Ukipanga maeneo haya Dar sahau kufanikiwa

Ukipanga maeneo haya Dar sahau kufanikiwa

Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
😀😀 😀 😀 Oooooooui! hii chai leo sukari imekolea!
 
Hiyo ni imani yako. Alafu umeishi nyumba moja Tandika kisha una conclude na maeneo mengine.

Watu wa Pwani huwa na ukarimu huo wa kutoa chakula hasa ukiwa bachela ( hata baadhi ya watu wa mikoani wanayo) kwa roho yako mbaya kwa tabia yako ya ushirikina ukatafsiri vibaya. Kikwazo Ni imani na mawazo yako
 
Tabata pazuri sana, nilipanga nyumba ya mama mmoja hivi mtu wa iringa aisee, alikuwa hana time na mpangaji wake, pale kidogo nilisogea kimafanikio na kakibanda nikapata.
Mkuu niunganishie basi kwa huyo mama kuna familia inatafuta nyumba ya kupanga maeneo hayo ya Tabata
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Mitaa gani iyo niamie
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea [emoji2][emoji2].

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Haya maeneo ni rahisi kufanikiwa yana watu wengi ambao unaweza kuwatumia kama fursa kwako, ni dhahiri wewe msomi na umeajiriwa sehemu,elimu yako na ajira vimefunga mawazo ya kuziona fursa nyingine.
 
Sababu ya kutokufanikiwa ukiishi maeneo hayo ni hiyo ya kuwekewa Vikao na kudiskasiwa au kuna Nyingine?
Mpk sasa sijaona sababu ya yeye kutaja hayo maeneo....kwahio wote walioishi buguruni,gongo la mboto hawajafanikiwa....Ujinga mwingi...
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea [emoji2][emoji2].

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
hii ni kweli kabisa
imenikuta pia kipindi naishi maeneo ya Buguruni walikuwa wanitegeshee binti yao mmoja siku namleta demu wangu siku hiyo nyumba nzima walininunia

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuhaamia tabata ile nyumba ilikuwa na baraka aiseeh, nikipata bahati ya kupata kazi kampuni fulani mambo hayakuwa mabaya hapo ndio mafanikio yangu yalianzia.
Umenikumbusha wimbo wa zamani "Mtaa wa Saba"
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.

Tandika

Buguruni

Mbagala

Gongo la mboto

Buza kwa mpalange

Mwananyamala

Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.

Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.

Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.

Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.

Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea 😃😃.

Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuama haya maeneo niliamia maeneo fulani hivi tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Mpaka sasa nimeona umeorodhesha tu maeneo lakini cjaona sababu yeyote ya wewe kutofanikiwa ... kumbuka kufuliwa nguo , kuwekewa chakula , hizo siyo sababu ... naona hufanikiwi kwasab unawa waza watu
 
Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii inategemea na aina ya mama mwenye nyumba, mimi bhna kipindi nasoma nilipanga chumba familia ya mwenye nyumba ilikuwa na ujamaa sana...yaani wananilazimisha nile nao chakula, imagine umetoka chuo ukae nje kwenye mkeka ule na familia ya mama mwenye nyumba hii kitu ilinishinda...alikuwa ananaksirika kabisa tusipoenda kula,
Kimbwanga ilikuwa hela ya umeme na maji, hatakama nikifunga chuo nadaiwa hela ya umeme...nikileta demu ghetto binti yake wakike anakiwasha ile mbaya anaongea hatar😂😂😂
 
Back
Top Bottom