Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Una kitumbua lakini kimenonaNawakabia tu kila kona 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kitumbua lakini kimenonaNawakabia tu kila kona 😂
Aaawe unasema uongoNa sukari ya kutosha
Ebu mkuu utulie kidog kwanza hivi unajua akiwa amekosa kosa kubwa hata mtoto awe ananyonya unyumba anakupa hata kama hutaki ilimladi amalize kesi naww nyieSio kunyimwa ni kuangalia situation ya huo muda
Endeleeni kuchovya chovya
Msipende mbususuEbu mkuu utulie kidog kwanza hivi unajua akiwa amekosa kosa kubwa hata mtoto awe ananyonya unyumba anakupa hata kama hutaki ilimladi amalize kesi naww nyie
Sio JF, wabongo wote tu kila kona ngono jadi!Jf na ngono ni sambamba🫱🫱
Mdada tahadhari ukija Ukiolewa na mwanaume kama huyu dhaifu alafu negative ujue kabisa kazi unayo.Ujinga tu! Unatafuta mchepuko unaleta magonjwa ndani mpaka mtoto anaathirika.
Hapan hatupendi na kwasasa natafuta rafiki rafiki kweli kweli ambaye naweza zungumza nae na akazungumza na mm jinsia yoyote katika maswala haya ya kimwili namna Gani tunawez kabiliana nayoMsipende mbususu
Endeleeni kuziniSio JF, wabongo wote tu kila kona ngono jadi!
Njoo hapa tuzumgumzeHapan hatupendi na kwasasa natafuta rafiki rafiki kweli kweli ambaye naweza zungumza nae na akazungumza na mm jinsia yoyote katika maswala haya ya kimwili namna Gani tunawez kabiliana nayo
Kuna namna ya kujiweka na mambo kama haya ukayasahau mbn napita hata miezi mitatu mpaka minne sijui mwanamke na nanaishi ila msingi zingatia hayaMsipende mbususu
Sio kuzini ni maumbile, ukiambiwa hagusi nje ujue umedanganywa na kakuona kiazi sana, fanya uchunguzi utarudi na majibu hapa!Endeleeni kuzini
Hamna mwanaume wa namna hiyo kiongozi acha kudanganya kujustify your darkside, after all hatujuani hapa, unakula nje kama kawa, period, wote tuna utopian life hapa JF lakini kwenye maisha halisi tofauti kubwa!Mdada tahadhari ukija Ukiolewa na mwanaume kama huyu dhaifu alafu negative ujue kabisa kazi unayo.
Ila ni nature yenu🙂Sio kuzini ni maumbile, ukiambiwa hagusi nje ujue umedanganywa na kakuona kiazi sana, fanya uchunguzi utarudi na majibu hapa!