SinzaHv kwa mji wa dar ni maeneo gan yaliyo salama kuishi?/ Ambayo hayana vibaka vibaka na wezi? Ukiachilia mbali oSterbay,Upanga,Mbezi,Masaki, na mitaa ya kishua kama hyo. Nazungumzia mitaa ya watu wa kipato cha kati tuh!
Hupajui vizuri kigamboni labda kama uliishia hapo kwa wapemba mwanzoni mwanzoni uswahiliniKigamboni pakishamba sana. Mara kumi hata Keko
Nishapajua, hapo ukipita njia ya Kisiwani kutoka Ferry ni kama 8km, kutoka Darajani kama 6km. Ila ukipita njia ya Mji mwema zinaweza kufika 13km au 14kmDuuh..sijaikariri hiki kituo cha mafuta but hapo pia kuna junction kushoto barabara la vumbi nyingine ya lami inaendelea
Witness I have some few private questions. How do I reach you?Sinza
Huwezi kukuta huo upuuzi, hata uache nyumba wazi huibiwi[emoji848]
Bila shaka unapazungumzia kibada stand.Duuh..sijakariri hiki kituo cha mafuta but hapo pia kuna junction kushoto barabara la vumbi nyingine ya lami inaendelea
Uliza tu hapa hapa mkuuWitness I have some few private questions. How do I reach you?
Hivoo?Bila shaka unapazungumzia kibada stand.
Hio ndefu kidogo hadi city centre inaweza kufika km 25 au 30Sio mbali sana asee coz kwa private car nilitumia dk 28 ( hadi pale nilipokupm siku ile)...sasa ile njia ya kijichi kama hutaki kulipia both daraja na ferry unataka kupitia huko hadi city center ni km ngapi?
Sio sexual issues. Ni kuhusu identity yako.Uliza tu hapa hapa mkuu
Yeah ndio hapo anapouliza.Bila shaka unapazungumzia kibada stand.
Ok karibu[emoji848]Sio sexual issues. Ni kuhusu identity yako.
Your username rhymes like someone I know .
Eishh[emoji848][emoji848]Hio ndefu kidogo hadi city centre inaweza kufika km 25 au 30
Kupitia mjimwema zinafika kilometa 11 ila kupitia ile ya ndani kwa ndani.. Ni hazifiki kiliometa 9 nahisi kwenye 8 na point kadhaa.Yeah ndio hapo anapouliza.
Huijui kigamboni vizuri wewe.Nitajie sehemu isio na uhalifu Dar. Na wewe washkaji zako watatu kuvamiwa sio kielelezo kuwa kuna uhalifu uliokithiri si tungekimbia wote?! Huko Goba Makabe sijui Hadi mbwa wanauawa na wezi wa power window. Mbezi beach juzi juzi hapa kapigwa risasi mtu mchana kweupe napo vipi? Kuna video kibao zinatembea za matukio ya Goba huko. Sehemu nyingi nje ya mji sio salama sio Kigamboni tu labda kama mnafikiri Kigamboni yote ni nje ya mji
Sawa.Huijui kigamboni vizuri wewe.
Nimekutumia pm .Ka utaona sawa utaucheki.Ok karibu[emoji848]
Kigamboni sehemu ndogo sana wanatumia maji ya Dawasa,kwingine kote watu wamechimba visima. Maji ya kawaida ya kisima tuEishh[emoji848][emoji848]
Kwahiyo mpango wa kulipia hasa darajani hakutakuwa na mabadiliko kabisa?
Na kuhusu maji ya chumvi vip? Coz niliona ukichimba shimo kidogo hapo kibada maji yalee?
Kigamboni ukishuka Panton tu unakutana na maeneo skwata ta kufa mtu.Kwa sisi ambao tumetoa tongotongo za macho.naweza kusema sehemu ya KIGAMBONI ilitakiwa iwe ni sehemu ambayo yenye mvuto mkubwa wa kuishi watu na siajabu ndio ingekuwa sehemu ghali kuishi lkn bahati mbaya kwenye miti hakuna wajenzi.
Tazama hiyo attached pic hapo angalia kwa umakini kisha analyse the location wisely .View attachment 1822546
Kaishi Magogoni karibu na IkuluHv kwa mji wa dar ni maeneo gan yaliyo salama kuishi?/ Ambayo hayana vibaka vibaka na wezi? Ukiachilia mbali oSterbay,Upanga,Mbezi,Masaki, na mitaa ya kishua kama hyo. Nazungumzia mitaa ya watu wa kipato cha kati tuh!
Si umeshazoe kula miguu ya kuku na vichwa huwezi kutoka hapo kekoKigamboni pakishamba sana. Mara kumi hata Keko