walicheza wao sio vijana w cIA basi pale tumewapa mauwa yao,.lkn iyo ya Lebanon akuna kitu wanatapatapa tu.
 
zaidi ya kuaminiana, Israel imewekeza hela nyingi sana kwenye intelijensia. wamewanunua walebanoni wengi sana na wengine hezbollah kabisa wanapata mgao na kutoa siri na wapi maadui wapo na nini kinapangwa, ukiachilia kudukua simu zaol hata Gaza ni hivyo hivyo, kuna wapalestina wengi wanapata mgao hadi leo na kutoa siri ikizingatia vibarua wengi hata kwenye makazi ya walowezi wanayojenga ni wapalestina, vita ilipoanza walipiga marufuku hakuna kwenda kuomba kazi kwa wayahudi, walewale wamekuwa mosad kutoa siri. kama unakumbuka, kuna kipindi hamas wame execute wapalestina wengi tu kwa kutoa siri kwa israel. hadi Iran kuna mamluki. hivyo kila kinachoendelea kule lebanon israel wanajua.

shambulio la jana, viongozi karibia 20 wa hezbollah kwa siri walikutana kwenye jengo kufanya kikao, israel wakapewa taarifa na mamluki wao wa mule mule lebanon, wakapiga jengo zima na kuua viongozi hao pamoja na raia wengine kawatoa kafara. ukiwa na pesa unaweza kufanya intelijensia kubwa mno. kwani hata pagers, walijuaje kama wameagiza taiwan? si waliagiza kwa siri, unafikiri walitangaza tender? NO, ilikuwa kwa siri ila israel walijua kila kinachoendelea. bora kutumia pesa nyingi kwenye intelijensia na ulinzi ili ulale usingizi salama kuliko kutumia pesa kwenye mambo mengine. ndivyo wanachofanya.
Je Israhell wana lala usingizi salama pamoja na yote hayo? Kila siku raia wanakimbia nchi huu mziki sio wa siku moja au mbili hili goma ni la muda mrefu hivyo ajiandae tu hakuna atachowafanya hizbo pamoja na us wake wale wapo tuu na nightmare kwa myahudi sasa na haouth kajoin Cheni
 
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’

Israel ina population ya watu mil 9.5 takwimu za 2022 na square kilometers 22,145 tu. Eneo dogo watu wengi. Wasipotumia teknolojia, na akili nyingi na wakae kizembe, huku ukizungukwa na maadui, wanakufuta katika ramanj ya dunia. Nao wamegoma kufutwa katika ramani ya dunia. Tungoje kuche tuone mshindi.
 
Una maanisha waliouwawa ni wachache hawazidi watu 100, alafu waliokufa pia sio hezbullah na kikubwa zaidi ni kuwa Israel imefeli na hao wavaa kobazi wanazidi kuipiga Israel na kuharibu miundombinu. Hizi ni story za msikitini mkiwa mmeshiba kitimoto na ndizi mnazokula kwa kijificha. Ninachojua Gaza imechakazwa vibaya mno imekuwa kifusi na mbinu ilizotumia Israel kupiga Gaza ndani ya majengo soon itaanza kufundishwa kwenye majeshi mbalimbali ulimwenguni. Hiyo herzibullah kamanda wao aliyekuwa anatafutwa tangu 1983 ameuliwa na wayahudi akiwa kwenye maficho. Kingine Israel inaweza kumuua hayatollah muda wowote ikiamua.
Hata kama jamaa ni mbumbumbu ila acha dharau. Dah, nikecheka kama mazuri. 😀😀😀
 
Je Israhell wana lala usingizi salama pamoja na yote hayo? Kila siku raia wanakimbia nchi huu mziki sio wa siku moja au mbili hili goma ni la muda mrefu hivyo ajiandae tu hakuna atachowafanya hizbo pamoja na us wake wale wapo tuu na nightmare kwa myahudi sasa na haouth kajoin Cheni
Israel asiyelala usingizi na wewe kobazi unaelala usingizi mpo sawa umemshinda nini mbona nchi yake bado ipo vizuri kiuchumi, kiteknolojia, na ni watu wenye furaha lakini nyie kobazi mnaepata usingizi ndio mnaongoza kulalamika na kulia ndugu zetu wapalestina wanaisha, hawana chakula, huko lebanon wamefanyiwa shambulizi la kinyama umewahi kumuona myahudi analia lia kutafuta huruma za dunia
 
Je Israhell wana lala usingizi salama pamoja na yote hayo? Kila siku raia wanakimbia nchi huu mziki sio wa siku moja au mbili hili goma ni la muda mrefu hivyo ajiandae tu hakuna atachowafanya hizbo pamoja na us wake wale wapo tuu na nightmare kwa myahudi sasa na haouth kajoin Cheni
hawalali usingizi mzuri kwasababu pembeni kuna hezbollah na upande huu hamas. ndio maana wameimaliza hamas na wamesema hawawezi kuacha lazima waimalize hezbollah hawawezi kulala usingizi wakati kuna nyoka karibu na geti.
 
