dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
- Thread starter
- #21
Ningekupa tatizo nampenda sana kiasi kwamba sitopenda aumizwe na mtu yeyote. Una uhakika upo real hutamuumiza?Nipe namba zake bas😋😋😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekupa tatizo nampenda sana kiasi kwamba sitopenda aumizwe na mtu yeyote. Una uhakika upo real hutamuumiza?Nipe namba zake bas😋😋😋
sio kwa ubaya jamani😅 usije ukaniita kibuyuWewe nilikuwa nakutafuta, nilitaka kukujibu uzi ukafutwa
Eeh nimempa nani juju?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilidhani ni hawa watoto wa Joined 2023Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Love mkuu, achana na hii kitu. Unatupotezea concentration hatariNilidhani ni hawa watoto wa Joined 2023
Kumbe ni wa 10 years back. What is going on here?
Me mwenyewe wa kawaida sana...ww si mambosafi, tufanye jambo basWanawake wengi mambo safi wanavutiwa na wanaume wa kawaida sana. Acha uoga
Kwani kakao kiliamuaje kwa swala kama hili?Tukisema muhudhurie vikao, mnadai mambo ni mengi mda ni mchache.
ONA SASA HUYU!
Shule gani sasa? Au elimu mtaani.com?Shule zifunguliwe aisee😅
Wewe ulitamani umkute kapauka ndio umtongoze? Acha uoga dogoKwa sasa ana mkwanja mrefu sana. Itaonekana nafuata mpunga wake
Uzi tayari😆😆Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
🤣🤣Uzi tayari😆😆
Mi hata sio wa kawaida kwa kweli pesa naitaka sana tuMe mwenyewe wa kawaida sana...ww si mambosafi, tufanye jambo bas
usikate tamaa mtafutie mfumoMwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
sio kwa ubaya jamani[emoji28] usije ukaniita kibuyu
basi yaishe😅Wewe sio wa kunisema vile na unajua toka mwanzo wa safari yule bwana ilikuwaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Waseme wengine sio wewe mshamba unajua kila kitu……. Kibuyu tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]
basi yaishe[emoji28]
usiyatie moyoni....