Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi NSSF imefilisika au ipo kwenye hali mbaya, hizi figisufigisu zinazoendela zinatutia wasiwasi wanachama.
ujue kuwa hawana akili na wanakurupuka kwa nn uteuliwe ikiwa haupo timamu? kwa nn hawachunguzi mtu kushika hayo madaraka makubwa bila kuwa na uhakika nae? hapo sio mahali pa majaribio mwisho wa siku watateua ma al shababu na is kujaribu jaribu ina maana hawajui na hawana uhakika walifanyalo kushuka kwa sukari sio inshu je kuna watu bado wanaimudu hiyo bei? hatufanani ndugu yangu ww unafurahia sukar mwenzio anawaza gari na nyumba.Sio kukurupuka hii ni Serikali ya ,,Moto Chini,, mlizoea ile ya kubebwa na kubembelezwa hapa ,,KAZI TU,, Ukiteuliwa saa saba mchana baadae saa mbili Usiku ukaonekana wew ni JIPU,, tunatengua tu uteuzi,, kaeni kimya akili itawakaa sawa siku za mbele wakati Sukari imeshuka na kuwa kilo Tsh.500/=
Ndiyo iwe sababu ya kuwateua waganda kuongoza mashirika ya umma?
wewe ndio umetuletea uzi tuletee na majina tujue tunaanzia wapi kwahiyo umeleta uzi nusu nusuMajina ya Bodi siyo suala la siri.
Nenda kwenye website ya Nssf utayakuta.
Na ukiyakuta usiishie hapo tuh...
Nenda kwenye mifuko mingine ya hifadhi ya jamii utayakuta..
Mkatoliki kazini....
Kipi hasa kinachoendelea baina ya Ombeni Sefue na Shitindi ambacho umma wa watanzania unafichwa?
Wewe bwana Huwa comment zako zina raha sanaTatizo la THE BIG SHOW ni Bachelor Degree aliyoipata kutoka University of Madrasatul Haaq filhayat Duniya.
CCM ni ile ile, kumbe hata wewe hujui?
Mtaongea sana ila majipu lazima yatumbuliwe. Yalilelewa sana na awamu iliyopita.
Watumbue Magu wetu gooooo....
NSSF lazima itumbuliwe ilishafanywa kama sebuleni kwa mtu. Mtaisoma namba na bado...
Uwe na wasiwasi tu maana hisia zako ni kweli hata ulipaji wa mishahara ni kwa kuunga unga shirika liko ICU.Nahisi NSSF imefilisika au ipo kwenye hali mbaya, hizi figisufigisu zinazoendela zinatutia wasiwasi wanachama.