Una maanisha waliouwawa ni wachache hawazidi watu 100, alafu waliokufa pia sio hezbullah na kikubwa zaidi ni kuwa Israel imefeli na hao wavaa kobazi wanazidi kuipiga Israel na kuharibu miundombinu. Hizi ni story za msikitini mkiwa mmeshiba kitimoto na ndizi mnazokula kwa kijificha. Ninachojua Gaza imechakazwa vibaya mno imekuwa kifusi na mbinu ilizotumia Israel kupiga Gaza ndani ya majengo soon itaanza kufundishwa kwenye majeshi mbalimbali ulimwenguni. Hiyo herzibullah kamanda wao aliyekuwa anatafutwa tangu 1983 ameuliwa na wayahudi akiwa kwenye maficho. Kingine Israel inaweza kumuua hayatollah muda wowote ikiamua.
Teh! Sijui niseme nn ila huwa natamani Israel ashambulie na humu jamii forum aue haya magaidi vijidagaa ya humu kwenye forum
 
Wajamen ndo naingia kwenye huu Uzi nipeni...
Ndugu zangu wa Kobazi kimewakuta no nini...
Mara pagers mara smartphone mara laptop kulipuka...eeeh.

Mbona Naona kama hawa wamba wanapigika kila kukichaaa
 
NETANYAU alikuwa ana- prolong vita ya GAZA ..akimsilbiria Swahiba wake TRUMP aingie madarakani ili atimize lengo lake la kuivuta US ktk vita against IRAN...watu wakafanya juhudi ya ceasefire fire lakini akawa anachenga.
Baada ya NETANYAU kuona kibao kimegeuka kwa KAMALA HARRIS for presidential possibility, then Sasa kaamua kuzalisha vita na Hezbollah a few weeks before US RLECTION ili tu kutimiza lengo lake kwa kuwa anajua lazima IRAN ataingia, na hapo US naye ataingia .Kuna jews wanacheza ndani ya ISRAEL na nje - US
 
Aisee wewe ndio una jua stategy za kivita, pages kulipuliwa haikuwa ili wafe watu, hiyo ilikuwa trick ya kumchanganya adui zaidi, kwa sasa bila shaka wao kwa wao hawaaminiani tena, hawa wasiliani tena maana hakuna anaekubali kuwa jirani na walkie-talkie wala pages, simu ndio kabisa Mosad ndio hackers wa kimataifa, mataifa mengi huenda Israel kununua hizo tech ili kufatilia mawasiliano, imagine Israel anatumia satellites kupiga picha hadi ya kitu kilicho na cm30 ardhin na kinaonekana, so jamaa kwa sasa wesha kabwa kote kote, wacha wapoteane vita za kisasa sio za kupigana uso kwa uso. Japo iran wako vzr kwenye cyber attacks ingekuwa mifumo ya Israel iko weak wangekuwa washapoteana, tusingesikia wakilenga mashambulizi yao na yakapata targets
Si mchezo, Unaikumbuka Stuxnet?
 
Naamini israel imeshaona kwamba imetumia nguvu kubwa kwa mafanikio madogo.Utaalamu wa kufungua na kusoma mifumo ya kielektronic wanao sana Hizbullah na mshirika wao Iran na ikibida wanaweza kuvuka mipaka mpaka Urusi na Korea kaskazini.Tangu shambulio hili lifanyike uidhani wamelala tu.
Wewe ndo msemaji wao?
 
Una maanisha waliouwawa ni wachache hawazidi watu 100, alafu waliokufa pia sio hezbullah na kikubwa zaidi ni kuwa Israel imefeli na hao wavaa kobazi wanazidi kuipiga Israel na kuharibu miundombinu. Hizi ni story za msikitini mkiwa mmeshiba kitimoto na ndizi mnazokula kwa kijificha. Ninachojua Gaza imechakazwa vibaya mno imekuwa kifusi na mbinu ilizotumia Israel kupiga Gaza ndani ya majengo soon itaanza kufundishwa kwenye majeshi mbalimbali ulimwenguni. Hiyo herzibullah kamanda wao aliyekuwa anatafutwa tangu 1983 ameuliwa na wayahudi akiwa kwenye maficho. Kingine Israel inaweza kumuua hayatollah muda wowote ikiamua.
Ni kweli kabisa
 
Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona

UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’

Nilishakwambia Njia ya kuishi uwe na furaha ni kukubali Israel ina Mungu mwenye nguvu. Tulia tuijenge Tanzania yetu
 
Nature never lie,hata muungane itikadi kali wote, kwa kifupi myahudi kawazidi mengi sana.
 
Back
Top Bottom