Hii ndio Tanzania unayo ijuwa Hayati baba wa Taifa huko kaburini ana wish afufuke aje awachape viboko. Taifa alilo lijenga na kuweka misingi yake limetumbukia zama mpya zama zinatisha kuliko zama za ukoloni.
Mwalimu ktk moja ya hotuba zake kuna wakati alilisema hili nadhani watu wachache sana walimuelewa wengine wapo wengine walisha lala mauti. Mwl aliwahi sema anashanga serikali inaongozwa na watu wasomi wengi ila mambo nikama miaka ya 61 wakati tunapata uhuru" mwisho wakumnukuu. Mwl alikuwa akisema maono ya leo na alikuwa akionyesha haya yanaendelea sio dira wala muongozo aliwaachia wana CCM.
Alienda mbali kwa uchungu sana ktk hizi hotuba zake akasema ccm sio baba wala mama yake na kwa bahati mbaya sana Mungu hakumpa nafasi kuwepo leo uwenda kwa mtazamo wangu ccm2 ingeshakamata nchi.
Unaweza ukajiuliza nakuwaza sana why nina andika huu uzi ila nitaomba nikurudishe nyuma kidogo kwenye dira na mpango mkakati wa Mwl kulijenga taifa hili ndipo ujuwe hiki kiumbe hakikuwa cha kawaida na ndio maana wazungu walitaka fuvu lakichwa wwmchunguze uwezo wake ulikuwaje.
Kama ulikuwa hufaham basi leo bora ufaham mwl alichukuwa hili taifa kipindi dola mbili duniani zikivutana ujamaa na ubepari na pia ikimbukwe taifa hili lilikuwa chini ya wakoloni Waingereza na hawa walikuwa mabepari how alipewa kiti yeye ambaye alikuwa na koti la ujamaa ila moyoni akiwa na siri nzito sana.
Pili ilikuwaje katikati ya waswahili walio kuwa wengi yeye mkristo akatoboa na kuwa Mwanzilishi na Rais wa kwanza wa Taifa hili utabaki mdomo wazi.
Tatu akaondoka madarakani watanzania wakimpenda akakiongoza chama akiwa sio mwenyekiti wala katibu wa ccm yani ndipo utamuita mchawi. Ktk yote siri ni moja akili. Mwisho wakunukuu.
Leo tumeweka mifumo mizuri yakielimu na kiserikali ila tunazalisha majizi kama yale ya ilala.
Leo tuna wasomi ukiwasikiliza hotuba zao unazima redio nimajigambo vijembe na pozi yes mm ndio nipo hapa mfalme. Ndugu zangu kesho yetu niyamashaka.
Nenda kwenye mataasisi ndipo unaweza kutoka machozi. Watengenezaji wa sera. Sera zakukamua nakutoana machozi. Unamsikia mtu kiongozi mkubwa tu anasema msipime viwanja vya sq 400m. Unakaa unajiuliza je huyu anajuwa vipato na mifuko ya wa Tz au anataka watu fulani tu wajenge same mtu yuko kwenye mifumo ya serikali. God have a mercy on us.
Unamsikia mwingine anasema Royo towa imekuza utalii toka uhuru jamani PH holder.. baba natubu kwa Taifa langu.
Kiongozi mwingine akaibuka akasema tunataka bot iingie crypto currency unajiuliza huyu mtu anajuwa anachokisema ama kunajizi lipo nyuma linataka afanye jambo hata yeye akijisikia ajikane. Unajiuliza huyu mtu anajuwa uchumi wetu kweli anajuwa balance of payment au anataka amke asubuh ambiwe hana hata usd pale bot ndipo Siri Lanka.
God have a Mercy on Us.
Mwalimu ktk moja ya hotuba zake kuna wakati alilisema hili nadhani watu wachache sana walimuelewa wengine wapo wengine walisha lala mauti. Mwl aliwahi sema anashanga serikali inaongozwa na watu wasomi wengi ila mambo nikama miaka ya 61 wakati tunapata uhuru" mwisho wakumnukuu. Mwl alikuwa akisema maono ya leo na alikuwa akionyesha haya yanaendelea sio dira wala muongozo aliwaachia wana CCM.
Alienda mbali kwa uchungu sana ktk hizi hotuba zake akasema ccm sio baba wala mama yake na kwa bahati mbaya sana Mungu hakumpa nafasi kuwepo leo uwenda kwa mtazamo wangu ccm2 ingeshakamata nchi.
Unaweza ukajiuliza nakuwaza sana why nina andika huu uzi ila nitaomba nikurudishe nyuma kidogo kwenye dira na mpango mkakati wa Mwl kulijenga taifa hili ndipo ujuwe hiki kiumbe hakikuwa cha kawaida na ndio maana wazungu walitaka fuvu lakichwa wwmchunguze uwezo wake ulikuwaje.
Kama ulikuwa hufaham basi leo bora ufaham mwl alichukuwa hili taifa kipindi dola mbili duniani zikivutana ujamaa na ubepari na pia ikimbukwe taifa hili lilikuwa chini ya wakoloni Waingereza na hawa walikuwa mabepari how alipewa kiti yeye ambaye alikuwa na koti la ujamaa ila moyoni akiwa na siri nzito sana.
Pili ilikuwaje katikati ya waswahili walio kuwa wengi yeye mkristo akatoboa na kuwa Mwanzilishi na Rais wa kwanza wa Taifa hili utabaki mdomo wazi.
Tatu akaondoka madarakani watanzania wakimpenda akakiongoza chama akiwa sio mwenyekiti wala katibu wa ccm yani ndipo utamuita mchawi. Ktk yote siri ni moja akili. Mwisho wakunukuu.
Leo tumeweka mifumo mizuri yakielimu na kiserikali ila tunazalisha majizi kama yale ya ilala.
Leo tuna wasomi ukiwasikiliza hotuba zao unazima redio nimajigambo vijembe na pozi yes mm ndio nipo hapa mfalme. Ndugu zangu kesho yetu niyamashaka.
Nenda kwenye mataasisi ndipo unaweza kutoka machozi. Watengenezaji wa sera. Sera zakukamua nakutoana machozi. Unamsikia mtu kiongozi mkubwa tu anasema msipime viwanja vya sq 400m. Unakaa unajiuliza je huyu anajuwa vipato na mifuko ya wa Tz au anataka watu fulani tu wajenge same mtu yuko kwenye mifumo ya serikali. God have a mercy on us.
Unamsikia mwingine anasema Royo towa imekuza utalii toka uhuru jamani PH holder.. baba natubu kwa Taifa langu.
Kiongozi mwingine akaibuka akasema tunataka bot iingie crypto currency unajiuliza huyu mtu anajuwa anachokisema ama kunajizi lipo nyuma linataka afanye jambo hata yeye akijisikia ajikane. Unajiuliza huyu mtu anajuwa uchumi wetu kweli anajuwa balance of payment au anataka amke asubuh ambiwe hana hata usd pale bot ndipo Siri Lanka.
God have a Mercy on Us.