Huu upumbavu ndio maana nimempiga marufuku kaka mzuri kufanyiwa huduma yoyote tofauti na kunyoa.Kwenye bango la salon waliandika bei za kawaida na VIP. Sikufikiria tofauti yake, wakati naenda vyumba vya warembo nikawaambia VIP. Heee kumbe kule akawa ananifanyia scrub huku kavaa kamtandio.
Ila sio vyema kuleta makasiriko, wengine hawawezi kuvumilia na yaweza sababisha ugomvi.Yap..
Nadhani wale warembo malipo yao hutegemea idadi ya watu waliofanyia Scrub, nk. Sasa ukichomoa unapunguza mpunga wao.
Mmoja aliniambia: nafanya Scrub, massage..
Mimi: mbona kuna viti tu, kitanda kiko wapi?
Mrembo: hapana, tuna viti tu
Mimi: massage utanifanyia vipi bila kitanda?
Mrembo: inawezekana kaka, maana nakufanyia tu kichwani, shingoni na mabegani.
Mimi: basi hiyo siyo massage...
Maeneo mengine unalipiaHamna kuoshwa huwa ni bure baada ya kunyolewa
Kaka kumbe unaupenda huu mchezoWanamikono milaini utasikia kaka inuka kidogo nisafishe sikio mungu awabariki sana
Hii imekaa poa sana, mkuu uliwezaje kumtrain shemej...... 🤔nimesoma comment za watu humu minecheka sana. ila kuepuka hayo kipara tafuta mtu akunyoe sio lazima saloon mfano mimi nanyolewa na mke wangu kwahyo huduma kama scrub na masaji ya kichwa napata bureee kabisa tena kwa mahaba tele...,
hao madem nao wanatafuta kipato ila sio ustaarabu kumuumiza mtu kisa hajataka huduma fulani
Mara ya mwisho kwenda saloon nadhani ilikua mwaka jana July.Habari za jioni Wakuu
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Mume wako nae ni bwege yaani mwanamke anipige marufuku kufanya scrub? unaanzia wapi?Huu upumbavu ndio maana nimempiga marufuku kaka mzuri kufanyiwa huduma yoyote tofauti na kunyoa.
Kilimshinda moto ulikuwa mkali ama vipi!Habari za jioni Wakuu
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Sasa ningekutajia vyote nilivyomkataza na hafanyi ungesemaje?Mume wako nae ni bwege yaani mwanamke anipige marufuku kufanya scrub? unaanzia wapi?
Sindyo, alafu ni moto mkali sio wa kitotoKilimshinda moto ulikuwa mkali ama vipi!
Wengi humu wanakana ila wanaupendaKaka kumbe unaupenda huu mchezo
Hii ni kweli kabisa naunga mkono hoja zoteHabari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Wame rundikana wanakula vichwa sindyoWatakula wapi na wamerundikana hapo kama.....
Daah kmmk walai😀🙌Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Mafaza tena wanavyo penda rahaWengi humu wanakana ila wanaupenda
Hoja imepitaHii ni kweli kabisa naunga mkono hoja zote