Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Karibu sana, me siyo dalali wala real estate agency, I'm just a dude anapenda maendeleo ya watu, nitafurahi kukushika mkono ili utilize ndoto yako nitakapokuwa na muda na kama umepata mdau huko PM pia kheri, ukikwama basi karibu.
Mie nataka kilichopimwa pia naogopa madalali Sana Bora kampuni inayojulikana, asante kwa maelezo mazuri
 
Mkuu shida sisi wabongo tunawaza mahitaji ya miaka 2-5 au labda 10, hatuwazi mbali zaidi. Hivi unajua Size ya jiji la Dar kwa maana ya eneo ni ndogo sana ukilinganisha na majiji mengine makubwa ambayo yana idadi sawa na Dar, lakini kwenye majiji yenye network nzr ya miundombinu, suala la umbali toka point A kwenda B sy issue. Kuna subways, Kuna mabus ya umma, kuna trams n.k, ni vile tu sisi hatutoweza kuwa na underground trains miaka ya karibuni, lakini kwa ukuaji wa Dar na namna technology inavyoongezeka Pamoja na idadi kubwa ya wakazi inavyoongezeka jijini, basi Dar vitu kama train za kupita juu kama za Japenga au Chicago Illinois na trams havitokwepeka na hv kutakuwa na umeme bwerereee, utaweza toka kibamba mpaka ferry ndani ya 30minutes. Dar inakuwa kwa kasi ya ajabu sana, miaka ya mwishoni mwa 80 na mwanzoni mwa 90 hapo tu tabata Kimanga na tabata shule pande za kushoto ndani kidogo bibi yangu alikuwa na manamba ya mpunga na mikorosho. Leo hii, pametapakaa nyumba kote, miaka hyhy, tukikuwa tukienda vua samaki katika mabwawa hapo mikocheni ofisi za sasa za tanesco.
Cost ya maendeleo ya treni za juu na subways etc tuwe kama Chicago watayaona vitukuu siyo sisi.
 
Nitakutafuta PM nikija Dar nikapaangalie mara ya mwisho kuja huko ilikuwa 2008 ndio walikuwa wanapima viwanja vya kibada.
Karibu mkuu, Kibada kwa sasa ni kuzuri sana kiasi kwamba embe zote zimepotea kama kule kwetu kwa mama kibonge, kwa mpalange zamani tulikua tunawinda na kula embe na korosho
 
Ukijaribu kuvuka kupitia daraja ni mizinguo sana .Kigamboni hapana kwa kweli bora hata nibaki kwa Mpalange[emoji23][emoji23]
Hiyo kwa mpalange unaona uzuri sasa, tuulize sisi ambao tumekaa na kusoma huko kuanzia primary , hiyo barabara kabla ya kujengwa ilishapoteza maisha ya watu hapo shule Dovya na pale kwa mama kibonge,
Kipindi hicho pale Azaboi ukikaa huko unaonekana unakaa mkoani [emoji28][emoji28],
Kwa mpalange lilikua eneo la michezo , kuwinda na kula korosho,
Maisha yanaenda kasi sana
 
Geza 5m napata umbali gani kutoka main road na ukubwa gani?
Recently ilikua 9m ambacho rafiki yangu alinunua ila umbali ni 2km from main road, hiyo 5m wacha nimuulize jamaa, ila ukitaka mwembe mdogo na Mwongozo kwa hiyo 5m unapata,
Kutoka Mwongozo to ferry ni 18km,
 
Recently ilikua 9m ambacho rafiki yangu alinunua ila umbali ni 2km from main road, hiyo 5m wacha nimuulize jamaa, ila ukitaka mwembe mdogo na Mwongozo kwa hiyo 5m unapata,
Kutoka Mwongozo to ferry ni 18km,
Okay.
 
Back
Top Bottom