Naomba hii code mkuu. Naiona ni njema kwa
Duh!Binafisi Kuna mwana ukoo mimba yake ilidumu mwaka na miezi3 na alipozaliwa alizaliwa na mizizi kwenye kiganja chake Cha mkono.
Hana maajabu yoyote ni kama punguani flani.
Story zinasemekana mama yake alikuwa mgumba akaenda Kwa songoma ndo akafanya yake ikatokea hivo na akaendelea kuzaa kawaida
Juzi Kati nilikua napiga story na mama akawa ananisimulia story mbali mbali..Habari za Leo mabibi na mabwana.
Mnamo 14/05/2024 tulimzika mzee mmoja kijijini kwetu jina (..)
Mzee yule alikuwa amemuoa shangazi yangu Mimi. Chanzo Cha kifo chake ni ugonjwa wa kisukari uliodumu Kwa muda mrefu.
Baada ya kuzunguka huku na huko na hospital mbalimbali kutafuta matibbu ya ugonjwa huu na kudanganywa na Kila aina ya wanatiba asilia kuwa wanaponesha.
Hatimae mzee huyu alizirudia tiba za hospital (vidonge).
Ikumbukwe mzee huyu kaugua kisukari zamani kidogo ni zaidi ya miaka 10 ana kisukari.
Hadi mwishoni mwa mwaka 2023 Hali yake ilizorota sana na kuandamwa na magonjwa mbalimbali.
Mapema mwezi wa kwanza mwaka huu walimpeleka sengerema mission na kupewa rufaa Hadi bungando.
Na walipofika pale wakakutana na bro yangu yupo hapo (Dr)
Baada ya vipimo kufanyika waliambiwa in,Figo nk havifanyi kazi Tena hivyo wakaambiwa warudi wasubiri lolote(kama mnavyojua kauli hii humanisha kifo)
Yule kaka akawaambia mlichoambiwa ni sahihi kuliko kusafirisha maiti ni Bora msafirisheni ingali Bado Yu hai.
Nifupishe kisa hiki
Mwezi wa pili baada kwenda kijijn nikaona ni Vyema na haki Nami nikamuone huyu mgonjwa.
Nikafika nikamkuta mgongwa anakula Kwa mrija ametibolewa hivyo uji unapita Kwa mrija na kukojoa pia anakojoa Kwa mirija.
Kwakweli Hali yake haikuwa nzuri Wala hakuna matumaini kabisa.
Daima ndg wa karibu walikuwa wanakaa hapo nyumbani wakisubiri Kila anaye Toka ndani awaambie lolote.
Niliondoka nikiwa najua kabisa Kwa Hali hii mzee wetu huyu siku3 hatoboi.
Mwezi wa 1 ukakata wa pili ukakata watatu na wanne pia ukaisha Ngoma bila bila.
Madaktari wenyewe walikuwa wanashangaa sana. Kila wanapokuja.
Ilifikia kipindi hata kula Hali Wala kunywa maji hanywi.
Lakini kufa hafi. Hadi tarehe 9/5/2024 Watoto wakakaa kikao wakasema jambo hili sio sawa jamani hii haiwezekani Wala hatujawahi ona.
Ndipo wakasema aitwe mmoja wa baba zao wakubwa kwenye ukoo wao nae ni mzee sana kwenye miaka 87+ Hivi.
Baada tu ya kufika pale wakamueleza Hali ILIVYO ndipo akawapa Siri hii..... ....
Akawaambia walichanjwa dawa inayoitwa "BHUFAKALE" Hii ni Kwa kisukuma tafsiri yake kufa zamani.
Ndipo wakaambiwa kuwa nendeni mkamtoe kwenye nyumba ya bati mwekeni kwenye nyumba ya nyasi mlazeni humo halafu mbomoeni (waezue zile nyasi juu ya paa)
Iwapo atapata mwanga wa jua tu(kivuli Cha jua) atakufa muda huohuo hatachukua muda na kama Hana hiyo dawa basi mtamrejesha kwenye nyumba ya bati.
