joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kuna kipindi nilikiwa na piga tempo na wazee fulani, ndipo nilijua vitu vingi sana. Yaani mpaka unashangaa mzee mzima anakwambia anaccount ya siri mke wala watoto wake hawajui, yaani acheni tuu hivi vitu,kuna wengine hela zao wameweka UTT,unajua kabusa huko home hakufai.Kweli, maisha yana mengi
Aliekwambia starehe dhambi ni nani? Ufalme wa Mungu sio mgumu hivyo kama mnavyotaka kuufanya. Lengo la mtoa mada ni Furaha na furaha haichagui, waliokuja duniani kuwa watumwa ndio ambao hawana muda wa kustarehe, Mungu mwenyewe alipata muda wa kupumzika siku ya saba. Ukisikia neno starehe ni Nini kinakujia?Ukiwa na Roho mtakatifu ndani yako hakuna umri wakufanya starehe Dunia hii wewe ni mavumbi tu tafuta kuurithi uzima wa milele kila dhambi unayoifanya bila kutubu inanukuliwa siku ya hukumu utastaajabu sana
Ila ukiwa na Roho Mtakatifu ndani yako Mungu anakukumbusha dhambi zako ili utubu hii ndio tofauti ya watu waliokoka na watu wanaoendelea kuyapenda mambo ya kidunia
huyo kijana anaweza kula chipsi tu akinywa bia tumbo linaumaKijana, kheri ubadilike sasa kuliko kusubiri kufika🤣. . . . Ni kubaya sanaaaa.!
Eeeh! Kumbe wakati wa kujijengea kakilabu umefika. . .Nikifika hiyo age ntakuwa naenda live band au najijengea bar yangu napiga nyimbo za Fally na Fere gola na baba yao koffi
Ile miziki km huna hela huwezi kuielewa mazee 😂😂😂
Unamaanisha ?🤣huyo kijana anaweza kula chipsi tu akinywa bia tumbo linauma
mtoto mtelu mteluUnamaanisha ?🤣
Usije zani ni rahisi kuingia ufalme wa mbinguni Sina hakika kama una soma bibliaAliekwambia starehe dhambi ni nani? Ufalme wa Mungu sio mgumu hivyo kama mnavyotaka kuufanya. Lengo la mtoa madam ni Furaha na furaha haichagui, waliokuja duniani kuwa watumwa ndio ambayo hawana muda wa kustarehe, Mungu mwenyewe alipata muda wa kupumzika siku ya saba. Ukisikia neno starehe ni Nini kinakujia?
We chelewa kuleta mahari watakuwahi 😂😂😂Niko poa sana mchuchu!!
Hivi kumbe bado wa moto hivi
Ndiomana wanyapiaji ni wengi sana
Ushafika bro ila bado kidogo 😂😂Eeeh! Kumbe wakati wa kujijengea kakilabu umefika. . .
Mfalme wa "ku like" JamiiForum, sio "aihusiani", ni "haihusiani" ndugu raraa reree .View attachment 3067231
Starehe ahiusiani na umri
Nashangaaga mtu akiniambia niache starehe nabaki kujiuliza kwani ni dhambi 😃Aliekwambia starehe dhambi ni nani? Ufalme wa Mungu sio mgumu hivyo kama mnavyotaka kuufanya. Lengo la mtoa madam ni Furaha na furaha haichagui, waliokuja duniani kuwa watumwa ndio ambayo hawana muda wa kustarehe, Mungu mwenyewe alipata muda wa kupumzika siku ya saba. Ukisikia neno starehe ni Nini kinakujia?
Mkuu huna hela tu, wazee wa 60+ wapo na yatchs baharini humo wanajilia starehe zote bila shida, Mpiji Magohe unalima huko?Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Mi 45yrs ila uniambii kitu kwa vitoto, na mazoezi nnayofanya nipo kama wa miaka 26 perfoms,Wanasema ukitaka uishi vizuri uzeeni hakikisha umepita mapito yote ya ujanani ndio maana ukimkuta mtu anasumbua sana uzeeni jua ujanani kuna vitu hakufanya.
Mimi nilikuwa muumini sana wa kumaliza ujana pale nilipokuwa na umri wa 20-30 na nilipofika 31 nilikuwa nishamaliza mambo ya ujana ndio maana leo huwezi nikuta sehem ambazo wanakaa vijana wa sasa na zenye vurugu nyingi kama sinza huko,Tabata na buza, mbezi beach, masaki(coco beach).
Wazee asaiv unatukuta sehemu kama Goba, Makongo, Mbweni, Mpiji Magohe kwenye vi grocery vya mtaani, ndio sehemu zetu za kutamba watu wazima.
Nyongeza kwa wazee wenzako ukifika umri wa 35+ anza kutumia hela kupata mwanamke sio umri tena wa kutaka upendwe au utongoze mwanamke, wewe pendwa na mkeo hao wengine hela itumike tu, pia sio umri wa kumridhisha mwanamke utaja fia kifuani.
ASANTENI
Mm nitakuwa mzee niliegoma kuzeekaKijana, kheri ubadilike sasa kuliko kusubiri kufika🤣. . . . Ni kubaya sanaaaa.!