Ukitaka kujua mke mmoja hatoshi, subiri mkeo ajifungue

Ukitaka kujua mke mmoja hatoshi, subiri mkeo ajifungue

Umechemka wewe sisi ni wanaume na tunajuana hahaha kama anakuambia hivyo akitoka kazini uwe unanusa mashine utakuja kunikumbuka 🤣
Khaa sasa hapo ni kutafuta mafua ya kujitakia🤣🤣😪
 
Mimi wangu aliwahi nipa mzigo baada ya mwezi 1 tu tena aliniambia anaogopa mimi kuchepuka...sasa nilikuwa namjali sana kiafya na nilikuwa naona kila kitu sasa kwa kile kinyaa niliogopa kupiga show maana nafikiria yale majimaji mara damu mara uchafu uchafu flan hivi aaagh nikamgomea.

Nikatafuta ka mchepuko ki sirisiri kwa miezi 4 mkupuo nilikuwa na simu ndogo nimesajiwa na muhuni mmoja hivi, kale ka simu nilikuwa nakaacha kazini...michepuko alikuwa na namba ile pekee sikuruhusu ajue zaidi kuhusu mimi kila maneno 10 9 yote ni UONGO.

WIfe alivyokaa sawa nikatafuta sababu nikaachana na yule PEPO 🤣🤣
mzigo wa kuni zako za hiyo dhambi uko palepale hatakama uliachana nae jiandae
 
3. Bahati mbaya Akijifungua Kwa kisu,
Hapa una almost miez 3-6 ya kukosa kabisa show kisa mshono wake Bado haujatengamaa.
Mkuu hapo umetupiga 😄, kwa hiyo miezi mitatu mpaka Sita Kwani amevunjika mfupa hiyo,😂, labda awe ame develop sepsis (Bacterial wound infection), mvivu kufanya mazoezi, diet mbovu, usafi zero.

Lakini pia unatakiwa kujua mambo yanabadilika, suturing techniques pia zinatofautiana kati ya surgeon na surgeon, siku hizi tunashona hata uzi hauonekani (panarambwa)😎Achana na wale walikuwa wanashonwa kama gunia la vitunguu 😄, na bado anapangiwa siku ya kwenda kutolewa nyuzi, (sio kila nyuzi za kutoa)

Na ki tabibu, precisely surgical wound approximation ina mchango mkubwa sana kwenye wound healing process, kama ilifanyika vizuri ndani ya siku tatu skin imeshajiunga, siku ya 3-5 mgonjwa anaweza kwenda nyumbani anakuwa tu anafanyiwa follow up, hata kama amejifungua kawaida by the time Lochia(sijui Kiswahili chake) imeanza kupungua na kubadilika rangi, after 42days as long as the woman is COMFORTABLE (point to take)you can do, labda awe hataki tu kwa sababu zake binafsi ila sio za upasuaji Shida wabongo wengi mnapenda vya bei chee 🤗. Mnapenda matibabu ya bure, elimu bure, incompetent health care personnel, Si tangazi biashara ila vitu Zingine NZURI NZURI mtakuwaga mnazisikia kwenye bomba 😁.
 
Tangu wife amejifngua
Nilimeet na my childhood sweetheart alikuwa devorced na mumewe tunakiwasha Sana yaan
Mpka Leo show show yaan
Wanangu usifanye kosa la kufuta namba za mchepuko one day you will regret it
 
Wakuu,
Kwanza Cha Moto unaanza kukiona pale mimba ya mkeo ikikaribia kujifungua (yaani miez 7 Hadi 9).

Hapa wanawake wengi sn (hasa WA mjini) wanachoka kabisa na kuhitaji kupumzika Mara Kwa Mara (wengine Hadi bedRest hospitali).

Katika kipind hiki, mwanaume unaweza ukapitisha miez 2 kavu kavu bila kupiga show.

2. Mkeo Akijifungua salama kabisa
Hapa Una zaidi ya Siku 40 mpk 60 huwezi kabisa kupiga show maana uchafu Bado chini unatoka , tumbo na nyonga havijatengamaa kuweza kumpelekea moto. Inakubidi uwe mpole.