Kweli baada ya kutoka huko hawakuchukua muda wakamtoa na kumuingiza jikoni maana ndo nyumba ya nyasi pekee ilikuwa imebakia pale.
Ilipofika saa 3 asubuhi ya tarehe 12 mzee akafariki ni baada tu ya kupata huo mwanga wa jua.
Hii ni ngumu kidogo kuamini wale wa Kwa mwamposa, Baraka, mzee wa upako, Malisa l, kiboko wa wachawi nk.
Mzee alikuwa mfugaji mkubwa sana.
Siku ya mazishi 14/5/2024
Nikabahatika kuonana na mzee mmoja wa makamo nikaanza ulizia hii imekaaje na Nini faida yake?
Aliniambia mengi lakini Kwa kifupi tu alisema kuwa
Wazee wa zamani walikuwa na Imani ya kwamba akiwa na hiyo dawa kwanza inaendana na Baraka na laana
Akikubariki amekubariki na utafanikiwa pia akikulaani wewe umelaanika yamkini hata ungeoga mafuta ya mwamposa Bado laana yake isingekutoka.
Pili akasema waliamini akichelewa kufa manake atakula mali yake vizuri Hadi anakufa kashabakiza kidogo tu.
Maana yeye anakuwa anajua kabisa kuwa huenda ugonjwa huu ndo utaniondoa ila Kwa sababu ya dawa hii niliyochanjiwa Wacha Nile Mali zangu.
Je ulikuwa unalijua hili mwana JF?
MWISHO.
Kuna pipo zinasema umeanzisha huu uzi ili uuze hizo dawaKuipata ndo mtihani shida utapeli na uhuni mwingi
Kuna pipo zinasema umeanzisha huu uzi ili uuze hiyo dawaKuipata ndo mtihani shida utapeli na uhuni mwingi
kwaiy mgonjwa mkaamua kumuanika juan ili akufe mrith mali🙄Habari za Leo mabibi na mabwana.
Mnamo 14/05/2024 tulimzika mzee mmoja kijijini kwetu jina (..)
Mzee yule alikuwa amemuoa shangazi yangu Mimi. Chanzo Cha kifo chake ni ugonjwa wa kisukari uliodumu Kwa muda mrefu.
Baada ya kuzunguka huku na huko na hospital mbalimbali kutafuta matibbu ya ugonjwa huu na kudanganywa na Kila aina ya wanatiba asilia kuwa wanaponesha.
Hatimae mzee huyu alizirudia tiba za hospital (vidonge).
Ikumbukwe mzee huyu kaugua kisukari zamani kidogo ni zaidi ya miaka 10 ana kisukari.
Hadi mwishoni mwa mwaka 2023 Hali yake ilizorota sana na kuandamwa na magonjwa mbalimbali.
Mapema mwezi wa kwanza mwaka huu walimpeleka sengerema mission na kupewa rufaa Hadi bungando.
Na walipofika pale wakakutana na bro yangu yupo hapo (Dr)
Baada ya vipimo kufanyika waliambiwa in,Figo nk havifanyi kazi Tena hivyo wakaambiwa warudi wasubiri lolote(kama mnavyojua kauli hii humanisha kifo)
Yule kaka akawaambia mlichoambiwa ni sahihi kuliko kusafirisha maiti ni Bora msafirisheni ingali Bado Yu hai.
Nifupishe kisa hiki
Mwezi wa pili baada kwenda kijijn nikaona ni Vyema na haki Nami nikamuone huyu mgonjwa.
Nikafika nikamkuta mgongwa anakula Kwa mrija ametibolewa hivyo uji unapita Kwa mrija na kukojoa pia anakojoa Kwa mirija.
Kwakweli Hali yake haikuwa nzuri Wala hakuna matumaini kabisa.
