Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Hatutaki ukabila, utekaji, utesaji na uuaji kisa hutak upingwe!! Tanzania yetu hatukuwahi kua ivo wala kuzungumzia ukabila lkn awamu iliyopita ndio imezaa yote hayo!!!Maana yake ni kwamba bado sera za Magufuli zinakubalika kuliko za mwanasiasa yeyote hapa nchini.
Hakuna mfu alie hai nyie mpiganie aliekufa lkn tunadili na walio hai tuu. Mfu na aachwe apumzike!!
Hizo ni tuhuma ambazo hakuna awezaye kuzithibitishwa zenye lengo la kumchafua ndio maana watanzania walishazizibia masikio!!Hatutaki ukabila, utekaji, utesaji na uuaji kisa hutak upingwe!! Tanzania yetu hatukuwahi kua ivo wala kuzungumzia ukabila lkn awamu iliyopita ndio imezaa yote hayo!!!
Refer vijana wake.. sabaya and co. Vitu vingine havihitaj akil kubwa kuvielewa mzee 😂😂 alikua anajua na alivibariki that's why hakufanya lolote!!!Hizo ni tuhuma ambazo hakuna awezaye kuzithibitishwa zenye lengo la kumchafua ndio maana watanzania walishazizibia masikio!!
Mafisadi walituaminisha kwamba nchiyetu ni maskini iliwapige kodizetu alafu huduma muhimu zakijamii zikikosekana tuzubaetu tuseme nchi nimaskini ndio maana hatuwezi kujihudumia.Watanzania walio wengi walimkubali sana Magufuli. Magufuli aliwafungua macho watanzania, Wanasiasa walikuwa wanatudanganya kuwa nchi yetu ni maskini ili kuhalalisha wizi na ufisadi wao. Wengi wa wanaomchukia Magufuli ni mafisadi na familia zao. Ni wale ambao hawakupata kabisa fursa ya kuendelea kujifanya miungu watu kwenye ofisi za umma na wakwepa kodi. Mtu ulikuwa ukiingia ofisi ya umma unapokelewa na kuhudumiwa kwa heshima. Sasa hivi miungu watu wamerudi kwa kasi maofisini.
Lakini pia Magufuli alituongoza vizuri sana kwenye vita dhidi ya corona. Wakati wa Magufuli mabeberu hawakupata kabisa fursa ya kutumia corona kutunyonya! Chanjo za corona zisizo na sifa ya kuitwa chanjo (maana hazimkingi mtu na corona) hazikupata nafasi kabisa nchini mwetu! Hatimaye Dunia imekubali kile ambacho Magufuli alikiona mwanzo kabisa kuwa Dunia inabidi ijifunze kuishi pamoja na corona kama ilivyo kwa magonjwa mengine! Watanzania tulio wengi huwezi kutuambia kitu kuhusu Magufuli!! Tunampenda!! Tunamkubali!!! Ni mchapa kazi!! Ameacha alama isiyofutika: SGR, STIGLER'S GEORGE, MAKAO MAKUU DODOMA!! Haya yote yalikuwa kama ndoto ya mchana isiyotekelezeka kabla ya Magufuli!! Lakini Chini ya Magufuli yote yamewezekana tena kwa muda mfupi!!! Ukimpiga vita Magufuli ni kutwanga maji kwenye kinu!!! Hata ukishindana na kaburi lake atakutoa knock out!!!!
Hata kama haumkubali Magufuli kwa maneno lakini vitendo vyako na vya wengi vinaonesha wanamkubali sana Magufuli!! Wengi wanaompinga kwa maneno bado hakubali kuchanjwa kama Magufuli alivyoshauri. Bado wapinzani wa Magufuli hawavai barakoa ikiwamo wanasisa kama Magufuli alivyoshauri!! Wanasiasa wa leo huvaa barakoa tu kwenye vikao kama kamera ikiwapo ili kuwafurahisha na kuwazuga mabeberu wanakobembeleza pesa za corona! Huo ndio nukweli, si tunaishi nao kwenye jamii na tunawajua sana!!Kazikwe nae sisi tulio hai hatutaki huu ujinga.
Nawewe nimmoja ya wanao pigwa KO na kaburi.Ungesema wewe na baadhi ya watu. Mimi kwangu jiwe ni rais wa. Ovyo kuwahi kutokea duniani
Hatutegemei fisadi na familia yake ampende Magufuli au mkwepa kodi!!Ungesema wewe na baadhi ya watu. Mimi kwangu jiwe ni rais wa. Ovyo kuwahi kutokea duniani
Umemwambia kweli!!Nawewe nimmoja ya wanao pigwa KO na kaburi.
mkabila na mbinafsi hafai kuwa kiongozi, kama huwamini pitia teuzi zake, ajira za waalimu 2020 alijaza wasukuma, ni rais wa ovyo kuwahi kutokea duniani .Hatutegemei fisadi na familia yake ampende Magufuli au mkwepa kodi!!
Matako yakoWatanzania walio wengi walimkubali sana Magufuli. Magufuli aliwafungua macho watanzania, Wanasiasa walikuwa wanatudanganya kuwa nchi yetu ni maskini ili kuhalalisha wizi na ufisadi wao. Wengi wa wanaomchukia Magufuli ni mafisadi na familia zao. Ni wale ambao hawakupata kabisa fursa ya kuendelea kujifanya miungu watu kwenye ofisi za umma na wakwepa kodi. Mtu ulikuwa ukiingia ofisi ya umma unapokelewa na kuhudumiwa kwa heshima. Sasa hivi miungu watu wamerudi kwa kasi maofisini.
Lakini pia Magufuli alituongoza vizuri sana kwenye vita dhidi ya corona. Wakati wa Magufuli mabeberu hawakupata kabisa fursa ya kutumia corona kutunyonya! Chanjo za corona zisizo na sifa ya kuitwa chanjo (maana hazimkingi mtu na corona) hazikupata nafasi kabisa nchini mwetu! Hatimaye Dunia imekubali kile ambacho Magufuli alikiona mwanzo kabisa kuwa Dunia inabidi ijifunze kuishi pamoja na corona kama ilivyo kwa magonjwa mengine! Watanzania tulio wengi huwezi kutuambia kitu kuhusu Magufuli!! Tunampenda!! Tunamkubali!!! Ni mchapa kazi!! Ameacha alama isiyofutika: SGR, STIGLER'S GEORGE, MAKAO MAKUU DODOMA!!
Haya yote yalikuwa kama ndoto ya mchana isiyotekelezeka kabla ya Magufuli!! Lakini Chini ya Magufuli yote yamewezekana tena kwa muda mfupi!!! Ukimpiga vita Magufuli ni kutwanga maji kwenye kinu!!! Hata ukishindana na kaburi lake atakutoa knock out!