3. Bahati mbaya Akijifungua Kwa kisu,
Hapa una almost miez 3-6 ya kukosa kabisa show kisa mshono wake Bado haujatengamaa.

4. Kipindi Cha kumnyonyesha,
Hapa Kitaalamu (Kwa mamalia wote duniani) anapokua ananyonyesha, Anapoteza kabisa hamu na hisia za kufanya mapenzi. Kipind hiki ata ufanye nae, Ni vile unakua umemfosi TU, automatically Hana kabisa Nyg na Wewe (hawezi kuperfom vizuri).

Sasa Binadamu (Mwanamke) Huwa anamnyonyesha Mtoto kuanzia umri 0 Hadi mwaka na nusu, wengine Hadi miaka miwili.

Jiulize sasa, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa mwaka na nusu, Hadi miaka miwili bila kupiga kabisa show?. Hapa Wakifika ata 10% Basi niite mbwa.

Hata wale wanawake wenye changamoto za kiafya, kiwango Chao Cha chini kabisa Cha kumnyonyeshe Mtoto Ni Hadi miezi 6.
Jiulize Tena, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa miez 6, kavu kavu hawajapiga show?. Aisee labda kwa walio jela.

Sasa Katika madhira yote tunayopitia, ndo kipindi hiki Wanaume wengi Huwa tunalaumu kua "mke wangu kahamishia mapenzi yote Kwa Mtoto".

Na ktk kipindi hiki,
Hata ulale na mkeo wako kitanda kimoja, lazima Mtoto wenu atawekwa katikati "maksudi" ili kukuwekea FENSI usipige show.

Kuna MDA uzalendo utakushinda,
Utavizia Mtoto wenu kalala usngz, utamvuta Mtoto kushoto ili ufosi upige ata kimoja Cha fasta.

Ile unaanza TU kumuandaa mkeo ili upige, Mtoto ataanza kulia, Basi Mtoto akishaanza kulia TU, mkeo akili yote inahama, na Wewe mwenyewe uwezi vumilia kuendelea kupiga show uku Mwanao anaangua kilio na YOWE mbele zenu.

Apo Kumtuliza Mtoto asiendelee kulia, Ni lazima apewe Nyonyo.

Sasa hapo itabd usubir mwanao anyonye Tena mpk apitiwe na usngz (almost saa nzima),

Au ufosi upige show uku Mwanao anaendelea kunyonya.
(Hapa inahitaji ujasili WA mzabzab kupiga show uku Mtoto anaendelea kunyonya)

Kitu ambacho wanaume wengi sn hatukiwezi, pia wanawake nao hawakipendi kabisa.

Sasa katika Hali Kama hii,
Mwanaume yeyote mwenye Afya njema, Utakua na mojawapo ya solution mbili hizi kwny madhira haya ya kwenye ndoa.

1. Uamue kupiga punyeto Kutuliza Nyg
Au
2. Utafute mchepuko pembeni awe anakupunguzia Nyg.

Nawasilisha🙏
Lakini unaruhusiwa kupiga punyeto au kuchapa changudoa ili mradi tu usikamatwe na mkeo.
 
Wakuu,
Kwanza Cha Moto unaanza kukiona pale mimba ya mkeo ikikaribia kujifungua (yaani miez 7 Hadi 9).

Hapa wanawake wengi sn (hasa WA mjini) wanachoka kabisa na kuhitaji kupumzika Mara Kwa Mara (wengine Hadi bedRest hospitali).

Katika kipind hiki, mwanaume unaweza ukapitisha miez 2 kavu kavu bila kupiga show.

2. Mkeo Akijifungua salama kabisa
Hapa Una zaidi ya Siku 40 mpk 60 huwezi kabisa kupiga show maana uchafu Bado chini unatoka , tumbo na nyonga havijatengamaa kuweza kumpelekea moto. Inakubidi uwe mpole.

3. Bahati mbaya Akijifungua Kwa kisu,
Hapa una almost miez 3-6 ya kukosa kabisa show kisa mshono wake Bado haujatengamaa.