Daima ndg wa karibu walikuwa wanakaa hapo nyumbani wakisubiri Kila anaye Toka ndani awaambie lolote.
Niliondoka nikiwa najua kabisa Kwa Hali hii mzee wetu huyu siku3 hatoboi.
Mwezi wa 1 ukakata wa pili ukakata watatu na wanne pia ukaisha Ngoma bila bila.
Madaktari wenyewe walikuwa wanashangaa sana. Kila wanapokuja.
Ilifikia kipindi hata kula Hali Wala kunywa maji hanywi.
Lakini kufa hafi. Hadi tarehe 9/5/2024 Watoto wakakaa kikao wakasema jambo hili sio sawa jamani hii haiwezekani Wala hatujawahi ona.
Ndipo wakasema aitwe mmoja wa baba zao wakubwa kwenye ukoo wao nae ni mzee sana kwenye miaka 87+ Hivi.
Baada tu ya kufika pale wakamueleza Hali ILIVYO ndipo akawapa Siri hii..... ....
Akawaambia walichanjwa dawa inayoitwa "BHUFAKALE" Hii ni Kwa kisukuma tafsiri yake kufa zamani.
Ndipo wakaambiwa kuwa nendeni mkamtoe kwenye nyumba ya bati mwekeni kwenye nyumba ya nyasi mlazeni humo halafu mbomoeni (waezue zile nyasi juu ya paa)
Iwapo atapata mwanga wa jua tu(kivuli Cha jua) atakufa muda huohuo hatachukua muda na kama Hana hiyo dawa basi mtamrejesha kwenye nyumba ya bati.
Kweli baada ya kutoka huko hawakuchukua muda wakamtoa na kumuingiza jikoni maana ndo nyumba ya nyasi pekee ilikuwa imebakia pale.
Ilipofika saa 3 asubuhi ya tarehe 12 mzee akafariki ni baada tu ya kupata huo mwanga wa jua.
Hii ni ngumu kidogo kuamini wale wa Kwa mwamposa, Baraka, mzee wa upako, Malisa l, kiboko wa wachawi nk.
Mzee alikuwa mfugaji mkubwa sana.
Siku ya mazishi 14/5/2024
Nikabahatika kuonana na mzee mmoja wa makamo nikaanza ulizia hii imekaaje na Nini faida yake?
Aliniambia mengi lakini Kwa kifupi tu alisema kuwa
Wazee wa zamani walikuwa na Imani ya kwamba akiwa na hiyo dawa kwanza inaendana na Baraka na laana
Akikubariki amekubariki na utafanikiwa pia akikulaani wewe umelaanika yamkini hata ungeoga mafuta ya mwamposa Bado laana yake isingekutoka.
Pili akasema waliamini akichelewa kufa manake atakula mali yake vizuri Hadi anakufa kashabakiza kidogo tu.
Maana yeye anakuwa anajua kabisa kuwa huenda ugonjwa huu ndo utaniondoa ila Kwa sababu ya dawa hii niliyochanjiwa Wacha Nile Mali zangu.
Je ulikuwa unalijua hili mwana JF?
MWISHO.
Hizi zipo sana.Kuna madawa mengine huwa wanachanjiwa yanaitwa bolaboka sema bhulabuka changanya na makorokoro mengine, hii ni konki hata agongwe na train 🚆 anatoka mzima
Na hafi wakaona Kuna kitu hapa sio burekwaiy mgonjwa mkaamua kumuanika juan ili akufe mrith mali🙄
Hii mbaya sanaUkiipata hiyo dawa ufanye kama unaniuzia
AiseeeeHizi zipo sana.
Pande Pemba kuna maalim anakupa kakitu unameza hata wa kucharange mapanga hufi. Hulogeki unakuwa kama mfu.
Ila real kifo kikija, unapata kama kikohozi unakohoa ile kitu inatoka. Hapo huchukui round unakata moto.
