kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Hivi huwa mkiwa mnazungumza mnakuwa mmekunywa kahawa au huwa mnakuwa mnajifurahisha.China hawana technolojia mpya. Technolojia zote ni za wayahudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa mkiwa mnazungumza mnakuwa mmekunywa kahawa au huwa mnakuwa mnajifurahisha.China hawana technolojia mpya. Technolojia zote ni za wayahudi
Urusi imetengenezwa na Wayahudi. Korea kaskazini hana issue ni tegemezi kwa kila kitu kwa Wachina? Je unataka China aambiwe anatengeneza Silaha kwa ajili ya Hezbollah? Unajua yeye yuko upande upi kati ya Hezbollah na Israel?Naamini israel imeshaona kwamba imetumia nguvu kubwa kwa mafanikio madogo.Utaalamu wa kufungua na kusoma mifumo ya kielektronic wanao sana Hizbullah na mshirika wao Iran na ikibida wanaweza kuvuka mipaka mpaka Urusi na Korea kaskazini.Tangu shambulio hili lifanyike uidhani wamelala tu.
ww unauhakika hivo vifaa vikilipuka vinaweza kuua wote waliokua wanavitumia? inatakiwa tujue je mlipuko wa vifaa hivo ni mkubwa au mdogo kuweza kusababisha maafa kwa kila ambaye kitamlipukia?Walitaka hizbullah wote waliokuwa wanazitumia wafe lakini hawakufa wote isipokuwa wachache sana na wakafa na wasiohusika ikiwemo watoto
Walitaka Hizbullah washindwe kurusha makombora wanayoyaogopa na jioni yake wakaendelea kuyavurumisha.
Toka mwaka Jana hili Taifa teule si wawafyekelee mbali Tu hawa wavaa kobazi,au na wao wamechemkaUna maanisha waliouwawa ni wachache hawazidi watu 100, alafu waliokufa pia sio hezbullah na kikubwa zaidi ni kuwa Israel imefeli na hao wavaa kobazi wanazidi kuipiga Israel na kuharibu miundombinu. Hizi ni story za msikitini mkiwa mmeshiba kitimoto na ndizi mnazokula kwa kijificha. Ninachojua Gaza imechakazwa vibaya mno imekuwa kifusi na mbinu ilizotumia Israel kupiga Gaza ndani ya majengo soon itaanza kufundishwa kwenye majeshi mbalimbali ulimwenguni. Hiyo herzibullah kamanda wao aliyekuwa anatafutwa tangu 1983 ameuliwa na wayahudi akiwa kwenye maficho. Kingine Israel inaweza kumuua hayatollah muda wowote ikiamua.
Suali zuri kwa iDf ambao hatujajua walikusudia nini ?.ww unauhakika hivo vifaa vikilipuka vinaweza kuua wote waliokua wanavitumia? inatakiwa tujue je mlipuko wa vifaa hivo ni mkubwa au mdogo kuweza kusababisha maafa kwa kila ambaye kitamlipukia?
Dunia nzima ilifikiri watanyamazishwa wiki ya mwanzo tu ya vita.Kufikisha mwaka mmoja mambo yamekuwa magumu kwa Israel kutoka kwa wavaa kobazi tu ambao silaha yao kubwa ni magoboreToka mwaka Jana hili Taifa teule si wawafyekelee mbali Tu hawa wavaa kobazi,au na wao wamechemka
Mzee mbona una lia lia sana bado wewe tu kulipukiwa na iko ki infinix chako kula bomu gaidiiiii 🔥🔥☄Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona
UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’
ni shambulio baya sana kwasababu wametoa siri kwa adui.ila kiufanisi, mengi yamefichwa tu, ila magaidi mengi yamekufa. kama hujui, ukiachia simu, radio na pagers ziliagizwa mahsusi kwa hezbollah sio kwa raia wasio na hatia. wale raia wa kawaida hawakuathirika sana, ila wale wanaojihusisha na hezbola tu. hata Hassan Nasraaa ukimsikiliza alitaja kabisa kwamba waliagiza pagers 5000 na ndizo walizigawa kwa wafuasi wao na zote zililipuka.Mashirika yote yaliyotajwa kuwa yalihusika na kutengeneza simu za mkononi za pagers na Walkie talkie zilizowaripukia watu nchini Lebanon wamekataa kuhusishwa na vifaa hivyo.Kila mmoja akitaja kuwa zilitengenezwa na mdau mwengine.
Kikawaida Israel inapoona imepata mafanikio kwenye mashambulio yake basi haraka huamua kujisifu ili kuongeza kitisho kama ilivofanya siku alipokufa Ismail Haniye na Alshukr.Lakini kwa hili shambulio la Lebanon japo limeonekana ni shambulio kubwa sana na la kisayansi lakini wenyewe wameamua kukaa kimya kutokana na aibu iliyowapata
Mashirika kadhaa ya kimataifa yametoa lawama wazi wazi wakilaumu shambulio hilo na wengine kusema ni sahambulio la kigaidi kwani limeuwa na kuumiza watu kadhaa wasiohusika.
Aibu zaidi ya shambulio hilo na kuonesha kufeli kinyume na kutaka kuonesha mafanikio makubwa ni kwamba watu waliokufa pamoja na wanachama wa Hizbullah hawajafika 100 na kwamba Hizbullah bado imeonekana kuwa na uwezo wa kurusha makombora mazito ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa ikiwemo kukata umeme baadhi ya maeneo hasa ya kaskazini.
