Guy of gisbon
JF-Expert Member
- Apr 22, 2024
- 564
- 803
Kama ni nafasi ya uraisi cha kwanza nibadili katiba na kuweka katiba Mpya inayoleta haki usawa na huruma Kwa wananchi.
Cha pili ningefanya elimu kuanzia chekechea mpaka chuo iwe bure.
Cha tatu ningefanya matibabu iwe bure. Najua Kwa rasilimali tulizo nazo inawezekana..
Pia ningevunja mikataba mibovu na kulinda rasilimali za nchi.
Cha pili ningefanya elimu kuanzia chekechea mpaka chuo iwe bure.
Cha tatu ningefanya matibabu iwe bure. Najua Kwa rasilimali tulizo nazo inawezekana..
Pia ningevunja mikataba mibovu na kulinda rasilimali za nchi.