Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Ukome Kututukana Watoto wa Kinondoni sawa? Kinondoni ndiyo Tanzania na Mishahara yenu yote mnapata kwa 'cheques' zenu 'Kusainishwa' na Mabosi zenu ( Mataita wenu ) wanaokaa ( wanaoishi ) Kinondoni huku sawa? Washamba ( Mambwiga ) wakubwa nyie!!
Is you he/she?
 
Mradi wa DAWASA kutokea Kimbiji ukimalizika Kigamboni itakuwa na maji poa kuliko Dar Tz nzima maana maji yake yanatoka chini tofauti na haya ya RUVU na Victoria
Naam
 
Kigamboni (sasa ni wilaya) ni sehemu ya jiji la Dar es Salaam ambayo tofauti na maeneo mengine ilichelewa kuendelezwa kimiundombinu mpaka kufika miaka ya 90. Watu walichelea kuishi huko kutokana na kupaona ni maporini palipostahili kuishi wanyama.

Hivi leo, mambo ni tofauti sana, mji unakua kwa kasi ya ajabu, barabara zinajengwa kutangulia makazi ya watu, ni sehemu pekee katika jiji la Dar es Salaam ambako ukiingia unasahau kuhusu foleni za barabarani, hali ya hewa ni nzuri kutokana kutokuwepo kwa ujenzi holela wa nyumba, ni karibu sana na city centre na kuna fursa nyingi za kuanzisha biashara.

Binafsi nilifika kwa mara ya kwanza na kuhamia Kigamboni mwaka 2015 kutoka Survey maeneo ya karibu na Mlimani city nilipoishi kwa takribani miaka minne ila mpaka kufikia leo sijawahi kujutia kuishi huku wala kuwaza kuhamia mahali pengine katika mji huu kutokana na sifa nilizozitaja hapo juu na kwa bahati nzuri Mungu amenijaalia kujenga kakibanda huku huku.

Kwa ambao hawajawahi kufika huku hudhani kwamba Kigamboni ni kisiwa na kwamba usafiri pekee wa kufika huku ni wa kuvuka maji kwa pantoni, la hasha! Kigamboni si kisiwa bali imetenganishwa na sehemu nyingine ya jiji kwa sehemu ya bahari iliyoingia nchi kavu (ghuba) ambayo ni bandari ya Dar es Salaam na Kwa sasa ukiachilia usafiri wa wa pantoni kuna daraja na barabara mbili ambazo unaweza kupita bila hata kuiona hiyo bahari.

Karibuni sana Kigamboni.
WAPEMBA wana ndumba sana, huko hakufai, na ukiona mahali mchaga hayupo hapafai.
 
WAPEMBA wana ndumba sana, huko hakufai, na ukiona mahali mchaga hayupo hapafai.
Wapemba wengi wapo Kigamboni ya zamani kuanzia feri hadi kisiwani, miji mipya kama Gezaulole,Kibada,Mikwambe etc sio wengi. Huko waliwahi Wasukuma.
 
Shida ya Kigamboni ni maji ya chumvi tu
 
WAPEMBA wana ndumba sana, huko hakufai, na ukiona mahali mchaga hayupo hapafai.
1623999314756.png

Somewhere in kigamboni
1623999441669.png

Somewhere in Kimara (wachaga huko ni kama kwao).

Kwa mtu ambaye haishi Dar es salaam, ukimwambia kiwanja hapo chin kina bei kuliko cha hapo juu hawezi kukuamini. Kama bado kijana na una kiwanja hapo chini, kiuze ukuje huku tupunge upepo. Acha kukaa karibu na vinyozi na Bar, hakukusaidii.
 
Kigamboni (sasa ni wilaya) ni sehemu ya jiji la Dar es Salaam ambayo tofauti na maeneo mengine ilichelewa kuendelezwa kimiundombinu mpaka kufika miaka ya 90. Watu walichelea kuishi huko kutokana na kupaona ni maporini palipostahili kuishi wanyama.

