Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

Viwanja vinaendaje maeneo ya Mbezi huko?

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Hata ww unaweza kuwa mgeni!
Nielekeze mkuu hii sasa ni sawa.7½ nipo mbezi nifike ktkt Kigamboni
 
Afande khamis amefanya kazi kubwa
 
Uhalifu hauwezi pungua kigamboni hasa kibada, kisiwani, tungi, mji mwema na midizini. Wanakaba balaa!
Uo uongo balaa la afande khamis wahuni wote wanalijua waulize vizuri
 
Natamani sana kuishi Mbezi au Kibaha

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Njoo kibaha kongowe soga msufini kulipo na kituo kikubwa cha treni mwendokasi ..plot zinaanzia 1.5m kwa 400sq tayar kuna barabara ya ya lami washaanza kutengeneza ..na kuna eneo la viwanda limetengwa ...yan soon patapanda thamani
 
sehemu sahihi ya kuishi kwa raha mustarehe ni maeneo ilipo stendi ya Mabasi ya kimataifa ya MAGUFULI/ MAGUFULI BUS TERMINAL MBEZI, Luguruni, kibamba, kiluvya na maeneo hayo mengine.
 
Weka ramani basi!
Na useme kwanini pantoni zinajaza watu wengi kupindukia?
 
Mkuu mikad sio wakaz wa kigambon asilimia kubwa wanaojaza mikadi ni viumbe wa mbagala videm wanyoa viduku chupi minuko ndio wanajaa san huko ukitaka kuamin hilo nenda weknd angalia magar yao waliyokod yanatokea wap
Hivi kwanini unapenda dharau binadamu wenzako tuseme wewe unamaisha ya mfalme wa Uingereza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…