Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

Mboni huku Dar hawana noma tena wanaachwa tu wanavuka mpaka barabara wenyewe
 
Halafu bora kuchunga mbuzi wakiwa wengi.. wakiwa wachache tatizo linakuwa kubwa zaidi maana usumbufu unakuwa usioelezeka. Pia ukiambiwa uwapeleke mnadani bora upewe kundi la ng'ombe kuliko mbuzi mmoja. Hadi mfike mnadani umesota.
 
Wanapenda mazao ya watu utasema wanajua kulima. Niliwahi kumpiga mmoja Γ±usura nimuue baada ya kuwaongoza wenzake kula mazao nikapigwa halafu ile nimekaa nasikilizia maumivu kakaja kakanipigia chafya usoni
 
Asa kwann umvute kama na wewe sio kisirani.
Kuna wale wa kufunga , kama unao wachache bas unawafunga tuu Zen unasepa zako , kibembe akate kamba, Kwanza atakupigisha tizi moja si ya nchi , ukifanikiwa kumkamata kwenye kumvuta hyo ni shughuli nyingine pevu , anaweza amua kukaa tuu Kwa kibri
 
Ila watamu balaa😜😜😜
 
Kuna wale wa kufunga , kama unao wachache bas unawafunga tuu Zen unasepa zako , kibembe akate kamba, Kwanza atakupigisha tizi moja si ya nchi , ukifanikiwa kumkamata kwenye kumvuta hyo ni shughuli nyingine pevu , anaweza amua kukaa tuu Kwa kibri
Ukiamua kumuacha akijikimbiza kimbiza hawezi kurudi mwenyewe? Au ndio kwa kuonesha jeuri harudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…