THT
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 737
- 869
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili ni jibu konkiiUtelez utapaka utomv wa papai tu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili ni jibu konkiiUtelez utapaka utomv wa papai tu
tungi magengeni, boyTungi ipi upo mzee
Pale pa kiboya... niliwahi kwenda, vibibi vile..Mkuu uwanja wa swala hauujui pale shule ya Paul makonda?
mimi ni hatari sanaaMgeni wewe hatari
Basi utumbo wa mbagara mbona kibao tu Longoni mzee unaokota tuPale pa kiboya... niliwahi kwenda, vibibi vile..
Mitaa kabisatungi magengeni, boy
Tupo na Yanga Avic townSijawahi kufika ila mawazo yangu ni kama Kigamboni imekaa kushoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii longoni iko karibu na wapi mkuu?Usikute ata hapajui vizuri
Watuache na kigamboni yetu
Tena ngoja nizame Longoni beach resort nikanywe beer weekend Leo ulinzi wa kutosha toka NAVY FORCE JWTZ
Sio vibaa vya mtaani kidogo tu ngumi View attachment 2256095
Sio kweli.. gari za abiria mpaka ngoma 4 zipo mbonaKigamboni panamfaa kwanza mtu asiye na Mambo mengi uwe saa 1 usiku upo kwako nje ya Hapo uwe na usafiri wako. Gari za abiria zinakata saa mbili tu .
Yaani sjui nikuelezeaje Ila Longoni inaanza ndo inakuja mikadi pweza na zingine uko zinaendelea iko ndani Navy special forcesHii longoni iko karibu na wapi mkuu?
Sijawahi kusikia hospital ya wilaya kigamboniKwani hospitals kubwa Dar ziko ngapi? Si Muhimbili na Mlongazila tu? Kuna hospitali ya wilaya tu kama Mwananyamala/Temeke/Ilala. Hakuna kitu kama Aga Khan.
Mpya,ipo Geza karibu na ofisi za manispaa.Sijawahi kusikia hospital ya wilaya kigamboni
Ipo, Barabara ya kwenda cheka/geza .. haiko mbali sana na ofis za manispaa zinapojengwaSijawahi kusikia hospital ya wilaya kigamboni
Viwanja bei zikoje huko?hapana mku, kigamboni hapafai kabisa, kama ni kwa sababu ya bahari tu sawa lkn kuna changamoto ya usafiri sana, nilifikia huko niliona tabu zake, nilitakiwa kuamka saa 9 usiku kwenda stendi ya Magufuli mbezi, siwezi kuishi mbali na kituo cha mabasi ya kwenda mikoani.
Mpango mzima sasa ni Mbezi, Luguruni, kibamba, kiluvya na kibaha.
sijui bei mkuu, mimi kwa sasa naishi ipalamwa, ila natarajia kama nitaamua kuishi Dar basi nitajenga maeneo ya Mbezi karibu na kituo cha Magufuli, au Kibamba au kiluvya, maeneo hayo kwa sasa ni muafaka sana kwa sababu ya huduma zote muhimu zipo karibu kama vile; Hospitali ya Taifa Muhimbili mloganzila ipo huko, Kituo cha mabasi, barabara njia 8 n.k.
Ha ha ha wabongo mna mambo! Kwanza siishi sehemu kwasababu ya wageni. halafu mabasi yanaanzia Kigamboni na kuishia Kigamboni yapo zaidi ya kampuni tatu.Fikiria mawasiliano kwanza!
Mabasi ya mkoa mengine yanafika 7usiku!
Hebu muelekeze mgeni wako wa dharula namna ya kuifikia kigamboni kati!
Uhalifu hauwezi pungua kigamboni hasa kibada, kisiwani, tungi, mji mwema na midizini. Wanakaba balaa!Kigamboni kuna sehemu kuanzia Kibada mpaka Mikwambe ni kutamu sana. Upuuzi wa Kigamboni nikiwa kama mkazi wake ni kuvukavuka inakera kwa kweli. Pale wangejutengea tu daraja la kufunguka. Wakati inapita meli linajifungua.
Kigamboni uhalifu umeisha kama si kupungua kwa 90%. Sie wa huku mbali na kule mwanzoni maji tunapata kisima baridi. Mchanga kama wa beach, tabu kubwa bado wanapata bodaboda wanauwawa sana. Kero nyingine ni malori ya mchanga.