DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Unapopata pesa nawazungumzia vijana wa Leo hakikisha unakaa nyumbani , hakikisha pesa inageuka Akiba ya kudumu usikubali kutumia pesa yako kununua Magonjwa ili baadae uishi kwa mateso.
Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu.
Hizi hadithi za zamani nilikuwa na PESA acha zibaki kwao usiziruhusu zitokee kwako.
Ukipanda Juu hakikisha unakuwa makini zaidi ya ulivyokuwa chini . Maana siku zote kushuka chini ni rahisi kuliko kupanda Juu. Pia usisahau kujisamehe na kuanza upya .
Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu.
Hizi hadithi za zamani nilikuwa na PESA acha zibaki kwao usiziruhusu zitokee kwako.
Ukipanda Juu hakikisha unakuwa makini zaidi ya ulivyokuwa chini . Maana siku zote kushuka chini ni rahisi kuliko kupanda Juu. Pia usisahau kujisamehe na kuanza upya .