Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
- Thread starter
- #21
Hakikamalezi, elimu na exposure ni factor kubwa, high IQ haifanyi mtu awe na mtu mzuri kwenye jamii anayotoka, lakini anakuwa smart kwa uelewa na ku solve changamoto za mazingira yanayomzunguka, mfano mzuri ni Elon Musk ni sadist kumzidi Trump
Alafu ana masihara sanaaa ila bongo tutamuita punguani😂😂