4. Kipindi Cha kumnyonyesha,
Hapa Kitaalamu (Kwa mamalia wote duniani) anapokua ananyonyesha, Anapoteza kabisa hamu na hisia za kufanya mapenzi. Kipind hiki ata ufanye nae, Ni vile unakua umemfosi TU, automatically Hana kabisa Nyg na Wewe (hawezi kuperfom vizuri).

Sasa Binadamu (Mwanamke) Huwa anamnyonyesha Mtoto kuanzia umri 0 Hadi mwaka na nusu, wengine Hadi miaka miwili.

Jiulize sasa, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa mwaka na nusu, Hadi miaka miwili bila kupiga kabisa show?. Hapa Wakifika ata 10% Basi niite mbwa.

Hata wale wanawake wenye changamoto za kiafya, kiwango Chao Cha chini kabisa Cha kumnyonyeshe Mtoto Ni Hadi miezi 6.
Jiulize Tena, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa miez 6, kavu kavu hawajapiga show?. Aisee labda kwa walio jela.

Sasa Katika madhira yote tunayopitia, ndo kipindi hiki Wanaume wengi Huwa tunalaumu kua "mke wangu kahamishia mapenzi yote Kwa Mtoto".

Na ktk kipindi hiki,
Hata ulale na mkeo wako kitanda kimoja, lazima Mtoto wenu atawekwa katikati "maksudi" ili kukuwekea FENSI usipige show.

Kuna MDA uzalendo utakushinda,
Utavizia Mtoto wenu kalala usngz, utamvuta Mtoto kushoto ili ufosi upige ata kimoja Cha fasta.

Ile unaanza TU kumuandaa mkeo ili upige, Mtoto ataanza kulia, Basi Mtoto akishaanza kulia TU, mkeo akili yote inahama, na Wewe mwenyewe uwezi vumilia kuendelea kupiga show uku Mwanao anaangua kilio na YOWE mbele zenu.

Apo Kumtuliza Mtoto asiendelee kulia, Ni lazima apewe Nyonyo.

Sasa hapo itabd usubir mwanao anyonye Tena mpk apitiwe na usngz (almost saa nzima),

Au ufosi upige show uku Mwanao anaendelea kunyonya.
(Hapa inahitaji ujasili WA mzabzab kupiga show uku Mtoto anaendelea kunyonya)

Kitu ambacho wanaume wengi sn hatukiwezi, pia wanawake nao hawakipendi kabisa.

Sasa katika Hali Kama hii,
Mwanaume yeyote mwenye Afya njema, Utakua na mojawapo ya solution mbili hizi kwny madhira haya ya kwenye ndoa.

1. Uamue kupiga punyeto Kutuliza Nyg
Au
2. Utafute mchepuko pembeni awe anakupunguzia Nyg.

Nawasilisha🙏
Ndiyo maana kuna machangudoa mkuu.
 
Wakuu,
Kwanza Cha Moto unaanza kukiona pale mimba ya mkeo ikikaribia kujifungua (yaani miez 7 Hadi 9).

Hapa wanawake wengi sn (hasa WA mjini) wanachoka kabisa na kuhitaji kupumzika Mara Kwa Mara (wengine Hadi bedRest hospitali).

Katika kipind hiki, mwanaume unaweza ukapitisha miez 2 kavu kavu bila kupiga show.

2. Mkeo Akijifungua salama kabisa
Hapa Una zaidi ya Siku 40 mpk 60 huwezi kabisa kupiga show maana uchafu Bado chini unatoka , tumbo na nyonga havijatengamaa kuweza kumpelekea moto. Inakubidi uwe mpole.

3. Bahati mbaya Akijifungua Kwa kisu,
Hapa una almost miez 3-6 ya kukosa kabisa show kisa mshono wake Bado haujatengamaa.

4. Kipindi Cha kumnyonyesha,
Hapa Kitaalamu (Kwa mamalia wote duniani) anapokua ananyonyesha, Anapoteza kabisa hamu na hisia za kufanya mapenzi. Kipind hiki ata ufanye nae, Ni vile unakua umemfosi TU, automatically Hana kabisa Nyg na Wewe (hawezi kuperfom vizuri).

