Nifika kote huko mkuu,pia nilishawahi kuangua mahembe kule kwihara,usenge,mawiti,tumbi na hata Isukamahera karibu na Kipalapala!Mkuu nimekukumbusha mbali sn!
Vp Ulishawahi kwenda kuangua Maembe kule Mawiti Au Malolo? Ulishawahi kucheza ile michezo ya kwenye miti iitwayo kampelembe?
Aaaaaah Mkuu, Tbr noma!
Teh teh teh!karibu na babu mangozi na mzee Benard!
Nifika kote huko mkuu,pia nilishawahi kuangua mahembe kule kwihara,usenge,mawiti,tumbi na hata Isukamahera karibu na Kipalapala!
Mkuu umenikumbusha mbali sana,kwakweli mboka kulikuwa hakufai hata kidogo,tulikuwa tunaishi kwa hofu!
Mkuu hivi nini tofauti kati ya waswezi na wabisa!
Duh!safi sana,nashukuru mkuu!Mkuu nimeambiwa maswezi ni mizimu ya wanyamwezi na mabisa ni mizimu ya kutoka kigoma huko umanyemani!
Mungu ampe nguvu huyu daktari wetu wa hiari aendelee kutusaidia!
Duh!safi sana,nashukuru mkuu!
Mkuu umesahau palikuwa panaitwa kwa Boga na mabwawa mengine yalikuwa yanapatikana maeneo ya kizigo(Machimbo) karibu na Itetemia!we acha tu mkuu,wewe ni wakwetu kabisa!Mkuu uliwahi kwenda kuogelea kwenye mabwawa! Kwibuma mmalambo! Kule mitaa ya Tukutuku kulikua na mabwawa mengi sn!
We acha alikuwa anafanya kazi shirika la Reli!Mwanangu km ulikuwepo!
Yule Mzee Benard na Gari za zile Landrover 109.
Mkuu umesahau palikuwa panaitwa kwa Boga na mabwawa mengine yalikuwa yanapatikana maeneo ya kizigo(Machimbo) karibu na Itetemia!we acha tu mkuu,wewe ni wakwetu kabisa!
We acha alikuwa anafanya kazi shirika la Reli!
sawa mkuu,naisubiri kwa hamu kubwa sana!
Poa mkuu!Hiyo thread iko tayari Mkuu! Unaweza search Tabora utaiona!
Mti wa Mrehani kwa jina lingine unaitwa kwa kiingereza Holy Basil au jina lingine kwa kiingereza inaitwa Tulsi. Mti huu unapatikana sehemu nyingi tu hapo nyumbani Tanzania haswa miji ya Pwani Dares-Salaam ,Pwani,Tanga,Mtwara,Lindi,Zanzibar, Pemba na Bagamoyo uliza utapata.Mrehani kwa jina jingine unaitwaje?
Kwani kutafuna unashindwa kwanini? wakati majani ni dawa? unaweza kuchemsha ila kama utakula kama kachumbari japo jani moja kwa siku sio mbaya.Angalia picha majni yamekaushwa yamekuwa makavu kwa ajili ya dawa.Nyumbani kwangu ---- mengi, sijui nikuleteeje mkuu?
Mzizi mkavu, je hayo majani ya mrehani nikiyachemsha then nikanywa sitajitibu? Manake kutafuna mmh!