Mtu Mbadi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2024
- 403
- 457
System unayosema siijui labda ya nchi nyingine lakini sio hii TanzaniaBado ujajua system ilivo mkuu...
Wee tulia hivo hivo ila asije akaja mtu humu kulalamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
System unayosema siijui labda ya nchi nyingine lakini sio hii TanzaniaBado ujajua system ilivo mkuu...
Wee tulia hivo hivo ila asije akaja mtu humu kulalamika
Sawa nipo hapa mkuuSystem unayosema siijui labda ya nchi nyingine lakini sio hii Tanzania
Wee muongo sana, JKT haihusiani na HESLBHuwezi kupata...
Kuna mwenzako ilikua hivo hivo alipangiwa ila wakamjaza huku jf..
Leo hii hana mkopo anatafuta mchawi nani..
Sasa wewe endelea hivo hivo humu utapewa moyo tu
Ila mda wenzako wanaponda boom wee unawaza ada utakua peke ako
Wee kiben10 uchwaraaa uongo, hujistukiiii?.Bado ujajua system ilivo mkuu...
Wee tulia hivo hivo ila asije akaja mtu humu kulalamika
Hivi ukimaliza form six ukapangwa mafunzo JKT na hujaripoti mafunzoni je nikiomba mkopo HESLB nitapata? Naomba mwenye kufahamu hili anijuze. Natanguliza shukrani
Wewe tena ni vile unataka kunibishia tuu...Wee muongo sana, JKT haihusiani na HESLB
Nani kiben10 sasa 😂😂😂😂Wee kiben10 uchwaraaa uongo, hujistukiiii?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee ni muongo sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe tena ni vile unataka kunibishia tuu...
Labda nikwambie kuwa mimi nipo na mtu wa karibu anaejua hayo mambo
Shangazi wa mkoani [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani kiben10 sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha basi... Bila jkt mkopo upati.Wee ni muongo sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Labda shangazi wa maporiniii.
Coca mi sio kiben10 now najitegemea mwenyewe alafu sasa hivi sitoki ja mashangazi natoka na kitoto kimoja hv cha kampala hapa gomzi..Wee hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kweli mkuu , tuliopo ndo tunaelewa hali halisi , nakuona kabisa haufahamu hali halisiAcha basi... Bila jkt mkopo upati.
Fatilia wanaokosa mikopo au wanaopata asilimia chache utaona shida ni nini ..
Mliopo wapi.?Sio kweli mkuu , tuliopo ndo tunaelewa hali halisi , nakuona kabisa haufahamu hali halisi
VyuoniMliopo wapi.?
😂😂😂😂 Tulia soma kwanza.Vyuoni
Kwani ulikuwa unasemea kuhusu mambo yajayo baada ya kusoma au kuhusu kupata mkopo? 😁😁😁😂😂😂😂 Tulia soma kwanza.
Ujui mambo dogo
Mkuu nasemea mkopo...Kwani ulikuwa unasemea kuhusu mambo yajayo baada ya kusoma au kuhusu kupata mkopo? 😁😁😁
Mkuu mimi hapa sikwenda JKT (nilichelewa kuripoti kambi zilikuwa zimejaa) na nina mkopo , nina marafiki zangu walienda JKT na sasa wameacha chuo kwa sababu ya kukosa mikopoMkuu nasemea mkopo...
Kama ujaenda jkt uwezi pata mkopo...
Kama una uthibitisho toa hapa
Wee jamaa nimeamini ni muongo kabisa aiseeeee 🙌🙌🙌🙌🙌Mkuu mimi hapa sikwenda JKT (nilichelewa kuripoti kambi zilikuwa zimejaa) na nina mkopo , nina marafiki zangu walienda JKT na sasa wameacha chuo kwa sababu ya kukosa mikopo