johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata kwa Nape ni majungu tuMajungu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwa Nape ni majungu tuMajungu tu
Nakuunga mkono. Wapinzani feki wamekaa kimya tu muda huu.Hata magufuli alitumia mabavu kuwaingiza kwenye system vijana wake aliona watamsaidia, Bashiru hakuwahi kuwa mwanaccm lakini alamchagua, polepole pia. Wala sio jambo jipya kufanyika, Jambo jipya na la maana nikuwaondoa CCM na serikali yake iwe kwa kura au Vita.
Hiyo kazi inafanya na waisiharamu wakiongozwa na wahuni waisiharamu GSM NA ROSTAM lengo lao ni kumiliki serikali kama mali yao binafsiRicha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi.
Na January kufeli kabisa kwenye umeme!
Utashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu.
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha Hawa vijana.
Mkuu ukame ni tatizo la afrika nzima, nenda South Africa uone palivyo pakavu mwaka huu. Kila kiu nchi hii ni siasa za bei rahisi, watu wamejiweka tayari kulaumu bila hata kushirikisha ubongo japo kidogo tu.Dodoki la maana linapita hapa.
Siasa ya namna hii ishapitwa na wakati, Sasa hivi tunaona na tunajua umeme ulivyokuwa miaka 6 iliyopita.
Samahani mkuu kwahiyo kama na South ni pakame nao wana mgao wa umeme na maji? Au pamoja na kuwa na ukame umeme na maji kwao sio tatizoMkuu ukame ni tatizo la afrika nzima, nenda South Africa uone palivyo pakavu mwaka huu. Kila kiu nchi hii ni siasa za bei rahisi, watu wamejiweka tayari kulaumu bila hata kushirikisha ubongo japo kidogo tu.
Mambo ya CCM yanakuhusu Nini wewe chadema? Nenda kapambane na watafuna Ruzuku pale ufipa mliposhindwa hata kupakarabatiFomesheni aliyoweka mama Nape, Makamba, Riziwani, Maharage Chande, Mafuru sio ya kunyamazia.
Tunajua kuliko wewe unavyoandika hapa.. tangu 2021 kazi ni katakata ya umeme.Mkuu ukame ni tatizo la afrika nzima, nenda South Africa uone palivyo pakavu mwaka huu. Kila kiu nchi hii ni siasa za bei rahisi, watu wamejiweka tayari kulaumu bila hata kushirikisha ubongo japo kidogo tu.
Ujumbe ni mpana nilioandika, uelewe vizuri. Tunaweza kuwa tunatatua tatizo la muda mfupi huku tukiacha lile la miaka na miaka likaendelea kuwepo.Samahani mkuu kwahiyo kama na South ni pakame nao wana mgao wa umeme na maji? Au pamoja na kuwa na ukame umeme na maji kwao sio tatizo
Mngekuwa mnajua msingekuja na rundo la lawama zinazotokana na hasira na chuki kwa serikali ya awamu ya sita.Tunajua kuliko wewe unavyoandika hapa.. tangu 2021 kazi ni katakata ya umeme.
Attacking Formation Ni 4:4:2Fomesheni aliyoweka mama Nape, Makamba, Riziwani, Maharage Chande, Mafuru sio ya kunyamazia.
Hatuna chuki na awamu ya sita Wala hatuna mpango wa kuipindua.Mngekuwa mnajua msingekuja na rundo la lawama zinazotokana na hasira na chuki kwa serikali ya awamu ya sita.
Wanatoaga kweli burudani wakiwa pale dodoma wazee wanahitaji kupumzikaNa Shilole anaingia kwa shuguli yake ya kutoa burudani ile huko jumba kuu.
Kipindi chake ndio hali imekuwa mbaya zaidi, wakati wa JPM tulisahau Generator ila sasa mgao km kawaida Bora ukae kimya usidhani watz wa sasa ni wajinga km weweUmeme ni tatizo la kihistoria, Makamba ana muda mfupi tu katika hiyo wizara, asingeweza kufanya maajabu, kutatua tatizo la umeme sio kama unavyoenda chumbani kwa mumeo na kumpa haki yake
Unajua kutangaza tenda ya kutengeneza mtambo wa umeme, kutengeneza mpaka uanze kuzalisha umeme inachukua muda gani? Hizo fedha unafikiri unakuta zimetupwa unaokota?
Na huo ukame uliotamalaki sehemu kubwa ya afrika?! Tukutume kwenye mabwawa ukamwage kojo yajae?
Wanasema ana shughuli maalum ya burudani kwa Bibi TozoWanatoaga kweli burudani wakiwa pale dodoma wazee wanahitaji kupumzika
Kuliko kulialia na kuonekana kama wivu unawasumbua, cha kufanya ni kujiunga na kundi hilo. Wanalamba asali na miaka inapita kwa kasi.Hatuna chuki na awamu ya sita Wala hatuna mpango wa kuipindua.
Uharisia unabaki pale pale. Tumachezewa na wachache. Walamba asali a.k.a wenye kamba ndefu.
NA UKITAKA KUJUA BILA RUSHWA HUSHINDI NDANI YA CCM ANGALIA WASANII SHAFII VUJA BEI NA MANARA WATAKAVYOTUPWA NJELicha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi, na January kufeli kabisa kwenye umeme, uashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu!
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha hawa vijana.
Hadi leo mnaongelea maji!?Umeme ni tatizo la kihistoria, Makamba ana muda mfupi tu katika hiyo wizara, asingeweza kufanya maajabu, kutatua tatizo la umeme sio kama unavyoenda chumbani kwa mumeo na kumpa haki yake
Unajua kutangaza tenda ya kutengeneza mtambo wa umeme, kutengeneza mpaka uanze kuzalisha umeme inachukua muda gani? Hizo fedha unafikiri unakuta zimetupwa unaokota?
Na huo ukame uliotamalaki sehemu kubwa ya afrika?! Tukutume kwenye mabwawa ukamwage kojo yajae?