Kwa ujumla ujumbe unaoweza kupatikana kupitia shambulio hilo ni kuwa Israel imeanza kuchoka na kukata tamaa kupambana na maadui zake kwa njia za kawaida achilia mbali kuheshimu matamko ya kimataifa kuhusu vita.
Wako wanaojiuliza jee Israel imeishiwa na mbinu na silaha za kawaida kuendeleza vita na watu ambao imekuwa ikiwakandamiza kwa miaka mingi ?.
Aibu ninayoizungumzia hata UN wameiona
UN warns of escalating violence in the Middle East as ‘communications tools become weapons’
Magobore na maweDunia nzima ilifikiri watanyamazishwa wiki ya mwanzo tu ya vita.Kufikisha mwaka mmoja mambo yamekuwa magumu kwa Israel kutoka kwa wavaa kobazi tu ambao silaha yao kubwa ni magobore
Watoto wa askari wa Hizbullah na wale waliokuwa sokoni wakiwauzia matunda Hizbullah pia unawataja kama watu wanaojihusha nao na kwamba n isawa wauliwe.Mbona Umoja wa mataifa na nchi kadhaa zimekataa hilo.ni shambulio baya sana kwasababu wametoa siri kwa adui.ila kiufanisi, mengi yamefichwa tu, ila magaidi mengi yamekufa. kama hujui, ukiachia simu, radio na pagers ziliagizwa mahsusi kwa hezbollah sio kwa raia wasio na hatia. wale raia wa kawaida hawakuathirika sana, ila wale wanaojihusisha na hezbola tu. hata Hassan Nasraaa ukimsikiliza alitaja kabisa kwamba waliagiza pagers 5000 na ndizo walizigawa kwa wafuasi wao na zote zililipuka.
pia wamefanikiwa kuleta taharuki kubwa sana kwa magaidi ya hezbollah kwenye mawasiliano, sasaivi wanaogopa kushika smartphone manake ukiwasha tu israel inajua ulipo na kurusha bom, pagers na radio calls hawagusi kabisa, sasa sijui watakuwa wanawasilianaje. ukiona adui anapata shida kuwasiliana ni mafanikio makubwa sana kwako.
imagine sasaivi, hata laptop kushika wanaogopa. all in all, amani ni kitu cha msingi sana waache kuua watu pande zote mbili.
ukanda ule kama hauelewi, unaweza kuona mtu anauza matunda sokoni ila ni mwanajeshi hatari sana wa hezbollah au hamas. mwingine unamwona anaendesha ambulance ila ni komandoo mkubwa mwenye mafunzo, waligawiwa hata hao wa sokoni, kama waliwapa watoto wao hiyo haiondoi ukweli kwamba vilipitia mikononi mwao.Watoto wa askari wa Hizbullah na wale waliokuwa sokoni wakiwauzia matunda Hizbullah pia unawataja kama watu wanaojihusha nao na kwamba n isawa wauliwe.Mbona Umoja wa mataifa na nchi kadhaa zimekataa hilo.
Afu wanakataa hawa wavaa kobazi. Namna israel anavyo watungua magaidi huwa najiuliza wanapigaje hawa wayahudiShambulio lililenga kuwapanikisha, na Sijui kwann Israel wamelifanya hivi Sasa.
Maana lilitayarishwa Kwa ajili ya Vita kamili ,.mpoteane ili Kichapo kitembee vizuri.
Ila palipo na Jambo Kuna sababu.
Israel ana jambo lake taaamu lojolojooooo linalowasubiria!! 🤣🤣🤣🤣
Ukishindwa waheshim Waisrael kupitia Opereshen Entebe, basi kumbuka tu Six days war , kumbuka namna walivyorudi Israel , angalia wanavyoua wabaya wao siku Hadi siku.
Duniani hapa, hata hao US hawasomi Kwa Israel.
Acha ushabiki.Yaani shambulio la kisayansi liue maafisa wa Hizbulah, lijeruhi maelfu ya watu, lilete taharuki nchi nzima, liharibu mipango na livuruge mikakati yote halafu wewe uko zako mbagala umeshiba mihogo na vichwa vya dagaa uje hapa JF useme ni shambulio la aibu na lililofeli!
Wewe ndio uliolipanga?
Jaribio lifeli halafu wahusika inakuwaje tena walalamike na kulaani?
kwa bahati mbaya ni kwamba, sasaivi hata hawataki kuangalia tv, wanaogopa zitalipuka.Afu wanakataa hawa wavaa kobazi. Namna israel anavyo watungua magaidi huwa najiuliza wanapigaje hawa wayahudi
Mahakamani atapoteza muda, ni kumueliminate tu. Hata wewe ukiendelea kuleta ubishi Israel watakueliminateWalishindwa nini kumkamata na kumpeleka mahakamani.Au wameamua tu waseme ili wasikike.
Wabarikiwe sana wana waisraeli. Mm sina baya nao nina waombea na Mungu anipe mibataka kama imani yangu inavyosema. Amebarikiwa mtu yule aibarikiwe israelkwa bahati mbaya ni kwamba, sasaivi hata hawataki kuangalia tv, wanaogopa zitalipuka.