Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunachoweza ni majungu na fitinaAmani kwenu
Mwendo kasi ni mateso
Mwendo kasi ni maumivu
Mwendo kasi ni majonzi
Mwendo kasi ni utungu
Wazungu njoon mtutawale tena sisi hatuwezi jaman
YESU njoo Africa tunateseka jaman
Pole sanaNi mateso kaka ni mateso
Hiii kauli ni chungu lakini ina uhalisi fulani ndani yake.Wazungu njoon mtutawale tena sisi hatuwezi jaman
Mtu mweusi ana mapungufu mengi sana ukilinganisha na makundi mengine ya binadamu.Shida inaanzia kwenye ngozi ni giza huonekani ukiwa gizani na matendo yetu ni hivohivo ubinafsi,majungu na ujinga
Wwe ulikuwa unatafuta Nini mkuuGuest zote za Goba hadi Mbezi Mwisho zimejaa mda huu, hapa ndio utaona umahiri wetu mkuu. Huko kwingine aaaah!
Kuna siku niliwah kuwaza hivyo,kua huenda Kuna kitu hakko sawa Kwa watz wenzangu hasa akilin ,nkahis mm ndo nna tatzo labda ila sasa naona uenda nilkua sahihi kusema tunatatzo la ufkiri watz,, tuna miaka 60+ ya uhuru hatuwez hata kujisimamia kuendesha bandari zetu mpka tuite watu weupe,tuna madin ila wachimbaji wakubwa ni watu wenye pia refu na weupe,hata kutengeneza kabati na meza tuna agiza China,kiberiti tunaagiza ,,nahis tumelogwa au akili zetu wengi tuna shida kasoro mmWatanzania wote uwezo wao wakufikiri na kutenda ni sawa, kuna kitu kipo kwenye DNA zetu.
Mwenye PHd hana tofauti form 4.
Tajiri hana tofauti na masikini.
Mwenye kuzurula Ulaya na Marekani hana tofauti na mkazi wa kibondo