Duuh Mimi Kuna mwizi nilishuhudia mwaka 2003 wamepiga Hadi wakachoka wakiwasha moto na mafuta ya taa moto hauwaki badae kabisa wamechoka kabisa jamaa ndo kawaambia pigeni kivuli changu.
Baada ya kivuli chakr kupigwa rungu akalia Kwa uchungu mno na kufa pale pale.
Sikumbuki ilikuwa tarehe ngapi ama mwezi Gani nakumbuka tulikuwa tunaenda kanisani siku ya jumapili asubuhi.
Tumeshachelewa mkuuWazungu huko kwao wanahangaika na matechnolojia ya kuunda uhai ama jinsi ya kuzuia kifo, bila kuju hizi Technolojia tayari zipo afrika tangu zamani sana, alafu utawaona hawa wapumbavu watumwa ya hizo imani za wazungu wakidhihaki tiba asilia za kiafrika.
Ukweli ni kwamba kama tungezirudia asili zetu tungesolve matatizo mengi sana yanayotusumbua kuanzia kiuchumi, kiafya, kijamii mpaka kiimani, kwakua tumeegemea ktk mifumo ya wazungu&waarabu acha maisha yatunyooshe, wakaati huo hao watu weupe huja afrika kwa mwamvuli wa utalii&kutoa misaada kumbe wanatufanyia Umafia, kuSpy kujua ni vitu gani ambavyo tunavijua na wao hawavijui wanarudi kuzimalizia zile siri na technolojia ambazo hawakuiba kipindi cha ukoloni, ndiomaana wakija Afrika hupenda kufikia ktk jamii zinazofuata taratibu za kimila na sio huko mijini mlikojazana.
Wazungu si wajinga kujifanya kuwapenda hao wamasai ama jamii za kiafrika zinazoishi huko vijijini, wanajua kuna vitu wakivicopy wakirudinavyo makwao wanaviendeleza alafu wakifanikiwa wanajiita wao wagunduzi la zaidi gunduzi hizo wanawauzia waafrika vilaza kwa mamilioni ya Dollars na mikopo ya kishenzi.
Turudi ktk Uasilia wetu, na haya matatizo yote yatakwisha.
Ibaki hivo hivo ni uongo mkuuUongo. Maana yake hamkwenda mkasimama kuangalia?
Wewe kwa nini usiishi hivyo ukawa tajiri? Nyie motivational speakers wa kiafrika waongo waongo sana.Wazungu huko kwao wanahangaika na matechnolojia ya kuunda uhai ama jinsi ya kuzuia kifo, bila kuju hizi Technolojia tayari zipo afrika tangu zamani sana, alafu utawaona hawa wapumbavu watumwa ya hizo imani za wazungu wakidhihaki tiba asilia za kiafrika.
Ukweli ni kwamba kama tungezirudia asili zetu tungesolve matatizo mengi sana yanayotusumbua kuanzia kiuchumi, kiafya, kijamii mpaka kiimani, kwakua tumeegemea ktk mifumo ya wazungu&waarabu acha maisha yatunyooshe, wakaati huo hao watu weupe huja afrika kwa mwamvuli wa utalii&kutoa misaada kumbe wanatufanyia Umafia, kuSpy kujua ni vitu gani ambavyo tunavijua na wao hawavijui wanarudi kuzimalizia zile siri na technolojia ambazo hawakuiba kipindi cha ukoloni, ndiomaana wakija Afrika hupenda kufikia ktk jamii zinazofuata taratibu za kimila na sio huko mijini mlikojazana.
Wazungu si wajinga kujifanya kuwapenda hao wamasai ama jamii za kiafrika zinazoishi huko vijijini, wanajua kuna vitu wakivicopy wakirudinavyo makwao wanaviendeleza alafu wakifanikiwa wanajiita wao wagunduzi la zaidi gunduzi hizo wanawauzia waafrika vilaza kwa mamilioni ya Dollars na mikopo ya kishenzi.
