Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

Pita kushuto huku unachechemea mkuu
 
Nishashtukia ndo maana wazee wa zamani walikua wakitaka kufa wanagawa mali kabisa
Chukulia mzee Hali Wala kunywa na amenza oza mwili baadhi ya sehemu unategemea Nini?
unamuogesha na detol
 
Wee kama ni mfuasi wa Dr sule au mazinge kaa mbali kidogo na uzuri huwezi elewa hata miaka buku
Katika viumbe humu Duniani Mimi ni Mfuasi wa Mtume Mohamad Radhi za Allah ziwe juu yake ... Best of the best , teachers of the teachers hakuna alichoacha kufundisha basi hakuna nisichokielewa .. mfano hapo kuna ushirikina tu mwenye uwezo wa kulinda au kutoa Uhai ni Allah pekee
 
Ni jambo la hatari kujiunganisha nafsi yako na kuzimu
 
Ni jambo la hatari kujiunganisha nafsi yako na kuzimu
 
Haya mambo yapo Tanzania nchi nzima,sema wewe ni mtoto wa juzi
 
M
Mbona mudy alilogwa akarogeka kama kweli dawa hazipo?

Pia usichokiamini wewe waachie wqnaokiamini hulazimishwi Wala kufungwa mkuu
 
M

Mbona mudy alilogwa akarogeka kama kweli dawa hazipo?

Pia usichokiamini wewe waachie wqnaokiamini hulazimishwi Wala kufungwa mkuu

Mtume alirogwa na akarogeka kwani yeye si Mungu bali ni Mjumbe .. ndio maana hatumuabudu tunanuheshimu kama kiongozi wa Umma, katika uislamu tunajua kubwa Ushirikina upo , Uchawi upo na umeletwa kama Mtihani kwetu na ni juu yetu kuushinda .. na kwa wote ambao ni wachawi na washirikina makazi yao ni jahanam
 
Nambie yesu alilogwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…