Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 640
MKuu hayo mambo yapo kwingi shida ni ugumu wa maisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau mburahat,mtoni kwa azizi Ali,mtongani,buza kwa lulenge,tabata mawenzi ukilala simu weka uvunguni[emoji1787][emoji1787][emoji137]
😀😀 😀 😀 Oooooooui! hii chai leo sukari imekolea!Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
😂😂😂 kabisa mkuuUmesahau mburahat,mtoni kwa azizi Ali,mtongani,buza kwa lulenge,tabata mawenzi ukilala simu weka uvunguni[emoji1787][emoji1787][emoji137]
Mkuu niunganishie basi kwa huyo mama kuna familia inatafuta nyumba ya kupanga maeneo hayo ya TabataTabata pazuri sana, nilipanga nyumba ya mama mmoja hivi mtu wa iringa aisee, alikuwa hana time na mpangaji wake, pale kidogo nilisogea kimafanikio na kakibanda nikapata.
Mitaa gani iyo niamieNiende moja kwa moja kwenye mada.
Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.
Tandika
Buguruni
Mbagala
Gongo la mboto
Buza kwa mpalange
Mwananyamala
Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.
Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.
Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.
Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.
Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.
Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Haya maeneo ni rahisi kufanikiwa yana watu wengi ambao unaweza kuwatumia kama fursa kwako, ni dhahiri wewe msomi na umeajiriwa sehemu,elimu yako na ajira vimefunga mawazo ya kuziona fursa nyingine.Niende moja kwa moja kwenye mada.
Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.
Tandika
Buguruni
Mbagala
Gongo la mboto
Buza kwa mpalange
Mwananyamala
Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.
Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.
Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.
Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.
Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea [emoji2][emoji2].
Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Mpk sasa sijaona sababu ya yeye kutaja hayo maeneo....kwahio wote walioishi buguruni,gongo la mboto hawajafanikiwa....Ujinga mwingi...Sababu ya kutokufanikiwa ukiishi maeneo hayo ni hiyo ya kuwekewa Vikao na kudiskasiwa au kuna Nyingine?
hii ni kweli kabisaNiende moja kwa moja kwenye mada.
Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.
Tandika
Buguruni
Mbagala
Gongo la mboto
Buza kwa mpalange
Mwananyamala
Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.
Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.
Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.
Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.
Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea [emoji2][emoji2].
Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
ukiwa una maisha mazuri kidogo nyumba nzima inakutegemea weweSababu ya kutokufanikiwa ukiishi maeneo hayo ni hiyo ya kuwekewa Vikao na kudiskasiwa au kuna Nyingine?
sio kwa woteUpuuzu mtupu ,sasa mbona hujafanikiwa mpaka sasa? Mimi mbona nimeishi hayo maeneo Tandika na Mbagala na nina maisha mazuri tu Alhadulilah...
Umenikumbusha wimbo wa zamani "Mtaa wa Saba"Baada ya kuhaamia tabata ile nyumba ilikuwa na baraka aiseeh, nikipata bahati ya kupata kazi kampuni fulani mambo hayakuwa mabaya hapo ndio mafanikio yangu yalianzia.
Mpaka sasa nimeona umeorodhesha tu maeneo lakini cjaona sababu yeyote ya wewe kutofanikiwa ... kumbuka kufuliwa nguo , kuwekewa chakula , hizo siyo sababu ... naona hufanikiwi kwasab unawa waza watuNiende moja kwa moja kwenye mada.
Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.
Tandika
Buguruni
Mbagala
Gongo la mboto
Buza kwa mpalange
Mwananyamala
Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.
Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.
Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.
Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.
Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.
Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Buza nilipanga km nyumba mbili yani niliteseka acha 2Umesahau mburahat,mtoni kwa azizi Ali,mtongani,buza kwa lulenge,tabata mawenzi ukilala simu weka uvunguni[emoji1787][emoji1787][emoji137]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.