gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu kwa kina babu Ayubu haijawahi kubadilika, huyo unayemuona mwaminifu kwako saaaana, mchunguze utajua uaminifu wa mwanamke mmoja ni scam, tunaweza kuaminiana kwa mengine sio mbususu! Na mwanaume anaficha sana kwa kuwa anamheshimu sana mke na hataki ndoa au mahusiano yavunjike hamna kingine! Otherwise anapiga sana tu maana moja haitoshi naturallyIla ni nature yenu🙂
Kama a couple has fear of God hayo m engine yatakuwa sio changamotoTangu kwa kina babu Ayubu haijawahi kubadilika, huyo unayemuona mwaminifu kwako saaaana, mchunguze utajua uaminifu wa mwanamke mmoja ni scam, tunaweza kuaminiana kwa mengine sio mbususu! Na mwanaume anaficha sana kwa kuwa anamheshimu sana mke na hataki ndoa au mahusiano yavunjike hamna kingine! Otherwise anapiga sana tu maana moja haitoshi naturally
Fear of God ni theory tu mama/baba, I suggest fanya uchunguzi utarudi hapa na uzi mpya kabisa na hiyo fear yenu!Kama a couple has fear of God hayo m engine yatakuwa sio changamoto
God is goodFear of God ni theory tu mama/baba, I suggest fanya uchunguzi utarudi hapa na uzi mpya kabisa na hiyo fear yenu!
I rest my case ila usije hapa unalia tu na kutia huruma tuanze kukubembeleza in the futureGod is good
Wewe binti nakufuatilia kwa ukaribu sana ili niweze kukufahamu vizuri wewe ni nani na unatoka wapi? Kwasababu umekuwa ukiandika komenti zenye utataKama a couple has fear of God hayo m engine yatakuwa sio changamoto
Utata kivipi Tena kuna mtu namkosea kweli?Wewe binti nakufuatilia kwa ukaribu sana ili niweze kukufahamu vizuri wewe ni nani na unatoka wapi? Kwasababu umekuwa ukiandika komenti zenye utata
😂😂Msaliti anapo anzisha mada ya kujitetea.
We are different im a Theist you are an AtheistFear of God ni theory tu mama/baba, I suggest fanya uchunguzi utarudi hapa na uzi mpya kabisa na hiyo fear yenu!
Mimi hapa ndio mwanaume wa hivyo na nimefurahi kufahamu kwamba unajua katika maisha kuna darkside.Hamna mwanaume wa namna hiyo kiongozi acha kudanganya kujustify your darkside, after all hatujuani hapa, unakula nje kama kawa, period, wote tuna utopian life hapa JF lakini kwenye maisha halisi tofauti kubwa!
mpaka sasa nina asilimia 50% kuwa wewe sio wakike samahani lakini kama sipo sahihi.Njoo hapa tuzumgumze
Ushapata bff
Mimi hapa ndio mwanaume wa hivyo na nimefurahi kufahamu kwamba unajua katika maisha kuna darkside.
kama unajua kuna kitu kinaitwa darkside inamaana pia unapaswa ufahamu kuwa hii darkside ni giza lakini fahamu kuna upande wa mwengine wa mwanga,
kwasababu kuna mwanga na giza basi kuna wanaume wazuri na wanaume wabaya kwahiyo hii dhana ya kwamba hakuna wanaume wema ni kitu kisichowezekana ni sawa na kusema hakuna mwanga baada ya gizs.
Ukiwa na uelewa mkubwa wa vitu ndipo utakuwa na mtizamo chanya wa vitu ndipo utagundua kuwa uovu na uzinzi ni vitu ambavyo havina maana yoyote kwamba kuwa mwanaume mzuri kwenye jamii ndio chaguo bora zaidi. kwahiyo mimi ni mwema na kuwa muovu au mwema ni chaguzi za mtu sio wote ni darkside.
Ninachukia uovu na ninaupiga vita kwenye jamii.
Haupo sahihimpaka sasa nina asilimia 50% kuwa wewe sio wakike samahani lakini kama sipo sahihi.