Sasa Binadamu (Mwanamke) Huwa anamnyonyesha Mtoto kuanzia umri 0 Hadi mwaka na nusu, wengine Hadi miaka miwili.

Jiulize sasa, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa mwaka na nusu, Hadi miaka miwili bila kupiga kabisa show?. Hapa Wakifika ata 10% Basi niite mbwa.

Hata wale wanawake wenye changamoto za kiafya, kiwango Chao Cha chini kabisa Cha kumnyonyeshe Mtoto Ni Hadi miezi 6.
Jiulize Tena, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa miez 6, kavu kavu hawajapiga show?. Aisee labda kwa walio jela.

Sasa Katika madhira yote tunayopitia, ndo kipindi hiki Wanaume wengi Huwa tunalaumu kua "mke wangu kahamishia mapenzi yote Kwa Mtoto".

Na ktk kipindi hiki,
Hata ulale na mkeo wako kitanda kimoja, lazima Mtoto wenu atawekwa katikati "maksudi" ili kukuwekea FENSI usipige show.

Kuna MDA uzalendo utakushinda,
Utavizia Mtoto wenu kalala usngz, utamvuta Mtoto kushoto ili ufosi upige ata kimoja Cha fasta.

Ile unaanza TU kumuandaa mkeo ili upige, Mtoto ataanza kulia, Basi Mtoto akishaanza kulia TU, mkeo akili yote inahama, na Wewe mwenyewe uwezi vumilia kuendelea kupiga show uku Mwanao anaangua kilio na YOWE mbele zenu.

Apo Kumtuliza Mtoto asiendelee kulia, Ni lazima apewe Nyonyo.

Sasa hapo itabd usubir mwanao anyonye Tena mpk apitiwe na usngz (almost saa nzima),

Au ufosi upige show uku Mwanao anaendelea kunyonya.
(Hapa inahitaji ujasili WA mzabzab kupiga show uku Mtoto anaendelea kunyonya)

Kitu ambacho wanaume wengi sn hatukiwezi, pia wanawake nao hawakipendi kabisa.

Sasa katika Hali Kama hii,
Mwanaume yeyote mwenye Afya njema, Utakua na mojawapo ya solution mbili hizi kwny madhira haya ya kwenye ndoa.

1. Uamue kupiga punyeto Kutuliza Nyg
Au
2. Utafute mchepuko pembeni awe anakupunguzia Nyg.

Nawasilisha🙏
Una thread NZITO sana DeepPond !
Kweli kabisa kabisa kabisa kabisa 🤣 😂 😆 😅 😅
 
Hapa Bado ujahesabu zile siku 4 mpk 7 anazokua period kila mwezi.

Kiukweli siku hizi Huwa Ni mateso Sana kwetu wanaume
Msiendekeze ngono kwani ngono sio ibada. Jitahidi kuvumiliana na kichukuliana japo umedanganya sana kwenye huu uzi wako kujustify tamaa na tabia yako ya Uzinzi.

Kwa uzoefu wangu wa ubaba wa watoto 4 na kukaa ndoani na mke 1 kwa miaka 20, mwanamke yoyote anayejua thamani ya mme anakupa tendo hadi miezi 8 hayo mengine ni blah blah ti.
 
Yani jitu unachanwa operesheni kulizalia, baada ya kulibebea mtoto wake kwa mateso halafu anachojua kulalamikia ni kutopewa mbususu, eti wanawake wa mjini wanachoka haraka sana. Daaah, moto mtakaochomwa nao mtajuta.
Mimba haijawahi kuwa mateso wala sio agizo la Mungu mwanamke kuzaa kwa operation ila life style yenu ya kukaa mbali na Mungu sasa ndio chanzo cha hayo yote.

Binafsi siungi mkono huu uzinzi. Kuvumiliana na kuchukuliana katika ndoa ni kitu cha msingi sana.
 
Ninyi mnaopinga hamuwezi kumvumilia mwanamke baada ya kujifungua mna pepo la ngono mkaombewe mnataka kuhalalisha uzinzi wenu
 
Back
Top Bottom