Ukitaka kujua mke mmoja hatoshi, subiri mkeo ajifungue

Ni mateso na majaribu ya imani, wakitoka kujifungua ngozi inakuwa nyororo halafu na joto tamu unabaki kula kwa macho.
Hapa ndio unakuja umuhimu wa kuwa na mchepuko wenye akili.
Madhara ya kutembea umejaa upwiru ni makubwa zaid ya kuwa na mchepuko maalum.
 
Kwani mama hawezi kukungonyesha wewe na mttoto at the same time?
 
Sio poa kuna wanaume ambao sio wachepukaji wanajifunzia nyeto kwenye ndoa hii habari ya mke mmmoja Mungu atusaidie tu
 
Hivi na waliojifungua Kwa operation wanatakiwa wake mda gani
 
Kweli ndoa kwa kizazi hiki ni mateso kwa mwanaume.
 
W
Sio poa kuna wanaume ambao sio wachepukaji wanajifunzia nyeto kwenye ndoa hii habari ya mke mmmoja Mungu atusaidie tu
Na wasichojua, madhara ya nyeto Ni makubwa kuliko ya kuchepuka
 
Kibaiolojia mwanamke mmoja hawezi kumtosheleza mwanaume. Linapokuja suala la sex mwanaume yupo tayari muda wowote siku yoyote lakini mwanamke ana visababu na changamoto nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…