Ukipanga maeneo haya Dar sahau kufanikiwa

Yani mkuu ulikuwa unakataa chakula cha bure?
 
Mmekusahau tabata (kisukulu) kisukulu ikiwa na maana ya "kisu-kikali) ni eneo gumu hatari, lina wanga waliostaarabika yaani wapole ishu zao ni chinichini wana gia la ustaarabu mwingi na unyeyekevu lakini kaa chonjo.
 
Mmekusahau tabata (kisukulu) kisukulu ikiwa na maana ya "kisu-kikali) ni eneo gumu hatari, lina wanga waliostaarabika yaani wapole ishu zao ni chinichini wana gia la ustaarabu mwingi na unyeyekevu lakini kaa chonjo.
Aisee huko ndio mitaa iliotulea hilo anga lote ni chafu yani hutoboi 😂 nilikuwa najiuliza kwanini vijana wengi wameharibikiwa. Waliosoma hawana maendeleo. Nmesota sana ila kumbe chanzo ni wanga wengi na wamevuruga maisha ya wengi sana. Deile ilikuwa naamka na chale mwilini vilinge vya wachawi usiku nilikuja kusanda nikasepa😂😂😂!!!

Lile eneo lote anzia Tabata Kimanga mpaka Kisukulu hakuna nuru ni pazito mno.
 
hii ni kweli kabisa
imenikuta pia kipindi naishi maeneo ya Buguruni walikuwa wanitegeshee binti yao mmoja siku namleta demu wangu siku hiyo nyumba nzima walininunia

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
😂😂
Mmekusahau tabata (kisukulu) kisukulu ikiwa na maana ya "kisu-kikali) ni eneo gumu hatari, lina wanga waliostaarabika yaani wapole ishu zao ni chinichini wana gia la ustaarabu mwingi na unyeyekevu lakini kaa chonjo.
😂😂
 
🤣🤣🤣
 
Matatizo ya watu wa bara hayo kutoelewa mambo ya pwani.

Kufanikiwa ni akili yako tu, wala hakuhusiani na unaishi wapi.

Mfano kama wewe ulikuwa na akili ya kutafuta ajira, umepata ajira, na huo ndo msingi wa mafanikio yako. Mambo ya mwenye nyumba na mabinti zake yatakupotezeaje mafanikio? Sema tu ukiwa umetoka kwenye mfumo wa elimu maisha ya watu ambao hawajasoma sana kama wewe ujanani utayashangaa kama hivyo. Ila ukishaongeza umri na kupitia maeneo mengi mengi kimaisha (au ukiingia kwenye siasa) kushangaa kutapungua.
 
Kwanini baba naa lakini [emoji2]!!?

Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa tukaishi wap maana Dar yote ni uswazi tu na hayo maeneo machache ili ukakae huko masaaki inabidi uwe ushafanikiwa kabisa
Life style yako ndio itaamua ufanikiwe au laa
 
Baada ya kuhaamia tabata ile nyumba ilikuwa na baraka aiseeh, nikipata bahati ya kupata kazi kampuni fulani mambo hayakuwa mabaya hapo ndio mafanikio yangu yalianzia.
Kwa hiyo tandika hukuwa na kazi na ukataka mafanikio?
 
Hii kamba mamaee [emoji16][emoji16]
 
Ulikuwa unakula binti yake nini ?

Mimi nilishajifunza [emoji16] demu wa kupitia mara moja sileti ghetto

Sitongozi mpangaji mwenzangu au binti wa mama mwenye nyumba
 
Tabata ndio kwenyewe, asikwambie mtu bhana
 
Kuna rafiki yangu alikua anaishi mbezi ya chini kule kuna eneo wamejaa wamakonde wanaishi kwenye viwanja vya watu toka miaka ya 90 adi leo yan adi wenye maeneo wanakufa wao wapo,huko nako ni balaa!alianza kupoteza kitu kimoja baada ya kingine,akawa haelewi ad akapata msaada wa kiroho ndo kuambiwa lile anga sio watu wanaruka sana usiku wanaharibu mambo ya watu!
 
Yote tisa. Asilimia 70% ya wakazi wa tandika ni majizi vijana kalibu wote niwezi hatari, wauza mbunye kama wote yaani hakuna ustaarabu
 
🤣 🤣 🤣 Dah- Kuna mtaa niliwahi kuishi hakuna hata kijana mmoja amewahi toboa, hata waliosoma maisha ni yaleyale tu. Halafu kuna mtu anasema hakuna uchawi 🤣🤣, uchawi upo ndugu zangu ingawa usipoyaona inakuwa ngumu kuamini. Kuna nyumba niliwahi panga LINDI acha tu, nilikaa pale kama wiki 3 nikatonywa na jirani wa mtaa wa 4 ambaye huyo mama ni rafiki wa rafiki yangu tulikutana huko, alivyojua ninaishi kwenye hiyo nyumba alishangaa nime-survive vp manake kila mpangaji lazima afie ndani.
Huwezi amini nilikaa pale kama mwaka, nikajiwekeza kwenye kusali kwa bidii, ila mengi niliyaona. Kama siyo MUNGU, sijui asee 🤣🤣🤣. LINDI uchawi wa kiukwelikweli upoo wala siyo story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…