Wale wasichana hawanyoi wanasubiri wanaonyolewa wawafanyie hizo huduma nyingine wapate pesa, hivyo wakiona hutaki huduma nyingine hasira zinaelekezwa kwako ndiyomaana wanakuosha kichwa kama unabatizwa vile!!Wame rundikana wanakula vichwa sindyo
Kumbe wajomba wakivaa pensi wanajiona wapo peponi 😂Asilimia kubwa wanapenda kuminywa na kutomaswa jitu na kitambi na mindevu , jitu lingine limevaa pensi bas anajiona yuko peponi
Hasira zao waonyeshe kwengine sio kwenye vipara vya watuWale wasichana hawanyoi wanasubiri wanaonyolewa wawafanyie hizo huduma nyingine wapate pesa, hivyo wakiona hutaki huduma nyingine hasira zinaelekezwa kwako ndiyomaana wanakuosha kichwa kama unabatizwa vile!!
Alafu haukaushwi unaachwa hivyo hivyoTena ukijifanya mjanja unaoshwa na maji ya baridi utamwagiwa mpaka masikioni
Dah!Saloon ambazo wanaofanya scrub ni wasichana usipotongoza utasuguliwa kama mbao na msasa
NomaDah!
mwendo wa kipara mkuu maelekezo kidogo tu.... ila anapenda kunyoa ni kama kipaji chakeHii imekaa poa sana, mkuu uliwezaje kumtrain shemej...... 🤔
Au huwa unanyoa kipara kama kaka mkubwa hapo juu (maana hyo style ndo huwa haina mambo mengi)
Unapocopy hizi contents za watu uwe unatoa credit mazeeHabari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Kaka usiombe yakukute, siunjua ngozi ya kichwani ikishika moto ni balaaWatakula wapi? Ila hapo kwenye kitambaa cha moto nimecheka sana 😂 😆
Basi inamaana kukasirika ni sehemu ya kazi yao kwakweliJana tu nimeona makasiriko yao kamwaga chwaa kaenda kukaa nje hataki tena stori
Siku hizi mjini kila sehem ukizubaa unatapeliwa kwa huduma zisizo fikia hadhi ya pesa unayo toa.Vile vi saloon, huwa mataperi Sana, unakuta ka saloon kadogo, hakana hata air conditioning,anayefsnya scrub ni mdada Hana mvuto, mchafu mchafu, ukimaliza, wanakuambia gharama elfu kumi!
Shenzi kabisa
Hahahahahaha. Akaona upara wako ndio pakupoozea ujoto wa kitambaa ambacho mikono imeshindwa kuhimili. Pole sanaHabari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Kamtandio hakikudondoka kwa bahati mbaya hata mara moja?Kwenye bango la salon waliandika bei za kawaida na VIP. Sikufikiria tofauti yake, wakati naenda vyumba vya warembo nikawaambia VIP. Heee kumbe kule akawa ananifanyia scrub huku kavaa kamtandio.
Taja hiyo saloon ili tujihadhari tukiwa tunaenda. Na ikiwezekana muhudumu ili boss wake amfanyie uchunguziHabari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Sidhani kama ni saloon moja tu yenye hizi tabia, imekuwa tabia ya kawaida kwa saloon nyingi hapa town.Taja hiyo saloon ili tujihadhari tukiwa tunaenda. Na ikiwezekana muhudumu ili boss wake amfanyie uchunguzi
Imagine chumba kina feni, full kupeperushwa. Wakati mwingine anakatandua eti anajifunga vizuriKamtandio hakikudondoka kwa bahati mbaya hata mara moja?
🤣🤣Pamoja na mbinu zote hizo za kivita lakini ulishinda vishawishi....hongera sana mkuu!!Imagine chumba kina feni, full kupeperushwa. Wakati mwingine anakatandua eti anajifunga vizuri
Unapenda scrub?Scrub na huduma nyingine zinalipiwa broo. Ukikataa kufanyiwa maanaake umewabania kipato wale mabinti wenye kazi hiyo