Turudi ktk Uasilia wetu, na haya matatizo yote yatakwisha.
Hapa sasa umesema kweliIbaki hivo hivo ni uongo mkuu
Kuolewa hato olewa ila chamoto atakiona kwani mtaani kwako hamna boda boda na wavaa visendo vya plastiki waleNikifa mke wangu asiolewee.....
Ishu ni kwamba hata msingemtoa nje wala kumuweka kwenye nyumba ya nyasi muda ungefika angekata moto tu hakuna anayepanga kifo ispokuwa Mungu pekee na hakuna cha "bhufakale " wala nini uongo uongo uongo.Habari za Leo mabibi na mabwana.
Mnamo 14/05/2024 tulimzika mzee mmoja kijijini kwetu jina (..)
Mzee yule alikuwa amemuoa shangazi yangu Mimi. Chanzo Cha kifo chake ni ugonjwa wa kisukari uliodumu Kwa muda mrefu.
Baada ya kuzunguka huku na huko na hospital mbalimbali kutafuta matibbu ya ugonjwa huu na kudanganywa na Kila aina ya wanatiba asilia kuwa wanaponesha.
Hatimae mzee huyu alizirudia tiba za hospital (vidonge).
Ikumbukwe mzee huyu kaugua kisukari zamani kidogo ni zaidi ya miaka 10 ana kisukari.
Hadi mwishoni mwa mwaka 2023 Hali yake ilizorota sana na kuandamwa na magonjwa mbalimbali.
Mapema mwezi wa kwanza mwaka huu walimpeleka sengerema mission na kupewa rufaa Hadi bungando.
Na walipofika pale wakakutana na bro yangu yupo hapo (Dr)
Baada ya vipimo kufanyika waliambiwa in,Figo nk havifanyi kazi Tena hivyo wakaambiwa warudi wasubiri lolote(kama mnavyojua kauli hii humanisha kifo)
Yule kaka akawaambia mlichoambiwa ni sahihi kuliko kusafirisha maiti ni Bora msafirisheni ingali Bado Yu hai.
Nifupishe kisa hiki
Mwezi wa pili baada kwenda kijijn nikaona ni Vyema na haki Nami nikamuone huyu mgonjwa.
Nikafika nikamkuta mgongwa anakula Kwa mrija ametibolewa hivyo uji unapita Kwa mrija na kukojoa pia anakojoa Kwa mirija.
Kwakweli Hali yake haikuwa nzuri Wala hakuna matumaini kabisa.
Daima ndg wa karibu walikuwa wanakaa hapo nyumbani wakisubiri Kila anaye Toka ndani awaambie lolote.
Niliondoka nikiwa najua kabisa Kwa Hali hii mzee wetu huyu siku3 hatoboi.
Mwezi wa 1 ukakata wa pili ukakata watatu na wanne pia ukaisha Ngoma bila bila.
Madaktari wenyewe walikuwa wanashangaa sana. Kila wanapokuja.
Ilifikia kipindi hata kula Hali Wala kunywa maji hanywi.
Lakini kufa hafi. Hadi tarehe 9/5/2024 Watoto wakakaa kikao wakasema jambo hili sio sawa jamani hii haiwezekani Wala hatujawahi ona.
Ndipo wakasema aitwe mmoja wa baba zao wakubwa kwenye ukoo wao nae ni mzee sana kwenye miaka 87+ Hivi.
Baada tu ya kufika pale wakamueleza Hali ILIVYO ndipo akawapa Siri hii..... ....
Akawaambia walichanjwa dawa inayoitwa "BHUFAKALE" Hii ni Kwa kisukuma tafsiri yake kufa zamani.
