uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Mbuzi wanachangamsha watoto nyumbani [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboni huku Dar hawana noma tena wanaachwa tu wanavuka mpaka barabara wenyeweKuwafuga hawa wanyama inahitjai uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku ,
Wana visirani na viburi sijawahi ona , unaweza ukawa unamvuta na kamba akaamua kuzingua tuu yaani , kama unaamini Una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama , vinginevyo unatutania
View attachment 2612275
Ukikasirika nitakua nakukiss kidogo tunaendelea kuwachunga mifugo wetu.Na hivyo visirani vyao si nitawachapa 😄
😂😂 Stroke jamani!!Ukikasirika nitakua nakukiss kidogo tunaendelea kuwachunga mifugo wetu.
😂😂😂😂😂😂ule ujasir sasa umeisha kumuua mende tu nikaziNa ujasiri mlikuwa nao 😂
Mie hata kuua mjusi nilikuwa siwezi
Sahivi nikipiga mdudu akafa nampa na pole
Kuna wale wa kufunga , kama unao wachache bas unawafunga tuu Zen unasepa zako , kibembe akate kamba, Kwanza atakupigisha tizi moja si ya nchi , ukifanikiwa kumkamata kwenye kumvuta hyo ni shughuli nyingine pevu , anaweza amua kukaa tuu Kwa kibriAsa kwann umvute kama na wewe sio kisirani.
Asali wangu wa moyo.😂😂 Stroke jamani!!
Bora umuue kisha afe moja kwa moja. Akianza kuhangaika kukata roho lazima ukimbie 😂😂😂😂😂😂😂😂ule ujasir sasa umeisha kumuua mende tu nikazi
Ila watamu balaa😜😜😜Kuwafuga hawa wanyama inahitjai uvumilivu wa Hali ya juu na upendo uliotukuka vinginevyo utakuwa unavunja mguu wa mbuzi kila sku ,
Wana visirani na viburi sijawahi ona ,
Picha linaanza akikata kamba aisee atakupigisha tizi moja sio ya nchi hii , na ukimkamata ukaanza kumvuta na kamba yake anaamua kuzingua tuu yaani , anagoma kabisa na anaamua kukaa huku amenyanyua kichwa juu na amekuangalia Kwa kibri kana Kwanza huna la kumfanya , kama unaamini Una huruma Sana na upendo basi fuga hawa wanyama , vinginevyo unatutania
View attachment 2612275
Ukiamua kumuacha akijikimbiza kimbiza hawezi kurudi mwenyewe? Au ndio kwa kuonesha jeuri harudiKuna wale wa kufunga , kama unao wachache bas unawafunga tuu Zen unasepa zako , kibembe akate kamba, Kwanza atakupigisha tizi moja si ya nchi , ukifanikiwa kumkamata kwenye kumvuta hyo ni shughuli nyingine pevu , anaweza amua kukaa tuu Kwa kibri
nguvu za kukimbia zinatoka wapi sasBora umuue kisha afe moja kwa moja. Akianza kuhangaika kukata roho lazima ukimbie 😂😂