Ukipanga maeneo haya Dar sahau kufanikiwa

Ukipanga maeneo haya Dar sahau kufanikiwa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuhama haya maeneo nilihamia maeneo fulani hivi Tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea [emoji2][emoji2].

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Sababu ya kutokufanikiwa ukiishi maeneo hayo ni hiyo ya kuwekewa Vikao na kudiskasiwa au kuna Nyingine?
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Kwa hiyo siku hizi unaishi wapi Mkurugenzi? Masaki, O'bey, Mbezi Beach, au Msasani!
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Upuuzu mtupu ,sasa mbona hujafanikiwa mpaka sasa? Mimi mbona nimeishi hayo maeneo Tandika na Mbagala na nina maisha mazuri tu Alhadulilah...
 
Chenga tupu hamna kitu boss , sema mwananyamala ni amsha, nilipata Banda la chipsi uswazi kinyama Ila sio mbali na stend ya makumbusho , kuna sink mbili za Choo, rent 2000 Kwa sku , kuna round about fulan hv barabara ilikuwa inajengwa , aisee nilichora chap skurud hata kutoa mrejesho
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
 
Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
😂😂😂😂Jamani
 
Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
Mzee wa Chabo ndio nani huyo Mkuu??na paka anavyojamba unasikia sauti ya kijambo kabisa au inakuaje??[emoji1787]
 
Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
Kama ulikuwa unakula misosi yao Basi ulilogwa
waniloge wapi nikisepa 😂😂
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea [emoji2][emoji2].

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Ujatoa sababu za kutokufanikiwa kwako Ni kipi Sasa
 
Back
Top Bottom