Ukishaona mtu anatanguliza sana maneno ya IQ, mara "ooh kuna watu wana IQ ndogo humu" ujue huyo kinachomsumbua ni kitu tunaita Condescending judgment

Ukishaona mtu anatanguliza sana maneno ya IQ, mara "ooh kuna watu wana IQ ndogo humu" ujue huyo kinachomsumbua ni kitu tunaita Condescending judgment

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
How much is enough ili kuweza kuridhisha matakwa na mategemeo ya mwanadamu, utashi tulionao pekee hautoshi ku-prove kuwa sisi ni bora ingawa hatuendani??, sasa kwa sababu upo egoistic, selfish na umevurugwa utaanza kuwapanga watu katika makundi ya akili ndogo ili wewe uonekane upo vizuri upstairs na ufariji nafsi yako.

Cha kushangaza huyu uliempanga katika kundi la akili ndogo akianza kukujibu tena na wewe unajibizana nae hadi mate yakutoka, but dude? Si umesema wewe una upeo mkubwa sasa vp unabishana na mtu ambae unajua akili yake haitakupa matokeo chanya na productive.

Condescending judgement ni pale
mtu anapowahukumu wengine kwa njia inayoonyesha kwamba anajiona bora kuliko wengine na anajiona ni mtu ana akili zaidi kuliko wengine. Hii yote ni Nia ya kuwafanya wengine wajisikie vibaya tu

JF ni uwanda wa burudani, sio kila mtu anacho provide humu ndio maisha yake halisi katika judgement yake ya maisha, masihara na utoto katika majibizano upo mwingi hadi kwenye mabunge ya UK, US.

View: https://youtube.com/shorts/8ABGRuWmAdg?si=hY_o9cOqUF4Sn_R5
 
How much is enough ili kuweza kuridhisha matakwa na mategemeo ya mwanadamu, utashi tulionao pekee hautoshi ku-prove kuwa sisi ni bora ingawa hatuendani??, sasa kwa sababu upo egoistic, selfish na umevurugwa utaanza kuwapanga watu katika makundi ya akili ndogo ili wewe uonekane upo vizuri upstairs na ufariji nafsi yako.

Cha kushangaza huyu uliempanga katika kundi la akili ndogo akianza kukujibu tena na wewe unajibizana nae hadi mate yakutoka, but dude? Si umesema wewe una upeo mkubwa sasa vp unabishana na mtu ambae unajua akili yake haitakupa matokeo chanya na productive.

Condescending judgement ni pale
mtu anapowahukumu wengine kwa njia inayoonyesha kwamba anajiona bora kuliko wengine na anajiona ni mtu ana akili zaidi kuliko wengine. Hii yote ni Nia ya kuwafanya wengine wajisikie vibaya tu

JF ni uwanda wa burudani, sio kila mtu anacho provide humu ndio maisha yake halisi katika judgement yake ya maisha, masihara na utoto katika majibizano upo mwingi hadi kwenye mabunge ya UK, US.

Breakdown of Scores on an IQ Scale

  • 1 to 24: Profound mental disability.
  • 25 to 39: Severe mental disability.
  • 40 to 54: Moderate mental disability.
  • 55 to 69: Mild mental disability.
  • 70 to 84: Borderline mental disability.
  • 85 to 114: Average intelligence.
  • 115 to 129: Above average or bright.
  • 130 to 144: Moderately gifted
JF members wanakuwa useful kuanzia score ya 115, chini ya hapo ni changamoto kwa hili jukwaa :CaptFailFish:
 
How much is enough ili kuweza kuridhisha matakwa na mategemeo ya mwanadamu, utashi tulionao pekee hautoshi ku-prove kuwa sisi ni bora ingawa hatuendani??, sasa kwa sababu upo egoistic, selfish na umevurugwa utaanza kuwapanga watu katika makundi ya akili ndogo ili wewe uonekane upo vizuri upstairs na ufariji nafsi yako.

