dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Itumie tena nafas yako km kchwa cha hbr chako kinavyosemaMwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Kwa sasa ana mkwanja mrefu sana. Itaonekana nafuata mpunga wakeItumie tena nafas yako km kchwa cha hbr chako kinavyosema
Mtongoze ule kindula chap🤣Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Kindula ndio nini mkuu?Mtongoze ule kindula chap🤣
👟 Hicho hapoKindula ndio nini mkuu?
Hahahaaaaa👟 Hicho hapo
Wanawake wengi mambo safi wanavutiwa na wanaume wa kawaida sana. Acha uogaMwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Kibuti👟 Hicho hapo
Kweli mkuu? Hataanza kunisema kwa watu huko?Wanawake wengi mambo safi wanavutiwa na wanaume wa kawaida sana. Acha uoga
Mungu atanisaidia ntasahau lakinidah, pole sana mkuu, hii utaijutia maisha yako yote....
wahuni tusiache mbachao aisee....
Sasa na hio si ni fursa...? Ni pm details ila mwanaume ukiona unaona mwanamke ana hela basi ww una shida sana...Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.
Hawa vipi nao?
Ushawahi kupenda lakini?Sasa na hio si ni fursa...? Ni pm details ila mwanaume ukiona unaona mwanamke ana hela basi ww una shida sana...
Ipo hivyo trust me.Kweli mkuu? Hataanza kunisema kwa watu huko?
Mmmmhh haya ngoja nione muelekeoIpo hivyo trust me.
Anachotafuta ni true love or good sex
dah, pole sana mkuu, hii utaijutia maisha yako yote....
wahuni tusiache mbachao aisee....
Nipe namba zake bas😋😋😋Mwenzenu kuna manzi nilimuelewa sana tena sana. Hizi ngoja ngoja tukaja poteana. Tumekuja kuonana baadae manzi ana mkwanja hatari! Sasa siwezi kumtokea saizi maana itaonekana nimefuata mkwanja wake. Inabidi niendelee tu kumtamani kwa mbali.
Uzi tayari.