Ukipata nafasi ya kumtongoza mwanamke fanya bila kusita

Ukipata nafasi ya kumtongoza mwanamke fanya bila kusita

Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Itumie tena nafas yako km kchwa cha hbr chako kinavyosema
 
Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Wanawake wengi mambo safi wanavutiwa na wanaume wa kawaida sana. Acha uoga
 
ca621602-b087-4519-9300-6354f0026e84.jpg
 
Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Sasa na hio si ni fursa...? Ni pm details ila mwanaume ukiona unaona mwanamke ana hela basi ww una shida sana...
 
Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Nipe namba zake bas😋😋😋
 
Back
Top Bottom