Ukipigwa kirungu na demu wakati wazungu wanataka kutoka utaweza kukikwepa?

simple wengine muda huo tunafikiria madeni na hasara tunayopata kwa tendo tunalofanya hivyo simple tu unastop na unaondoka!
Haya mambo haya!!!, mwaka fulani nimewahi kutumia laki na nusu ya ada nikiwa chuoni kwa bata, usiku wake tupo hotelini na demu pombe zimeisha nikakumbuka UE ni jumatatu na hiyo ni jumamosi alafu bila kulipa hiyo 150 sifanyi UE
Askari alilala ghafla na hakuamka hata ile asubuhi aligoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…