Ukisikia legacy ndiyo hii sasa

Wewe Kilaza huyo ni hadhi ya kina Nyerere siyo Magufuli.Lumumba was a freedom fighter!
Magufuli naye atakuja kuzungumziwa na kizazi kingine kama unavyomzungumzia Lumumba leo.
JPM kafanya yake kasepa, tuendelee na Mama yenu!
 
But man,

At least he showed us how the country can be governed...

Hizo barabara wilayani na taa za mitaa uliziona lakini
Unaangaika kumuelimimisha mtu anajiita sexless;binadamu hana sex!!!
 
Chadema wajinga sana, nyinyi kama chama mna nini cha kujivunia? Matusi siyo?

JPM, siyo mandishi na uwongo wa kulipia utakaomchafua!

Mtaandika maneno yoote, mtajibiwa na JKNHP peke yake!

Pumbavu zenu kabisa
 
Mwambie Mama awe na ukali kidogo huku mahospitalini kiburi kimerudi tena kwa watumishi wa kada hiyo
Ukali hautakiwi kwenye utumishi. Kwa mtu mtumishi mzembe hatua za kinidhamu huchukuliwa kwa mujibu wa kanuni, sheria na taratibu tulizojiwekea. Siyo lile jinga lilikuwa linatukana watu hadharani. Unataka turudi huko??
 
World bank fund, DMDP project, wajinga kama wewe mpo wengi msiyojuwa lolote.

Ni Kikwete administration ndio hizo project zilikuwa raised, na utekelezaji ndio ukaangukia kipindi cha dikteta uchwara.
Ata Serikali kuamia Dodoma na Ujenzi wa Stieglers uliasisiwa na Mwalimu Nyerere ila alitekeleza Dikteta,wanademokrasia wako walishindwa!
 
Siyo lile taka linaitwa mwamba wakati hakuna hata mtaa wala taasisi yoyote mahala popote ktk nchi yoyote iliyopewa jina lake. Legacy yake sifuri kabisa
Mmejitahidi kumzika ila mzimu wake bado unawasumbua sana.
😀😀😀 Umenikumbusha movie ya kinigeria ya billionnares club, ule mzimu wa yule jamaa uliwasumbua sana, kila wakijaribu kumzika jamaa anawatokea na kuwaadhibu
 
Unajua Baba Jesca, Mzilankende, Mnyago Alitufanyizia Kazi Kweli Kweli Wakati Wake
 
Ndiyo . Jiwe atazungumziwa kama anavyozungumziwa Hitler, Bokasa, Idd Amin, Mobutu, n.k
Wewe utazungumzwa kwa lipi?kumkalia kitako kutwa mwanaume mwenzio japo unaitwa sexless!
 
Sasa subiri matusi
 
World bank fund, DMDP project, wajinga kama wewe mpo wengi msiyojuwa lolote.

Ni Kikwete administration ndio hizo project zilikuwa raised, na utekelezaji ndio ukaangukia kipindi cha dikteta uchwara.
Tukisema tujitathimini kama Taifa ni sekta hipi hasa tumepiga hatua kubwa kuliko nyingine? Na labda tujiulize kwanini sekta hiyo hiko vizur zaidi ya nyingine?
Mi binafsi naona sekta ya usafirishaji hasa barabara tumefanikiwa kwa kiwango kizur kuziunganisha barabara zetu kwa kiwango cha lami. Kwanin? Cos tulikuwa na msimamizi mzuri katika Wizara husika.

Unahisi kwanini maji ni shida huku kila serikali ikisema inatenga pesa nyingi kwenye hiyo idara ila hakuna matokeo chaya? Cos hatujapata msimamizi mzuri
 
Hivi walihusika kumuua Lumumba ndiyo Belgium sio? Alafu leo wanatoa jina la barabara we unakenua meno!!!!
 
Zitto alishawaambia kuhusu saa 8 meenyekiti wenu ndye anajua mpango mzima
 
Soma hizi zama hazifanani
 
Wazungu watabakia kuwa wadhalimu wakubwa Ulimwenguni.
Mengine yote ni kelele za kuficha udhalimu wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…