Hawawezi kumshinda JPM. Hapa karibuni kumeibuka kikosi cha kumchafua JPM. Lakini wameshindwa vibaya mno.
Ni mara yangu ya kwanza kuona watu walio hai wanamshambulia Marehemu na hatimaye wanashindwa vibaya sana.
WEMA HAUWEZI KUSHINDANA NA UBAYA. WEMA UTASHINDA TU.