Sina uelewa sana, lakini kuna mitaa ina ulozi mbaya sana. Hakuna nuru hata kidogo. Kufanikiwa kwenye hayo maeneo inahitaji mtu mwenye supernatural powers au upate kibali cha muumba otherwise huwezi ona mwanga. Kuna mahala unaweza kukuta watu wa kawaida sana lakini wenye mioyo nyoofu na wasio na makuu- Very very good people.Sasa tukaishi wap maana Dar yote ni uswazi tu na hayo maeneo machache ili ukakae huko masaaki inabidi uwe ushafanikiwa kabisa
Life style yako ndio itaamua ufanikiwe au laa
Kutofanikiwa au kufanikiwa kunatokana na mipangilio yako ya kimaishaNiende moja kwa moja kwenye mada.
Ukipanga haya maeneo dar ni uswazi kupindukia ukila vizuri au ukiwa ni mtu wa kuvaa vizuri sana lazima watu wakuwekee vikao.
Tandika
Buguruni
Mbagala
Gongo la mboto
Buza kwa mpalange
Mwananyamala
Niliwahi kuishi Tandika nyumba tofauti tofauti, kipindi hicho nafanya kazi maeneo ya uwanja wa ndege hivyo niliona ni sehemu sahihi kufikika kirahisi kwenye kibarua changu.
Nikiwahi kukutana na kisa kimoja mama mwenye nyumba alikuwa na binti zake, wapo tu nyumbani.
Jumapili nikiwa nikishinda nyumbani girlfriend wangu alikuwa kila weekend anakuja magheto, sasa tulikuwa tunakutana na kero mama na wanae ni vicheko vya kinafiki makelele mara waweke muziki wa taarabu sauti juu.
Maeneo haya ukijichanganya ukaanza mahusiano na mabinti wa maeneo hayo umekwisha, wakikuona unamaisha mazuri wanakutegeshea binti yao wakikunasa ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.
Sasa wakaona sinasi wakaanza kuniwekea msosi kila nikirudi kutoka job nakuta msosi, nikasema poa wakileta nafinya alafu sitaki mazoea ππ.
Mara wewe upo busy sana, uwe unaacha nguo tukufulie nasema poa, nilikuja kuhama haya maeneo nilihamia maeneo fulani hivi Tabata huku kidogo nilikutana na utofauti kila mtu na mishe zake.
Lindi huko niliendaga kufatilia mishe za kangomba nikakaa week ila ilikuwa kila saa 3 usiku naskia usingizi mzito baada ya mda unakata ukicheki ushachalazwa chale ππππ€£ π€£ π€£ Dah- Kuna mtaa niliwahi kuishi hakuna hata kijana mmoja amewahi toboa, hata waliosoma maisha ni yaleyale tu. Halafu kuna mtu anasema hakuna uchawi π€£π€£, uchawi upo ndugu zangu ingawa usipoyaona inakuwa ngumu kuamini. Kuna nyumba niliwahi panga LINDI acha tu, nilikaa pale kama wiki 3 nikatonywa na jirani wa mtaa wa 4 ambaye huyo mama ni rafiki wa rafiki yangu tulikutana huko, alivyojua ninaishi kwenye hiyo nyumba alishangaa nime-survive vp manake kila mpangaji lazima afie ndani.
Huwezi amini nilikaa pale kama mwaka, nikajiwekeza kwenye kusali kwa bidii, ila mengi niliyaona. Kama siyo MUNGU, sijui asee π€£π€£π€£. LINDI uchawi wa kiukwelikweli upoo wala siyo story
Kwanini isisemwe!! Jiwe mpaka leo bado wanasema kwa mabaya na mazuriHata maiti inasemwa.
Kuna mipangilio gani kwa wengi zaidi ya kusoma vizuri na kufaulu kuomba ajira? Au wengine kumaximize mitaji kwenye biashara.Kutofanikiwa au kufanikiwa kunatokana na mipangilio yako ya kimaisha
Uliyoyataja ndo mipangilio yenyewe.. Sasa we mtu anahisi alikopanga ndo kunampa umasikini badala ya kudeal na mipangilio yake unategemea nini?Kuna mipangilio gani kwa wengi zaidi ya kusoma vizuri na kufaulu kuomba ajira? Au wengine kumaximize mitaji kwenye biashara.