Ndipo wakaambiwa kuwa nendeni mkamtoe kwenye nyumba ya bati mwekeni kwenye nyumba ya nyasi mlazeni humo halafu mbomoeni (waezue zile nyasi juu ya paa)
Iwapo atapata mwanga wa jua tu(kivuli Cha jua) atakufa muda huohuo hatachukua muda na kama Hana hiyo dawa basi mtamrejesha kwenye nyumba ya bati.
Kweli baada ya kutoka huko hawakuchukua muda wakamtoa na kumuingiza jikoni maana ndo nyumba ya nyasi pekee ilikuwa imebakia pale.
Ilipofika saa 3 asubuhi ya tarehe 12 mzee akafariki ni baada tu ya kupata huo mwanga wa jua.
Hii ni ngumu kidogo kuamini wale wa Kwa mwamposa, Baraka, mzee wa upako, Malisa l, kiboko wa wachawi nk.
Mzee alikuwa mfugaji mkubwa sana.
Siku ya mazishi 14/5/2024
Nikabahatika kuonana na mzee mmoja wa makamo nikaanza ulizia hii imekaaje na Nini faida yake?
Aliniambia mengi lakini Kwa kifupi tu alisema kuwa
Wazee wa zamani walikuwa na Imani ya kwamba akiwa na hiyo dawa kwanza inaendana na Baraka na laana
Akikubariki amekubariki na utafanikiwa pia akikulaani wewe umelaanika yamkini hata ungeoga mafuta ya mwamposa Bado laana yake isingekutoka.
Pili akasema waliamini akichelewa kufa manake atakula mali yake vizuri Hadi anakufa kashabakiza kidogo tu.
Maana yeye anakuwa anajua kabisa kuwa huenda ugonjwa huu ndo utaniondoa ila Kwa sababu ya dawa hii niliyochanjiwa Wacha Nile Mali zangu.
Je ulikuwa unalijua hili mwana JF?
MWISHO.
Long story short kama kweli hizo tiba asilia zilikuwepo basi babu zetu wangeweza kutengeneza dawa ya kujikinga na risasi za wazungu, dawa za kuongeza nguvu kana kwamba muafrika mmoja angeweza kupambana na kikosi cha wauza watumwa , badala yake imekuwa kinyume chake kinjekitile ngwale aliwadanganya watu kwamba ana dawa ya maji ambayo wakiogea nayo wataweza kujikinga na silaha za wajerumani matokeo yake waliuwawa wengi mno.Wazungu huko kwao wanahangaika na matechnolojia ya kuunda uhai ama jinsi ya kuzuia kifo, bila kuju hizi Technolojia tayari zipo afrika tangu zamani sana, alafu utawaona hawa wapumbavu watumwa ya hizo imani za wazungu wakidhihaki tiba asilia za kiafrika.
Ukweli ni kwamba kama tungezirudia asili zetu tungesolve matatizo mengi sana yanayotusumbua kuanzia kiuchumi, kiafya, kijamii mpaka kiimani, kwakua tumeegemea ktk mifumo ya wazungu&waarabu acha maisha yatunyooshe, wakaati huo hao watu weupe huja afrika kwa mwamvuli wa utalii&kutoa misaada kumbe wanatufanyia Umafia, kuSpy kujua ni vitu gani ambavyo tunavijua na wao hawavijui wanarudi kuzimalizia zile siri na technolojia ambazo hawakuiba kipindi cha ukoloni, ndiomaana wakija Afrika hupenda kufikia ktk jamii zinazofuata taratibu za kimila na sio huko mijini mlikojazana.
Wazungu si wajinga kujifanya kuwapenda hao wamasai ama jamii za kiafrika zinazoishi huko vijijini, wanajua kuna vitu wakivicopy wakirudinavyo makwao wanaviendeleza alafu wakifanikiwa wanajiita wao wagunduzi la zaidi gunduzi hizo wanawauzia waafrika vilaza kwa mamilioni ya Dollars na mikopo ya kishenzi.
Turudi ktk Uasilia wetu, na haya matatizo yote yatakwisha.