FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Nakuhakikishia mkuu... Madogo wa chuo wanateseka hapo kinomaSio kwel mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuhakikishia mkuu... Madogo wa chuo wanateseka hapo kinomaSio kwel mkuu
Basha wako anahitaji 'Nyabe' lako tena.Si tunatokaga wote we ndio mwalimu wangu, unadhani hatujui kinondoni km nyumba choko, nyumba teja.. Wewe sio teja, utakuwa nani, zaidi ya kuwa mchokozi..
Tabia ya mtu huoneshwa na maongezi yake, mlev atakuwa anazungumzia saana vilevi na bar, malaya atazungumzia mambo yanayoendana na umalaya, mchamungu atazungumzia mambo ya mungu..
Sasa wewe unaezungumzia mambo ya uchoko, itakuwa wewe ni mchokozi tu..
Sijui una matatizo gani kwa ndonga yako we jamaa au wakikamua wanakutoa na akili zenyewe..
Ukiheshimiwa, heshimika kaka.
Deni limeisha ila ni pesa za bure serikali inakusanyaPoint kubwa sana. Ngoja tusubiri deni liishe, waondoe hiyo kodi "fee" ya kuvuka kama mchangiaji hapo alivyosema
Duniani kuna watu na viatu, ila wewe ni KATAMBUGA aisee..[emoji23]Basha wako anahitaji 'Nyabe' lako tena.
Yani mi nahisi Kigamboni ukubwa wake ni wilaya ya temeke na Ilala combinedHalafu wanaongelea Kigamboni utafikiri ni kasehemu kama Kinondoni kumbe kuna watu wanatembea km30 kufika makwao ndani ya kigamboni
mku yaani unashukia mbezi stendi ya mabasi halafu uanze safari ya kuitafita kimbiji bora kujenga maeneo ya Mbezi, kibamba, kiluvya au kibaha, huko kigamboni, Temeke, Mbagala, kisemvule na vikindu wacha wakae watu wa kusini ambapo ni rahisi kwenda kwao.
Hakuna sehemu isio na crime Dar es salaam hii. Watu wanakatwa mapanga Ocean road Mita kadhaa kutoka nyumba kubwa itakuwa kwenye makazi kama Kigamboni? Au huko Goba,Makabe,Bunju hamna crime?
WatumishiWanauziwa watumishi ama hata wasio watumishi?
Hakuna mfano wake. Wezi wanaua hadi mbwa.Hivi Kuna sehemu watu wanaibiwa vifaa vya magari kama Goba, tegeta, madale?
Asante nipe a, b, c, d ikiwezekana njoo pmKaribu sana mrembo, huku wanakaa middle income wa kutosha haswa maeneo ya makazi mapya maeneo ya Geza, Mikwambe, Kibada n.k ustaharabu kama wote.
Mkuu dm me pleaseNatamani nipate kiwanja kigamboni napapenda Sana hata pa future use anayejua anipe a, b, c, d
SawaMkuu dm me please
Okay, kwa kigezo hicho basi tumeshafeliWatumishi
Karibu BuyuniUkipata muda tembea kuanzia Mji mwema Hadi Mikwambe uone viwanja vilivyopo barabara hio peke yake achana na zile hotels za baharini. Ikifika weekend napata shida niende wapi. Kigamboni sihami tena nazidi kusogea mbele kule nishafika Dege eco village
Kwa Ras Simba, we ushoga ulijifunzia wapi?Hiki Kiingereza chako cha 'Kipumbavu' tena 'Grammatically' kabisa ulijifunzia wapi?
Na kibaya zaid wanadhani ni kisiwaYani mi nahisi Kigamboni ukubwa wake ni wilaya ya temeke na Ilala combined
Asante nipe a, b, c, d ikiwezekana njoo pm
Kwanza kisheria kivuko na daraja havikupaswa kulipia ushuru kwakuwa ni viunganishi vya barabara. Mbona hakuna malipo daraja la mto Wami au la Mkapa mto rufiji?Tuwaombe mamlaka husika wapunguze bei ya kivuko cha daraja, haiwezekani bei iwe sawa na bantoni. Bei ikipungua, wengi tutashawishika kuja kuishi huko