Ukipata nafasi ya kumtongoza mwanamke fanya bila kusita

Ukipata nafasi ya kumtongoza mwanamke fanya bila kusita

Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Nilidhani ni hawa watoto wa Joined 2023

Kumbe ni wa 10 years back. What is going on here?
 
Tukisema muhudhurie vikao, mnadai mambo ni mengi mda ni mchache.

ONA SASA HUYU!
 
Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Uzi tayari😆😆
 
Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
usikate tamaa mtafutie mfumo
 
Mimi kuna manzi nilitokea kumpenda sana kipindi nafanya kazi taasisi fulani, ila nafasi ya kumtongoza sikupataga, alikua ananikwepa kwepa sana. Alikua ana vigezo vyote nilivyokua nahitaji mke wangu mtarajiwa awe navyo, kuanzia dini, tabia na muonekano.

Akaja kuliwa tunda na bwana mdogo pale pale ofisini kwavile walikua kitengo kimoja ikawa rahisi kuzoeana nae. Mpaka nilipohama ile taasisi sikuweka tena mawazo ya kumtongoza, niliweka mipaka na kuheshimu mahusiano yake na yule bwana mdogo.
 
sio kwa ubaya jamani[emoji28] usije ukaniita kibuyu

Wewe sio wa kunisema vile na unajua toka mwanzo wa safari yule bwana ilikuwaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Waseme wengine sio wewe mshamba unajua kila kitu……. Kibuyu tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]
 
Wewe sio wa kunisema vile na unajua toka mwanzo wa safari yule bwana ilikuwaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Waseme wengine sio wewe mshamba unajua kila kitu……. Kibuyu tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]
basi yaishe😅

usiyatie moyoni....
 
Back
Top Bottom