Hizo ndio njia ambazo wengi wamezitumia kufikia standard nzuri ya maisha. Kama umefata hatua zote kwa usahihi kwanini wengine wanatoboa we hutoboi kama unahisi maisha ni mpangilio?
Acha kuongelea maisha kiwepesi namna hio.
Hahahahaha kuna mazingira yanaingilia natural forces of nature nayo yanajulikana kama shirkiUliyoyataja ndo mipangilio yenyewe.. Sasa we mtu anahisi alikopanga ndo kunampa umasikini badala ya kudeal na mipangilio yake unategemea nini?
NB Diamond ni wa TANDALE
Duh!π€£ π€£ π€£ Dah- Kuna mtaa niliwahi kuishi hakuna hata kijana mmoja amewahi toboa, hata waliosoma maisha ni yaleyale tu. Halafu kuna mtu anasema hakuna uchawi π€£π€£, uchawi upo ndugu zangu ingawa usipoyaona inakuwa ngumu kuamini. Kuna nyumba niliwahi panga LINDI acha tu, nilikaa pale kama wiki 3 nikatonywa na jirani wa mtaa wa 4 ambaye huyo mama ni rafiki wa rafiki yangu tulikutana huko, alivyojua ninaishi kwenye hiyo nyumba alishangaa nime-survive vp manake kila mpangaji lazima afie ndani.
Huwezi amini nilikaa pale kama mwaka, nikajiwekeza kwenye kusali kwa bidii, ila mengi niliyaona. Kama siyo MUNGU, sijui asee π€£π€£π€£. LINDI uchawi wa kiukwelikweli upoo wala siyo story
Ungejuwa matajiri wanapaki ma-V8 huko kigilagila usingesema. Yaani wa Ushuani na ndiyo wenye majumba yao ni washirikina hatariHahahahaha kuna mazingira yanaingilia natural forces of nature nayo yanajulikana kama shirki
Huyo kijana aliyeishi huko unakokusema ni kwamba aliamua kuishi ROMA akawa kama WAROMA wanavyotaka, badala ya kuhangaika na mambo yake ya kimaishaπ€£ π€£ π€£ Dah- Kuna mtaa niliwahi kuishi hakuna hata kijana mmoja amewahi toboa, hata waliosoma maisha ni yaleyale tu. Halafu kuna mtu anasema hakuna uchawi π€£π€£, uchawi upo ndugu zangu ingawa usipoyaona inakuwa ngumu kuamini. Kuna nyumba niliwahi panga LINDI acha tu, nilikaa pale kama wiki 3 nikatonywa na jirani wa mtaa wa 4 ambaye huyo mama ni rafiki wa rafiki yangu tulikutana huko, alivyojua ninaishi kwenye hiyo nyumba alishangaa nime-survive vp manake kila mpangaji lazima afie ndani.
Huwezi amini nilikaa pale kama mwaka, nikajiwekeza kwenye kusali kwa bidii, ila mengi niliyaona. Kama siyo MUNGU, sijui asee π€£π€£π€£. LINDI uchawi wa kiukwelikweli upoo wala siyo story
Hilo huenda mwenzetu halijui...Katika haya maisha kama hujaotea chance ya kulamba asali kwenye mashirika na mamlaka za nchi basi wewe lazima uwe mtu wa kawaida sana...Ukifosi utapitia vichochoro vya gizani au kuichezea sharubu katiba πππUngejuwa matajiri wanapaki ma-V8 huko kigilagila usingesema. Yaani wa Ushuani na ndiyo wenye majumba yao ni washirikina hatari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakata Rufaa kwanini umekusahau Kawe? Kuna sehemu inaitwa Ukwamani Makaburi Matatu jirani na kwa Mzee Marehemu Mzee wa Chabo ( Baba Naa ) huko Kukutana na Paka ama Anajamba au anakuamkia Shikamoo au Anakusonya au anakuomba ukibakiza Chakula umhifadhie ni Jambo la Kawaida sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umesahau mburahat,mtoni kwa azizi Ali,mtongani,buza kwa lulenge,tabata mawenzi ukilala simu weka uvunguni[emoji1787][emoji1787][emoji137]
Waloaji Mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nini uwe simu uvunguni?