Cha kushangaza huyu uliempanga katika kundi la akili ndogo akianza kukujibu tena na wewe unajibizana nae hadi mate yakutoka, but dude? Si umesema wewe una upeo mkubwa sasa vp unabishana na mtu ambae unajua akili yake haitakupa matokeo chanya na productive.

Condescending judgement ni pale
mtu anapowahukumu wengine kwa njia inayoonyesha kwamba anajiona bora kuliko wengine na anajiona ni mtu ana akili zaidi kuliko wengine. Hii yote ni Nia ya kuwafanya wengine wajisikie vibaya tu

JF ni uwanda wa burudani, sio kila mtu anacho provide humu ndio maisha yake halisi katika judgement yake ya maisha, masihara na utoto katika majibizano upo mwingi hadi kwenye mabunge ya UK, US.
Very well said
 
Breakdown of Scores on an IQ Scale
  • 1 to 24: Profound mental disability.
  • 25 to 39: Severe mental disability.
  • 40 to 54: Moderate mental disability.
  • 55 to 69: Mild mental disability.
  • 70 to 84: Borderline mental disability.
  • 85 to 114: Average intelligence.
  • 115 to 129: Above average or bright.
  • 130 to 144: Moderately gifted
JF members wanakuwa useful kuanzia score ya 115, chini ya hapo ni changamoto kwa hili jukwaa :CaptFailFish:

Asante kwa ukweli huu. Kuukataa ukweli huu, lazima huyo mtu atakuwa chini ya 115.

Binadamu tunafanana katika utu, siyo katika karama au vipawa:

Hatufanani katika uwezo wa akili

Hatufanani katika nguvu za misuli

Hatufanani katika uwezo wa kuhimili magonjwa

Hatufanani hata kwa sauti

Kudai wanadamu wote wanafanana katika uwezo wa akili (IQ), ni uwongo mkubwa.
 
IQ kuwa ndogo au kubwa ni jambo ambalo ni real(can be tested).

Mtu akitoa hoja na kusema mtu ana IQ ndogo inabidi kujua kwanza katumia kipimo kipi ndio tuone kama madai yake ni sahihi au sio sahihi.

Changamoto nyingi katika majibizano kwenye mada mbali mbali hapa JF ni za kimalezi na hazina uhisiano na IQ ya mtu(ni sababu ndogo sana).
 
Toka nimeanza kutumia JF sijawahi kuwa seriously zaidi ya 5% .

JF ni kijiwe kama vijiwe vya mtaani Tu. Labda JF imechangamka zaidi kwa kuwa na wadau wengi na mitazamo Mingi.

Ukitaka kuwa na Good time zaidi huku jamvini "Take it easy"
Kinachovutia JF ni namna kila MTU ana nafasi ya kuexpress Ideas/feelings zake bila kuhofia uhuru wake binafsi .

Mfano unaesoma hii reply Jitathmini .
 
dah watu hamna dogo na uzi mmeanzisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila umeongea kweli mleta mada
 
Bila utani maisha hayaendi vyema.
Watu wengine Kila sehemu wanajifanya wako serious kanakwamba hata kaburini watakuwa serious pia.
Ukichunguza wale watu wanaopenda kuwa serious ni wale wanaopenda kuheshimiwa hata kama hawastahili hizo heshima.

Wabadilike!!
 
IQ kuwa ndogo au kubwa ni jambo ambalo ni real(can be tested).

Mtu akitoa hoja na kusema mtu ana IQ ndogo inabidi kujua kwanza katumia kipimo kipi ndio tuone kama madai yake ni sahihi au sio sahihi.

Changamoto nyingi katika majibizano kwenye mada mbali mbali hapa JF ni za kimalezi na hazina uhisiano na IQ ya mtu(ni sababu ndogo sana).
malezi, elimu na exposure ni factor kubwa, high IQ haifanyi mtu awe na mtu mzuri kwenye jamii anayotoka, lakini anakuwa smart kwa uelewa na ku solve changamoto za mazingira yanayomzunguka, mfano mzuri ni Elon Musk ni sadist kumzidi Trump
 
Back
Top Bottom