Hivi leo, mambo ni tofauti sana, mji unakua kwa kasi ya ajabu, barabara zinajengwa kutangulia makazi ya watu, ni sehemu pekee katika jiji la Dar es Salaam ambako ukiingia unasahau kuhusu foleni za barabarani, hali ya hewa ni nzuri kutokana kutokuwepo kwa ujenzi holela wa nyumba, ni karibu sana na city centre na kuna fursa nyingi za kuanzisha biashara.

Binafsi nilifika kwa mara ya kwanza na kuhamia Kigamboni mwaka 2015 kutoka Survey maeneo ya karibu na Mlimani city nilipoishi kwa takribani miaka minne ila mpaka kufikia leo sijawahi kujutia kuishi huku wala kuwaza kuhamia mahali pengine katika mji huu kutokana na sifa nilizozitaja hapo juu na kwa bahati nzuri Mungu amenijaalia kujenga kakibanda huku huku.

Kwa ambao hawajawahi kufika huku hudhani kwamba Kigamboni ni kisiwa na kwamba usafiri pekee wa kufika huku ni wa kuvuka maji kwa pantoni, la hasha! Kigamboni si kisiwa bali imetenganishwa na sehemu nyingine ya jiji kwa sehemu ya bahari iliyoingia nchi kavu (ghuba) ambayo ni bandari ya Dar es Salaam na Kwa sasa ukiachilia usafiri wa wa pantoni kuna daraja na barabara mbili ambazo unaweza kupita bila hata kuiona hiyo bahari.

Karibuni sana Kigamboni.
Hizo sehemu za karibu na bahari nikiwazia Tsunami hamu yote inaisha...
 
Ukome Kututukana Watoto wa Kinondoni sawa? Kinondoni ndiyo Tanzania na Mishahara yenu yote mnapata kwa 'cheques' zenu 'Kusainishwa' na Mabosi zenu ( Mataita wenu ) wanaokaa ( wanaoishi ) Kinondoni huku sawa? Washamba ( Mambwiga ) wakubwa nyie!!
Unaanza kuandika maneno ya KANGA.
 
Mkuu kila kitu kina gharama zake, hivi umewahi waza mtu anaeishi madale na kufanya kazi poata anapoteza mafuta ya gari kiasi gani kwa mwezi kwenye foleni? Kigamboni hata ukiwa na usafiri na shughuli zako nyingi ni katikati ya jiji, basi huna haja ya kuvuka na gari, kuna parking unalipia 1000-1500 mpaka jioni. Lakini pia Kuna Daraja la nyerere unaweza tumia. Yes ofcourse Kuna changamoto zake hususani katika vivuko kutokana na foleni na changamotoya barabara kwa upande wa darajani, lakini kwasasa Kuna upanuzi wa barabara unaendelea bandarini, ukikamilika mambo yatakuwa bambam.
Shida kweli kweli na ma gharama yani ina maana wewe kuvuka itakulazimu upoteze 90-100K per months kwenda na kurudi kwako! Huu ujinga ndio unanifanya Kigamboni sitaki hata kupasikia
 
Unayoivaaga ukitokea kwa Basha wako.
Si tunatokaga wote we ndio mwalimu wangu, unadhani hatujui kinondoni km nyumba choko, nyumba teja.. Wewe sio teja, utakuwa nani, zaidi ya kuwa mchokozi..

Tabia ya mtu huoneshwa na maongezi yake, mlev atakuwa anazungumzia saana vilevi na bar, malaya atazungumzia mambo yanayoendana na umalaya, mchamungu atazungumzia mambo ya mungu..

Sasa wewe unaezungumzia mambo ya uchoko, itakuwa wewe ni mchokozi tu..

Sijui una matatizo gani kwa ndonga yako we jamaa au wakikamua wanakutoa na akili zenyewe..

Ukiheshimiwa, heshimika we kenge
 
Back
Top Bottom